Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Voda washakua wahuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakopi lakini wanapiga mizinga kwa wanaume 5 kwa mpigo, wote mnatuma vocha za 10k kila mmoja.Wanasemaga mtu ambaye hajawahi kudaiwa anashida kwenye ubongo.
Siwezi nikawa nimeishiwa MB na nipo sehemu mbaya au labda usiku sana na kuna document natakiwa kutuma halafu nikasema mpaka nifike mjini au mpaka kukuche ndio nitume kwa sababu sitaki kukopa.
Hicho kichwa kinakuwa kinaitesa sana shingo.
Km ni mtumiaji wa Vodacom muda mrefu unapewa km sio wa muda mrefu hupewi kwa hio hio unayopewa ni line ya malegendMimi hawasubiri wiki iishe. Dakika zikikata tu siku ya pili wananipa dakika 20. Ila kuna laini moja ndio wananipa nyingine hawanipi.
Noma sana Mimi hua situmi hata 100 mbovu mamamamammamaaeHawakopi lakini wanapiga mizinga kwa wanaume 5 kwa mpigo, wote mnatuma vocha za 10k kila mmoja.
Wanaanzaga kuwaomba hasa wale wanaowafukuzia
Majaribio ya Mwanzoni kuzingua network kuelekea uchaguzi wa SMVodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Hakuna babu Halotel nao kuna muda jioni kuelekea usiku mtandao unabumbabumba tu haueleweki yaan majanga, Airtel nimeacha kutumia TIGO sijui utumie nini kunishawishi nitumie maana niliacha kutumia muda mrefu sana mpaka leo sijatumi yaan siielewiUkiacha Voda,mtandao gani mwingine una internet yenye Kasi na ambayo haisumbui?
Hii kampuni ya majizi imekuwa shida sana
Idiot huna akili.... na kama wana waajiriwa wa aina yako no wonder kampuni inaenda inakua hovyoPoleni kwa changamoto ya kimtandao.....
Kwanza mnaopiga kelele hapa wengi wenu mnaishi kwa ndugu zenu, mnatumia bando za shemeji zenu za bure, hamjawahi kuweka bando tangu mnunuliwe hizo simu na mashemeji zenu.
Iko hivi, suala la mtandao kugoma haipo kwenye kampuni ya Vodacom pekee, ni hali inayotokea kwenye mitandao mingine pia, hivo ni vizuri kuwa na subiri na kaba hasa kwa ninyi wanaume mnaopiga kelele hapa jukwaani.
Tumewasikia, tutajitahidi hili lisijirudie.
Asanteni.
Sawa tumekusikia 🙏Idiot huna akili.... na kama wana waajiriwa wa aina yako no wonder kampuni inaenda inakua hovyo
Umeolewa lakini mpaka unawadharau wanaume kiasi hicho au ndio kwa msaada wa mkono?Poleni kwa changamoto ya kimtandao.....
Kwanza mnaopiga kelele hapa wengi wenu mnaishi kwa ndugu zenu, mnatumia bando za shemeji zenu za bure, hamjawahi kuweka bando tangu mnunuliwe hizo simu na mashemeji zenu.
Iko hivi, suala la mtandao kugoma haipo kwenye kampuni ya Vodacom pekee, ni hali inayotokea kwenye mitandao mingine pia, hivo ni vizuri kuwa na subiri na kaba hasa kwa ninyi wanaume mnaopiga kelele hapa jukwaani.
Tumewasikia, tutajitahidi hili lisijirudie.
Asanteni.
Upo kitengo gani hapo Vodacom au ndio mmeanzisha kitengo kipya cha kufukuza wateja?Sawa tumekusikia 🙏
Tumesharudi hewani
Ilikuwa ni changamoto ya kimtandao.
Tunaomba radhi watumiaji wetu kwa kukosekana kwa huduma zetu kwa muda mchache uliopita.
Asante.
Wanapiga tizi wanajiandaa na lile tukio kubwa 😄Bongo service availability ni 50/50 kwa huduma zote.
Na wakati huo mkeka ulikuwa una cash out laki 4 halafu wanakuja kukupoza na MB 500.Unafuatilia mkeka ili u-cash out net inapotea mazima. Wakirudi ni kuomba samahani na pengine wakupe dk za kupiga voda. Idiots.