Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Haijawa hivyoUtaifa mbele .... kwa Mara ya kwanza
Ahly italizwa kwao na mbele ya halaiki ya waMisri !!
SIMBA. Nakuombea Dua'a ushinde!!
Mkuu umehama mikia?
[emoji1787][emoji1787],mkuu umemaliza kila kitu.Waisrael wenyewe walikimbia misri sie Simba ni nani hata tuendeee kubaki,,mnadhani Musa alikuwa mjinga kuvuka bahari
Sent using Jamii Forums mobile app
Npo naangalia mechi ya simba hapa labda watasawazisha[emoji1787][emoji1787],mkuu umemaliza kila kitu.
Sent from Gamboshi air line
Sisi kudundwa ndio zetu ila tuna kelele kama Chura😀Bado takribani sa 1:30 mtanange kati ya Al Ahly(Misri) na Simba (Tanzania) upigwe.
Utapata live update ,ikihusisha matukio yote ya mechi hii.
Mechi itaanza sa 4 kamili usiku kwa saa za Africa mashariki.
Waarabu wanazidi kumiminika uwanjani,ingawa sura chache nyeusi zinaonekana zikiingia uwanjani.
Leo lazima mwarabu apigwe,hakuna namna.
=====
UPDATES
View attachment 1011779
Acheni mambo ya ajabu Manula hawezi kuzidiwa na hao Magolikipa hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu, aibu aibuNa kwa taarifa wachezaj tisa wa kikos cha kwanza wa al ahly hawakuwepo .walikua majeruhi..mechi ya marudiano watakuwepo taifa.........kwani mkirusha taulo uwanjani mtapungukiwa nini ?
Tarehe 12/2/2019 anakuja kumuonyesha mume ukweni!! Harusi itafungiwa Algeria[emoji144][emoji144]Mkuu punguza jazba,Goli kumi fc[emoji1][emoji1]
Sent from Gamboshi air line
Walikuwa vizuri lini? Walifika makundi lini?Yanga ya Kimataifa ilikua vizuri kuliko simba sc kabisaa hilo halina ubishi
Hiyo miaka sita mfululizo ambayo sisi hatujaonekana kwenye tv mlifika wapi..mmewahi kufika hii hatua aliyofika simba???Wacha bwana mwaka wa 2 huu mnashiriki kimataifa mnajiona mmefiika, wakati miaka 6 mfululizo hamjaonekana kwenye tv yanga na azam tunawaburuza tu,
Kama wakongo na wamisri wanawapiga tanotano sijui hao barca na mancity mngepigwa ngapi, kwa uchache tu 20
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawao waliwatoa wachezaji wao muhim kipindi cha pili ili wasijeumia ko waliridhika na walichokipataJamaa waliridhika kipindi cha pili wamecheza kama wanafanya mazoezi hakuna cha mabadiliko wala nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida yao,waulize pia ni kwanini walimuuza Amis TambweHuwa nashangaa sana kwanini yule kipa kutoka Ghana mlimuuza. Nimemsahau jina lake.
Sent using Jamii Forums mobile app