Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ndiyo siyo wewe tuWakuu naona network ya mtandao wa voda inasumbua hivi ni kwangu tu au na nyie mnapata shida kama mimi. Ni kama network haisomi na nina line ya airtel nikikaribu mpigia mtu wa voda hapatikani pia.