Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha,Ulijua kakuzimia nn??
Wakuu naona network ya mtandao wa voda inasumbua hivi ni kwangu tu au na nyie mnapata shida kama mimi. Ni kama network haisomi na nina line ya airtel nikikaribu mpigia mtu wa voda hapatikani pi
Hata kwangu, voda hiana networkTupo msibani hapa Beirut
Una hoja usikilizwe😀Ubunifu wa Rostam Azizi. anaona mnataka kuukimbia mtandao wa Tigo kwasababu ya Lissu. Kwakuwa mitandao yote ni ya kwake anafanya hivyo makusudi ili muone na Voda nako ni kimeo mbali huko huko tigo
Changomoto ipo upande wa kupiga na ujumbe mfupiYakwangu Iko very owkey!View attachment 3109720
Network hata kwangu inasoma full ila jaribu kupiga ndo inakwambia no signalYakwangu Iko very owkey!View attachment 3109720
Ni wote mkuuNimezima na kuwasha mara 3 lakini wapi nikajua ni mimi tu
maparachichimakatapela ndo yakoje
Unatumia Tigo ni sentence tata mkuuNina laini tatu.
Tigo,voda,halotel.
Voda wamezingua natumia tigo.
Kwaninj akili zenu kila muda zinawaza upumbavu?Unatumia Tigo ni sentence tata mkuu