KERO Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee

KERO Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wanasemaga mtu ambaye hajawahi kudaiwa anashida kwenye ubongo.
Siwezi nikawa nimeishiwa MB na nipo sehemu mbaya au labda usiku sana na kuna document natakiwa kutuma halafu nikasema mpaka nifike mjini au mpaka kukuche ndio nitume kwa sababu sitaki kukopa.

Hicho kichwa kinakuwa kinaitesa sana shingo.
Hawakopi lakini wanapiga mizinga kwa wanaume 5 kwa mpigo, wote mnatuma vocha za 10k kila mmoja.

Wanaanzaga kuwaomba hasa wale wanaowafukuzia
 
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;

1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine

2. Internet yenye kasi zaidi

3. Vocha zao zipo kila mahali.

...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.

Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.

Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.

Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.

Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.

Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.

Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.

Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.

Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.

#ikimbievoda#
Majaribio ya Mwanzoni kuzingua network kuelekea uchaguzi wa SM
 
Ukiacha Voda,mtandao gani mwingine una internet yenye Kasi na ambayo haisumbui?

Hii kampuni ya majizi imekuwa shida sana
Hakuna babu Halotel nao kuna muda jioni kuelekea usiku mtandao unabumbabumba tu haueleweki yaan majanga, Airtel nimeacha kutumia TIGO sijui utumie nini kunishawishi nitumie maana niliacha kutumia muda mrefu sana mpaka leo sijatumi yaan siielewi
 
Poleni kwa changamoto ya kimtandao.....

Kwanza mnaopiga kelele hapa wengi wenu mnaishi kwa ndugu zenu, mnatumia bando za shemeji zenu za bure, hamjawahi kuweka bando tangu mnunuliwe hizo simu na mashemeji zenu.
Iko hivi, suala la mtandao kugoma haipo kwenye kampuni ya Vodacom pekee, ni hali inayotokea kwenye mitandao mingine pia, hivo ni vizuri kuwa na subiri na kaba hasa kwa ninyi wanaume mnaopiga kelele hapa jukwaani.

Tumewasikia, tutajitahidi hili lisijirudie.
Asanteni.
 
Poleni kwa changamoto ya kimtandao.....

Kwanza mnaopiga kelele hapa wengi wenu mnaishi kwa ndugu zenu, mnatumia bando za shemeji zenu za bure, hamjawahi kuweka bando tangu mnunuliwe hizo simu na mashemeji zenu.
Iko hivi, suala la mtandao kugoma haipo kwenye kampuni ya Vodacom pekee, ni hali inayotokea kwenye mitandao mingine pia, hivo ni vizuri kuwa na subiri na kaba hasa kwa ninyi wanaume mnaopiga kelele hapa jukwaani.

Tumewasikia, tutajitahidi hili lisijirudie.
Asanteni.
Idiot huna akili.... na kama wana waajiriwa wa aina yako no wonder kampuni inaenda inakua hovyo
 
Poleni kwa changamoto ya kimtandao.....

Kwanza mnaopiga kelele hapa wengi wenu mnaishi kwa ndugu zenu, mnatumia bando za shemeji zenu za bure, hamjawahi kuweka bando tangu mnunuliwe hizo simu na mashemeji zenu.
Iko hivi, suala la mtandao kugoma haipo kwenye kampuni ya Vodacom pekee, ni hali inayotokea kwenye mitandao mingine pia, hivo ni vizuri kuwa na subiri na kaba hasa kwa ninyi wanaume mnaopiga kelele hapa jukwaani.

Tumewasikia, tutajitahidi hili lisijirudie.
Asanteni.
Umeolewa lakini mpaka unawadharau wanaume kiasi hicho au ndio kwa msaada wa mkono?
 
Siku hizi pia wamekuwa na tabia ya kufyeka sana mabando.... Ni wanapukutisha kwelikweli... Unanunua bando, hujakaa sawa limeshakwisha.....😢😢
 
Unafuatilia mkeka ili u-cash out net inapotea mazima. Wakirudi ni kuomba samahani na pengine wakupe dk za kupiga voda. Idiots.
Na wakati huo mkeka ulikuwa una cash out laki 4 halafu wanakuja kukupoza na MB 500.

Mimi ilinitokea nilikuwa nabeti live nikaomba goli litokee 1H dakika ya 38, ile nabonyeza hakuna mtandao hadi goli likaingia kweli.
Hao walikuwa airtel na niliwalaani sana.
 
Back
Top Bottom