KERO Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee

KERO Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.

Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
Na kwa nini ukope ?

Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!

Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....

sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE

data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....

una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
 
Na kwa nini ukope ?

Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!

Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....

sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE

data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....

una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Usijua Mzee wangu huwezi kua mwanaume kamili km hujui kukopa, kuna sehemu ukienda kuchukua jiko unaulizwa umeshawahi kukopa? Siku hio ndio unachumbia unatwangwa swali hilo halafu wanakusikiliza unavyojikanyaga
 
Na kwa nini ukope ?

Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!

Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....

sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE

data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....

una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Umejipataa😂
 
Na kwa nini ukope ?

Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!

Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....

sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE

data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....

una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Siku hizi hatushobokei mademu wewe pimbi🤣
 
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;

1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine

2. Internet yenye kasi zaidi

3. Vocha zao zipo kila mahali.

...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.

Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.

Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.

Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.

Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.

Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.

Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.

Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.

Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.

#ikimbievoda#
Ukiacha Voda,mtandao gani mwingine una internet yenye Kasi na ambayo haisumbui?

Hii kampuni ya majizi imekuwa shida sana
 
Usijua Mzee wangu huwezi kua mwanaume kamili km hujui kukopa, kuna sehemu ukienda kuchukua jiko unaulizwa umeshawahi kukopa? Siku hio ndio unachumbia unatwangwa swali hilo halafu wanakusikiliza unavyojikanyaga
Wanasemaga mtu ambaye hajawahi kudaiwa anashida kwenye ubongo.
Siwezi nikawa nimeishiwa MB na nipo sehemu mbaya au labda usiku sana na kuna document natakiwa kutuma halafu nikasema mpaka nifike mjini au mpaka kukuche ndio nitume kwa sababu sitaki kukopa.

Hicho kichwa kinakuwa kinaitesa sana shingo.
 
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;

1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine

2. Internet yenye kasi zaidi

3. Vocha zao zipo kila mahali.

...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.

Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.

Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.

Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.

Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.

Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.

Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.

Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.

Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.

#ikimbievoda#
@vodacom
 
Back
Top Bottom