moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Mtandao wenye kasi, usikivu mzuri na huduma nzuri kwa wateja hasa kwenye huduma za kifedha Mpesa.Imani gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtandao wenye kasi, usikivu mzuri na huduma nzuri kwa wateja hasa kwenye huduma za kifedha Mpesa.Imani gani?
Ebwanawee Vodacom ni balaaaaaa ukitaka kuamini hilo nenda huko bush vibanda utavyovikuta ni mpesa tu mitandao mingine utatafuta kwa tochiMtandao wenye kasi, usikivu mzuri na huduma nzuri kwa wateja hasa kwe huduma za kifedha Mpesa.
Kwa muda mrefu Vodacom wamenibamba lakini siku za hivi karibuni sijajua wamepatwa na pepo gani!?Ebwanawee Vodacom ni balaaaaaa ukitaka kuamini hilo nenda huko bush vibanda utavyovikuta ni mpesa tu mitandao mingine utatafuta kwa tochi
Hii umepiga kwenye TV au simu?
Ni balaaaaaaKwa muda mrefu Vodacom wamenibamba lakini siku za hivi karibuni sijajua wamepatwa na pepo gani!?
Na kwa nini ukope ?Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
Usijua Mzee wangu huwezi kua mwanaume kamili km hujui kukopa, kuna sehemu ukienda kuchukua jiko unaulizwa umeshawahi kukopa? Siku hio ndio unachumbia unatwangwa swali hilo halafu wanakusikiliza unavyojikanyagaNa kwa nini ukope ?
Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!
Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....
sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE
data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....
una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Sawa, tumewasikia.Punguzeni uswahili ambao hamkuwa nao huko nyuma
Umejipataa😂Na kwa nini ukope ?
Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!
Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....
sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE
data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....
una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Utakuwa una kalaini kapya au huwa hununui salio ndio maana unadanganywa kwa vidakika vya bureVoda sihami Mzee wangu napewa dakika za bure kila wiki kupiga bure dakika 5 na sms 20 bure nikimaliza napewa zingine bure vipi wewe unapewa bure?
Siku hizi hatushobokei mademu wewe pimbi🤣Na kwa nini ukope ?
Acha wakukaange na mafuta yako mwenyewe!
Songesha, Nipige Tafu, Saccoss..... vimikopo kopo havina kichwa wala miguu....
sina hela maisha haya, lakini sijawahi kukopa kampuni ya simu... NEVER ONCE
data zikiisha nasubiri nikipata shilingi elfu tatu nyingine naweka kifurushi.....
una chatije na demu kwa data za kukopa ?????
Ukiacha Voda,mtandao gani mwingine una internet yenye Kasi na ambayo haisumbui?Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Mimi hawasubiri wiki iishe. Dakika zikikata tu siku ya pili wananipa dakika 20. Ila kuna laini moja ndio wananipa nyingine hawanipi.Voda sihami Mzee wangu napewa dakika za bure kila wiki kupiga bure dakika 5 na sms 20 bure nikimaliza napewa zingine bure vipi wewe unapewa bure?
Wanasemaga mtu ambaye hajawahi kudaiwa anashida kwenye ubongo.Usijua Mzee wangu huwezi kua mwanaume kamili km hujui kukopa, kuna sehemu ukienda kuchukua jiko unaulizwa umeshawahi kukopa? Siku hio ndio unachumbia unatwangwa swali hilo halafu wanakusikiliza unavyojikanyaga
@vodacomVodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Ila kutoa gawio kwa wana hisa hakunaMtandao wenye kasi, usikivu mzuri na huduma nzuri kwa wateja hasa kwenye huduma za kifedha Mpesa.