pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
duka lao lilikua wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naitaji nami maelekezo vizuri ili nitumie hii mtandao nachoitaji kuwa nacho na ujazajiwake wa form mpaka nipokee mzigo wangu na vipi kuhusu utapeli?Bidhaa zao mbovu wapuuzi hawa na customer care yao ni ya kikuda..kikuu na Aliexpress hawajawai kuniangusha..
Nilipata ofa yao ya subwoofer. Ikiwa na sifa kede kede sijui wireless speakers, bluetooth n.k.Dah, hawa jamaa nilikuwa nataka nianze kutumia huduma zao lakini kuna kitu kilinistua nikasita,nikawa tu mtazamaji wa ofa zao tu
Cameroon yupo Bwana Paul Biya nadhani....Kwamba Tz na Cameroon uwekezaji wa hawa jamaa umefail??
Bithaa ndiyo vitu gani mkuu????? Bila shaka utakuwa maana ccm tu.Besta Mlagila,
Hili nilijua.. Kwanza kabisa wana huduma mbovu sana
Naweza kutolea mfano kuna bithaa nilihitaji nyingi sana ambazo nilizikuta kwenye web yao Ila kutokana kua ni mgeni wa huduma zao nikaona niagize vichache kama sampo.. Niliagiza vichache ila nilivyo agiza na nilivyo letewa ni tofauti kabisa na vikiwa havina ubora kabisa. Nikatoa taarifa kua nimepokea bithaa tofauti siku iyo iyo nilipo vipokea wakasema watavifata.
Nizilipo pita siku mbili nikauliza vip maana nna siku saba za return wakasema kwa sababu umesha toa taarifa hilo lisikupe shaka.. Baada ya siku 7 kupita bila msaada nikawafata nikaambiwa return inafanyika ndani ya siku 7 hivyo hawana la kunisaidia. Nisema so militia taaria siku ile ile nilipopokea mzigo? Jibu lao ni kua kama nilitoa taarifa basi hazikuingizwa kwenye taarifa zao hivyo hawana la kunisaidia.
So sad
Kwa mtu mwenye akili sidhani kama atarudia tena kutumia huduma zao
''The Amazon of AfricaWakajipange aisee....wanazingua alaf wanadhan wenyewe ndo wanafanya biashara ya mtandao
UMENENA.Biashara ya Mtandao kwa Tanzania bado sana. Watanzania wanapenda wakione kitu
Kama Watumishi ni Wabongo wala sitoshangaa kampuni kukwama.Niliacha kuitumia baada ya nilichoagiza kuletwa kingine nikakikataa, halafu walivyokuwa wapumbavu, picha ya nilichokiwa nimeagiza ikabadilishwa, ila ile ya kwanza kabisa ikawa kwenye order nloifanya, sasa mleta bidhaa nikamuonesha nilichokiagiza akaangalia alichokileta akatikisa kichwa ila alikuwa mstaarabu, akavirudisha ile order akaikanseli
JUMIA imeanzishwa na jamaa ninayemfahamu, alikuja kwenye ofisi za IBM Nairobi kwenye chuo cha kikatoliki cha CUEA na kutoka semina kwa wanafunzi kuitangaza JUMIAHawana uhusiano na mabeberu?
Kiukweli tuna safari ndefu sana kuja kupiga hatua. Wiki kadhaa zimepita niliagiza chakula kutoka kwa dada mmoja hivi huwa anapika. Kile chakula kilivyokuja kilikuwa kimewekwa maharage, mchuzi, mbogamboga, nyama, huo ni wali umeletwa hivyo. Nilikifunua nikamrudisha aloniletea nikamwambia hivyo siwezi kula akaja nacho aliyepakua. Maneno aloyazungumza nikamkatisha tu nikamwambia usipate tabu, hiko chakula siwezi kula na nitakilipia urudi nacho. Nilikilipia kile chakula.Kama Watumishi ni Wabongo wala sitoshangaa.
Mimi huwa napenda sana kufuatilia huduma kila niingiapo Ofisi, Mgahawani, Duka au Usafiri...ninachogundua mara nyingi ukiona huduma ni nzuri na ya kujali Mteja basi anayekuhudumia ndiye mmiliki wa hiyo Ofisi/Duka/Mgahawa n.k.
Ni juzi tu nimeingia Bar moja kubwa tu A town, nikaagiza vinywaji Muhudumu akaleta kisha akakimbilia kuketi meza ya pembeni na kuanza kuchezea simu yake ili hali ile meza ilikuwa chafu..nikamuangalia kwa muda nikiwa nimekasirika sana kisha nikamuita, nikagomba kwamba "hivi huna uwezo wa kuona hii meza ni chafu?" basi akaenda kuchukua kitambaa huku amevuta mdomo utasema nimemtukana tusi la nguoni.
Inashangaza sana Mtu hajui hata kama mimi kuja pale ndio kampuni yake wanapata pesa ya kumlipa mshahara wake.
Ndio ile unakuta Mtu anawekeza kwenye usafirishaji, ananunua Mabasi ya gharama kubwa lakini anaishia kuajiri Wapuuzi watupu kutoa huduma...Wabongo tuwajinga sana.