Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

Huo ni udhaifu wa coach( Nisije tu kuitwa nikajieleze kwa kumdhalilisha). Baada ya mechi ya Simba na Yanga kwenye TPL Mwinyi Zahera alisema wazi kabisa ilibidi wacheze defensively kwa sababu kiufundi Simba walikua ni wazuri sana kuliko wao Yanga

Hapo Zahera alionyesha umahiri wake kama mwalimu kwanza kwa kutambua uwezo wa wapinzani wake na akawaheshimu, halafu pili akatafuta mbinu ya kuhakikisha anapunguza kadri awezavyo idadi ya magoli atakayofungwa au anaondoka na japo point moja na akafanikiwa ingawa alilaumiwa na hata baadhi ya mashabiki wa Yanga eti kwa mchezo mbovu!

Binafsi nilimkubali sana Masoud Djuma kuliko huyu mzungu. Masoud alikua analijua soka letu na wachezaji wake na anafahamu namna ya kupanga timu(I stand to be corrected). Makocha toka Ulaya tunaoleta kufundisha timu zetu maranyingi huwa wa kiwango cha chini sana maana wale wa daraja la juu clubs zetu haziwezi kuwalipa

Ndio maana timu kama za DRC au hata Nigeria huwa na makocha wazawa au angalau wanatoka katika nchi jirani na wao na wanajua historia ya uwezo wa timu wanazoenda kuzifundisha
 
Simba muache kabisa kidomodomo chenu!
simba 0 v recletivo libolo 1 (dar)
recletivo libolo 4 v simba 0 (angola)
simba 2 el hadood 1 (dar)
el hadood 5 v simba 1 (cairo)
wydad casablanca 3 v simba 0 (tunis)
Ngoja nije ni update rekodi zenu, kutwa kuwasema Yanga mwaka jana, ooh tungekuwa sisi kiboko ya kimataifa.
What a shame..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahah mwana jangwani mwenzangu, naona ulikuw na utani wa kitanzi shingoni.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kiukweli Mimi ni Simba, ila sio mshabiki kivile, bas tu hiyo jokes imenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Huwezi amini mpk Sasa sijui wamefungwa ngapi. Sina interest na soccer
 
Uwanja wao, refa wao mashabiki wenu siai wacha tukubari matokeo... Tunajipanga tulipokosea... Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu.
 
Kiukweli mimi ni yanga damu lakini tuweke utani pembeni soka letu bado sana sisi tubaki na mpira wa kwenye magazeti, tubaki na ujinga wetu wa kusajili kwa ajili ya mechi ya simba na yanga ifike sehemu tujitambue jamani Wale wa Misri Jana ukiangalia hata ukihesabu wanaocheza timu ya taifa lao hawazidi 3 ndo ujue sisi soka letu bado sana!!!
 
Jana timu yetu kongwe ya Simba na wawakilishi pekee katika michuano ya kimataifa ya klabu bingwa Afrika walipokea kipigo cha magoli 5-0 kutoka kwa Al Ahly ya Misri.

Kipigo hiki kimekuja siku chache baada ya kipigo kingine cha idadi hiyo hiyo ya 5-0 kutoka AS Vita ya DR Congo. Kipigo kutoka kwa Vita kiliwauma sana washabiki wa Simba na kuwafurahisha sana watani wao Yanga.

Kwa kuwa waTZ ni watu wa kuzoea matukio bila ya kujali ukubwa au athari zake, ajabu washabiki wa Simba kwa kipigo kingine cha 5-0 kutoka kwa Al Ahly hawakuumia sana zaidi ya kushukuru kwamba wamefungwa kwa idadi waliyoizoea.

Kwa upande wa watani wao Yanga nao kadhalika hawakufurahi sana kwa sababu ya kujirudia kwa idadi ile ile ya 5-0. Walitamani idadi nyingine ya magoli kama 8-0 au 10-0 hapo roho zao zingekuwa kwatuu!

"Sasa kwa taarifa yenu watu wa Yanga, kwa kipigo cha jana hatujaumia wala nini...kwa sababu tushazoea kufungwa 5-0. Kama tungefungwa 1-0, au 2-0 ndio tungeumia. Haoo kandambili hatujaumia kufungwa 5-0..." alisikika mlevi mmoja.

Binti akishaanza kuliwa mtandao pendwa, hawezi kuona madhara yake mpaka siku ya kujifungua.

Comment fupi fupi tafadhali!
 
Wenzetu Yanga miaka 5 mfululizo hawajawahi kukanyaga makundi ya klabu bingwa, Simba tumekanyaga sio jambo dogo.
Tukubali makosa yetu, huku tukiwa tumepata fundisho la usajiri bora na sio kuokota wachezaji.
Tupange mikakati ya kupata point home game kundi liko open bado.
Yanga hawakukanyaga kutokana na sheria kuwa lazima upige game 3 ndio uende makundi.. kama ingekuwa game 2 yange angefuzu mfululizo katika hatua hiyo.. kuwa na kumb.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli Mimi ni Simba, ila sio mshabiki kivile, bas tu hiyo jokes imenichekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Huwezi amini mpk Sasa sijui wamefungwa ngapi. Sina interest na soccer
Njoo yanga basi. Huku tunajari ligi yetu tuu, hayo maligi ya nnje tumewaachia wao. Wapigwe hata kumi sis kwetu ni saawaa, jana simba kapigwa wiki dah! Nimefurah kimoyo moyo, warudi tuu huku tucheze nao matopeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia dawa iwaingie mikia nyie mechi mbili goli kumi!!! Mwarabu Jana kajipigia kipindi cha pili akaona acha apige Show game....
Hata tungefungwa mia nyie gongowazi hayawahusu...hii michuano nyie haiwahusu nyie mnamichuano yenu na leo mnacheza na kina alikiba
 
Yanga hawakukanyaga kutokana na sheria kuwa lazima upige game 3 ndio uende makundi.. kama ingekuwa game 2 yange angefuzu mfululizo katika hatua hiyo.. kuwa na kumb.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbukumbu zako zinakudanganya...nambie ni mwaka gani Yanga kafanikiwa kuzitoa timu mbili mfululizo...mbona mwaka jana tu kanuni hizihizi ziliwashinda mkaishia kuangukia kule viti maalumu
 
Mngelijua hilo basi mwaka jana msingetupigia kelele tulipofungwa ,wakati tukiwa kwenye hatua ya makundi michuano ya shirikisho CAF na bado tarehe 12 feb tena kwa mchina .
Yale mashindano ya viti maalumu....si mlishindwa huku ndo mana wakakupeleka kule kwenye viti maalumu😂😂😂...na najua unakumbuka vizuri baada ya mechi sita zote mliambulia pointi ngapi
 
Halafu mnabahati sana wachezaji muhim jana walikuwa majeruhi la sivyo balaa kubwa pale lingewakuta. Makonki oili chafu hawakucheza RAMADHAN SOBHI, ISLAM MGHABER, WALID SOULIMAN, ABDALLAH EL SAID, ZAKARIYA MUUMIN. daah cjui ingekuwaje 😂😂😂😂😂
 
Wenzetu Yanga miaka 5 mfululizo hawajawahi kukanyaga makundi ya klabu bingwa, Simba tumekanyaga sio jambo dogo.
Tukubali makosa yetu, huku tukiwa tumepata fundisho la usajiri bora na sio kuokota wachezaji.
Tupange mikakati ya kupata point home game kundi liko open bado.

Punguza Ushabiki njaa kama huu, Yanga SC tulienda hadi Jerry Murro akawa anamwambia Haji Manara " tukipewa pesa zetu tutawapatia pesa mumlipe Okwi ili msishushwe Daraja"
 
Back
Top Bottom