milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂utamaduni muhimu sanamaparachichi
Kibiashara inatoa image mbaya sanaHata kwangu sipati mtandao kabisa.
Vodacom nao wamekuwa kanjanja sana.
Hakuna taarifa wala nini?
Nchi imejaa wababaishaji kila idara iwe umma hadi binafsi.
Nisamehe mjingamimiKwaninj akili zenu kila muda zinawaza upumbavu?
Shida inakuwa nini?
Afu mtu anakushauri utunze pesa m-pesa kwa network hii si unalala njaaSiyo Vodacom tu hata Airtel ni kichomi,network mbovu sijapata kuona.
What a reason behind?Somebody whose abroad told me network is not good there.
Watoe taarifa muda gan mtandao utarudi kupitia social platform maana nimepitia ukurasa wao Facebook wapo kimya kama vile hakuna kinachoendeleaNAFIKIRI NI HITILAFU YA MWINGILIANO WA SAYARI
nafikili liko nje ya uwezo wao kitu kama ichoWatoe taarifa muda gan mtandao utarudi kupitia social platform maana nimepitia ukurasa wao Facebook wapo kimya kama vile hakuna kinachoendelea
Kutakuwa na shida mahali, siyo kawaidaWhat a reason behind?
Taarifa muhimu tupo zama za information agenafikili liko nje ya uwezo wao kitu kama icho
nafikiri huwenda ikazua taharuki isiyo na lazimaTaarifa muhimu tupo zama za information age
Tuwapeleka mahakamani wanatudhalilisha!