Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Huko si ndo wanapotoa siri zetu hadharani?Nimehamia tigo pia
Hakuna Privacy kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko si ndo wanapotoa siri zetu hadharani?Nimehamia tigo pia
Ha ha ha haaaa tigo jau airtel ni matapeli wakubwaKwa hio sasa mnaamuaje mnarudi TIGO au mnarudi Airtel? Huku Halotel nafasi zimejaa msije mkatuletea jam
Mkuu pamoja na hayo yanayoongelewa, angalia na setting ya simu pia. Ingia hapo kwenye Setting> SIM and network setting>intelligent network optimization>mobile data always on line, ukifika hapo ui off, hiyo 'mobile data always on line' ikiwa on inasaga na kukoboa vibaya sana kuliko hata mchwa.Me mwenyewe nimenunua GB 1.4 nikataka nidownload movie nashangaa holaaa, nimehamia halotel
Siku za nyuma walikuwa wepesi kuomba radhi lakini kwa sasa wanatuchukulia poa tuNa mbaya zaidi wakirudi hewani hawaombi radhi wala kufidia mbs zetu
Tatizo la voda hawajali malalamiko ya wateja; kama ni kiburi sijui.
We mteja ni mkali sana, utanifanya niwe single mother 🤱Nataka nilete posa hapo Vodacom nikuweke ndani
Miwani ya gaza ndio ipi tena mkuu wangu😆Ndio uvae miwani ya gaza sasa?🤣🤣
Sasa ukiwa single mother hapo ofisini kwenu si mtakua mmeingiza mwanafamilia mpya wa VodacomWe mteja ni mkali sana, utanifanya niwe single mother 🤱