Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Acha zako bhana zerominus10Sasa ukiwa single mother hapo ofisini kwenu si mtakua mmeingiza mwanafamilia mpya wa Vodacom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zako bhana zerominus10Sasa ukiwa single mother hapo ofisini kwenu si mtakua mmeingiza mwanafamilia mpya wa Vodacom
Kwa hio posa nilete hapo Vodacom?Acha zako bhana zerominus10
Njoo huku Dodoma makao makuu utanikuta...Kwa hio posa nilete hapo Vodacom?
Tuachenii na Voda yetu.Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Ina Leakage Kila SehemuJioni ilipotea hewani tena
Suluhisho ni kuwahama tu.Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Unapewa bure kama hutumii, ukirudi kuutumia jumla hutaona hizo offer.Voda sihami Mzee wangu napewa dakika za bure kila wiki kupiga bure dakika 5 na sms 20 bure nikimaliza napewa zingine bure vipi wewe unapewa bure?
Fambaf hahaha🤣Nimegundua wateja wengi wakipata changamoto ya kimtandao na mara unaporejea wanahitaji kuombwa radhi.
Haya,..... tunaomba radhi ndugu wateja wetu kutokana na changamoto ya kimtandao iliyodumu kwa lisaa limoja usiku wa siku ya jana.
Endeleeni kufurahia huduma zetu mbalimbali kutoka mtandao wetu.
VODACOM....."power to you"
Mi nmerudi tigo kwa sasaIende wapi mkuu, dawa ni kuwa na mvhrpuko, naye akizingua unarudi kwa voda
Jumamosi ilikua halotel kwenye miamala leo tigoVodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo;
1. Huduma za kipesa ( mpesa) huduma hii inapatikana sehemu nyingi zaidi ya mitandao mingine
2. Internet yenye kasi zaidi
3. Vocha zao zipo kila mahali.
...........
Hata hivyo siku za karibuni mtandao huu umekuwa ukipotea hewani karibu kila wiki mara 2 au zaidi.
Muda huu ninaoandika hakuna mtandao wa voda kwa upande wa internet pamoja na kununua vifurushi.
Hii inaudhi sana kwani kukosa au kushindwa kununua vifurushi hukwamidha kazi za kimtandao.
Katika dunia hii inayotegemea kazi kwa kutumia mtandao, kukosekana kwa mawasiliano au huduma ya vifurushi hukwaza watu kufanyakaxi.
Nitoe rai kwa wahusika kujitakari kuhusu utoaji wa huduma zao.
Note; hii tabia ya kuja kufidia vifurushi vya masaa 24 baada ya huduma kurejea ni upuizi mtupu.
Kwa walaji/watumiajia wa vodacom nawashauri kuchukua tahadhari eidha kuuhama mtandao au kuwa na miyltandao mingine kukwepa kukwama endapo voda itapotea.
Jambo la mwisho; vodacom ndio mtandao wa wezi hasa kwa kutumia mikopo yao ya songesha na nipige tafu.
Ukikopa dakika hii na baada ya dakika moja ukiweka salio au kuweka mpesa unakatwa rejesho na riba kubwa.
#ikimbievoda#
Pia soma > Vodacom yafafanua changamoto ya mtandao inayoendelea, wanashughulikia kumaliza tatizo
Natumia voda na airtel, mmoja akizingua mwingine anafanya. Hizi line ni kama kuwa na wanawake tu, mmoja hawezi kukidhi mahitaji. Tuishi hivyo mkuu😅Vida sasa amezidi kwa ubovu. Hata muda huu huwezi kupokea wala kutoa pesa