ONA MAAJABU HAYA NDANI YA MIAKA 5 ILIYOPITA
Mwaka 2014.
Yanga 1 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 1 - 0 Yanga (Cairo)
(Al Ahly akashinda 5-4 kwa penati)
Mwaka 2016.
Yanga 0 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 2 - 1 Yanga (Cairo)
Mechi nne ;-
Al ahly win 2
Yanga win 1
Sare 1
magoli ya kufunga;-
Al ahly 3
Yanga 2
hiyo inamaanisha katika mechi nne Yanga karuhusu goli 3 tu kwa Al Ahly wakati yeye pia akifunga goli mbili.
RECORD YA UNDERDOG.
Al ahly 5 - 0 Mikia SC
yaani magoli aliyofungwa katika mechi yake moja tu ni Sawa na magoli ya timu zote mbili katika mechi NNE walizocheza tena Al Ahly waliwapumzisha Key Players wao 8 , walimaliza mchezo first half hawakutaka kumaliza nguvu zao kwa Mbumbumbu. . Endapo wangeuwasha moto dk 90 basi underdog wangevunja rekodi ya Club African.
TUNAVYOITWA WA KIMATAIFA TAMBUENI SIO KAZI RAHISI.
Sent using
Jamii Forums mobile app