Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda hakuna mtandao tigo wanagawa mawasiliano yako kwa wauaji
Sipati picha akiwa amekupakia mkongo afu afumue hilo rinda lako 🔥Kuna danga langu liliniahidi kunitumia laki moja lakini MPESA imegoma.
Danga lenyewe la Congo jamani, asa itakuwaje halafu limeshaondoka! Uwiiiihhh! Nimebubujikwa na machozi!
Cc: Lucas Mwashambwa Lamomy Mbaga Jr cocastic
Mkuu hio sentensi ya mwisho itakupa mamilioni ukienda mahakamani.Hata huku nyanda za juu kusini hamna network upande wa kupiga na kutuma sms ila intaneti inafanya kazi.
Kwa mtandao kama Voda kutofanya kazi zaidi ya dk 30 nikusababisha hasara ya mabilioni kwa wateja wake sema ndio hivyo Tz wote ni waoga ila inabidi kuwaburuza mahakamani walipe fidia wajifunze.
Nimeshindwa kutoa pesa kwa ajili ya kulipia huduma Voda imenifanya kuonekana mbabaishaji kimsingi nimechukia sana.
Raahaa balaaa.... hapo naususa tu mkund aufanye asusa.Sipati picha akiwa amekupakia mkongo afu afumue hilo rinda lako 🔥
Ngoja na mm nitafute mkongo, siku ukija napasua njia yote hiyoRaahaa balaaa.... hapo naususa tu mkund aufanye asusa.
Mkuu hiyo ni fursa .Mtandao umekata kabisaaaaa,..imagine ndo upo bar unategemea ulipe kwa lipa namba...hapo ndo utajua ujui
Unanitoa udenda hapa hebu niache jamanNgoja na mm nitafute mkongo, siku ukija napasua njia yote hiyo
Nichek video call nikunyegeshe vzrUnanitoa udenda hapa hebu niache jaman
Wamenikosesha game leo.. yaan mtoto alikuw kashasetika vizuri... network ikaja kuleta ngolowanje..View attachment 3109797
Mungu amekuepusha na kisonono, upendo wa Mungu kwako umefanya wananchi wote kupata shidaWamenikosesha game leo.. yaan mtoto alikuw kashasetika vizuri... network ikaja kuleta ngolowanje..View attachment 3109797
Kulikuwa na call ya normal imeingia.. hata hivyo kwa whatsapp ilikuwa hatuelewani..Kwanini haukupokea?
Mali safi hiyo.. nimeikosa leo sijui lini itatiki tena🥲Mungu amekuepusha na kisonono, upendo wa Mungu kwako umefanya wananchi wote kupata shida