KERO Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Tuachenii na Voda yetu.

Ni Sawa Sawa mwanaume akiishi na mwanamke Malaya afu akampenda Yani mtaongea lakini haachiki mtu hapa.

Voda naipenda Sana japo kuwa inanikeraga lakini najiona mtu wa pekee Sana kutumia mtandao wa Vodacom Tanzania 🇹🇿
 
Suluhisho ni kuwahama tu.
 
Fambaf hahaha🤣
 
Jumamosi ilikua halotel kwenye miamala leo tigo
 
Vida sasa amezidi kwa ubovu. Hata muda huu huwezi kupokea wala kutoa pesa
Natumia voda na airtel, mmoja akizingua mwingine anafanya. Hizi line ni kama kuwa na wanawake tu, mmoja hawezi kukidhi mahitaji. Tuishi hivyo mkuu😅
 
Najuta kutumia Mpesa jana na leo.Usijaribu kabisa kulipa bill au kutuma pesa.Tumia line nyingine tu.
 
Najuta kutumia Mpesa jana na leo.Usijaribu kabisa kulipa bill au kutuma pesa.Tumia line nyingine tu.
Aisee nilienda kula hitelini mahali..
Mpesa imegoma...na lipa ikanigomea zote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…