joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwani wewe mwaka jana ulishiriki mashindano gani ya kimataifa?Yale mashindano ya viti maalumu....si mlishindwa huku ndo mana wakakupeleka kule kwenye viti maalumu๐๐๐...na najua unakumbuka vizuri baada ya mechi sita zote mliambulia pointi ngapi
๐๐๐
Kila la kheri Simba ,Simba mnyama mkali ,Simba taifa KUBWA ..simba nguvu moja
Feb 2, 2019
Alexandria, Egypt
Mubashara : Al Ahly Sc vs Simba Sc
- Half-time Al Ahly Sc 5 - 0 Simba Sc
- Final score Al Ahly 5 - 0 Simba Sc
Martin Lasarte, the first coach of Al Ahli Football Club, announced the formation of the team for the match against Tanzania's Simba in the African Champions League.
The
squad includes: Goalkeepers: Mohammed Al Shennawi.
Line of defense: Mohamed Hani, Saad Samir, Ayman Ashraf and Ali Maaloul.
Midfield Amr Al-Sulawiya, Hisham Mohammed, Nasser Maher and Hussein Al-Shahat Karim Nedved.
Offensive: Junior Ajay.
On the bench are Sharif Ikrami, Mahmoud Wahid, Mohammed Sharif, Hussam Ashour, Rami Rabia, Ahmed Hamoudi and Salah Mohsen.
Source : ยซูุงุณุงุฑุชูยป ูุนูู ุชุดููู ุงูุฃููู ุฃู ุงู ยซุณูู ุจุงยป
Mnamaanisha Haji Manara kasoma tano? Au?Bado takribani sa 1:30 mtanange kati ya Al Ahly(Misri) na Simba (Tanzania) upigwe.
Utapata live update ,ikihusisha matukio yote ya mechi hii.
Mechi itaanza sa 4 kamili usiku kwa saa za Africa mashariki.
Waarabu wanazidi kumiminika uwanjani,ingawa sura chache nyeusi zinaonekana zikiingia uwanjani.
Leo lazima mwarabu apigwe,hakuna namna.
=====
UPDATES
View attachment 1011779
YamekwishaMnamaanisha Haji Manara kasoma tano? Au?
Ndugu upo JF tangu 2014 yani ufahamu ni mwaka gani yanga waliingia kwenye makundi? nimekutafakari sana.Walikuwa vizuri lini? Walifika makundi lini?
ONA MAAJABU HAYA NDANI YA MIAKA 5 ILIYOPITA
Mwaka 2014.
Yanga 1 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 1 - 0 Yanga (Cairo)
(Al Ahly akashinda 5-4 kwa penati)
Mwaka 2016.
Yanga 0 - 0 Al ahly (Dar)
Al ahly 2 - 1 Yanga (Cairo)
Mechi nne ;-
Al ahly win 2
Yanga win 1
Sare 1
magoli ya kufunga;-
Al ahly 3
Yanga 2
hiyo inamaanisha katika mechi nne Yanga karuhusu goli 3 tu kwa Al Ahly wakati yeye pia akifunga goli mbili.
RECORD YA UNDERDOG.
Al ahly 5 - 0 Mikia SC
yaani magoli aliyofungwa katika mechi yake moja tu ni Sawa na magoli ya timu zote mbili katika mechi NNE walizocheza tena Al Ahly waliwapumzisha Key Players wao 8 , walimaliza mchezo first half hawakutaka kumaliza nguvu zao kwa Mbumbumbu. . Endapo wangeuwasha moto dk 90 basi underdog wangevunja rekodi ya Club African.
TUNAVYOITWA WA KIMATAIFA TAMBUENI SIO KAZI RAHISI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, inasikitisha jamani. Sasa simba watafute pa kujifichaYamekwisha
Township Rollers walimtoa game ya ngapi ?Yanga hawakukanyaga kutokana na sheria kuwa lazima upige game 3 ndio uende makundi.. kama ingekuwa game 2 yange angefuzu mfululizo katika hatua hiyo.. kuwa na kumb.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishiriki viti maalumu baada ya kutolewa huku alipo simba...ila pointi tulizozipata huku kwenye viti maalumu hatua ya makundi baada ya mechi sita zote mungu anajua๐๐๐๐๐Kwani wewe mwaka jana ulishiriki mashindano gani ya kimataifa?
Hakuna namna zaidi ya kuja kujipigia yanga 7:0 ,kupunguza machungu.Hahahahaha, inasikitisha jamani. Sasa simba watafute pa kujificha
We mwehu eeeh.. we unadhani pale alipotolewa na Al ahly alikuwa amepiga game ngapi?? Angalia 2014, 2016, 2017 pia angalia..Kumbukumbu zako zinakudanganya...nambie ni mwaka gani Yanga kafanikiwa kuzitoa timu mbili mfululizo...mbona mwaka jana tu kanuni hizihizi ziliwashinda mkaishia kuangukia kule viti maalumu
We mwehu eeeh.. we unadhani pale alipotolewa na Al ahly alikuwa amepiga game ngapi?? Angalia 2014, 2016, 2017 pia angalia..
Sent using Jamii Forums mobile app
TAKWIMU ZINAONYESHA KUWA YANGA AMAEFIKA HATUA YA MAKUNDI MARA MOJA TU. NASEMA MARA MOJA TU! SIMBA MARA 3.
Ndo uniambie sasa wewe ambae sio mwehu alipiga gemu ngapi na alimtoa nani na nani...hahaah soma hiyooooWe mwehu eeeh.. we unadhani pale alipotolewa na Al ahly alikuwa amepiga game ngapi?? Angalia 2014, 2016, 2017 pia angalia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni yanga ktk caf. Niambie waliingia makundi lini?Ndugu upo JF tangu 2014 yani ufahamu ni mwaka gani yanga waliingia kwenye makundi? nimekutafakari sana.