Mtandao wa vodacom una shida au

Mkuu hio sentensi ya mwisho itakupa mamilioni ukienda mahakamani.
Kiufupi umevunjiwa heshima
 
Mtandao umekata kabisaaaaa,..imagine ndo upo bar unategemea ulipe kwa lipa namba...hapo ndo utajua ujui
Mkuu hiyo ni fursa .
We nenda baa piga chupa zako mbili sema nalipa kwa mpesa wakutukane. Then j3 mcheki kibatala useme voda wamesababisha heshima yangu imeshuka nahitaji 100 kama fidia.
 
Wamenikosesha game leo.. yaan mtoto alikuw kashasetika vizuri... network ikaja kuleta ngolowanje..
 
Vodacom watapaswa watulipe mabando yetu... Siyo kwa kutukwamisha huku.... Wamenikwamisha sana leo....
 
Huenda kuna kampuni inaenda kuchfauliwa wanataka wajitoe mapema kabla mambo hayajaharibika.
 
Dah mm nilikuwa na dili la milioni 600, ila Voda wamenikwamisha Sasa watasababisha nikose hii pesa mana mteja atasepa 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…