Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Kwaiyo vyuma vimekaza bongo ila cameroon biashara mbaya? Mshazoea kusema mabaya tuuuu elezeni ukweli basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania tuna utamaduni wetu, mambo ya malls sijui kununua nyanya supermarket sisi (wengi wetu) hatuyafagilii kiivyo. Wabongo tunapenda kwenda sokoni, wale wa kununua kibaba kimoja na nguru huenda sokoni kila siku, wale wakununua vyakula vya mwezi mzima nao huenda sokoni jumamosi.Ndio maana biashara za shopping malls huko huwa hazifaulu, utawekeza jengo kubwa lenye maduka lakini ubaki na wahudumu wako kila siku miayo tu, Mtanzania na hela yake hata taxi hataki kutumia, bora abanane kwenye daladala na wamama wanaokwenda kuuza samaki Kivukoni, hajali shombo.
Usilazimishe tufanane mzee.
Unatakiwa ufanye research kwanza kabla ya kuanza businesses.
Kuna vifaa vinauzwa kila kona. Unatakiwa ufa utafiti kwanza kabla ya kuingia biashara.
Biashara zinazofaa online:-
1. Nguo
2. Spear parts
3. Hotel and apartment
Biashara ya chakula TZ utaangukia pua.
Huwezi ukauzwa biscuit, soda, juice, unga, sukari, nyama nk onlie. Uta fail tu.
Mambo ya kununua vitu mitandaoni ni tamaduni ambazo bongo hatuna.Kama hujafanya research huna haki ya kuongea.
Kilichofungwa ni Jumia Market na sio Jumia Food
Kha!! Kijana usitutake tufanane sawa!?View attachment 1279028Uliisoma taarifa yenyewe? Shida hio hapo wala hamna chakula kimetajwa! Chakula hapa Jumia hakipiti asimilia 5 ya mauzo yao. View attachment 1279033These here are items that I have ordered from Jumia. You know what? No food item!
Amekuelewa ila anahitaji kubisha tu !!!...Mkuu hata ulichoandika hapa kuhusu MABASI YA MWENDOKASI, SHOPPING MALLS na TAX inaonyesha kuna udhaifu mkubwa kwenye tafiti zako, kwa sababu hakuna ukweli hapo. Na kwa maana hiyo kunaweza kuwa na mapungufu pia kwenye hizo tafiti za makampuni ya nje unayoongelea
Tahadhari - usikosee kutumia majibu ya tafiti zilizofanyika Uganda kufanya maamuzi au utelezaji wa miradi Kenya au Tanzania ukidhadhi itakua sawa sababu ya kuwa zote ni nchi za Afrika mashariki. Kila nchi ina tofauti kubwa sana kihistoria na hilo linajenga jamii yenye tofauti flaniflani.....
Huyo ndio meko wao??Cameroon yupo Bwana Paul Biya nadhani....
Birds of the same feathers.........