Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

Ni haki yake kusema hayo. Lowasa anawatesa sana, mzee wa watu katulia tuli.
 
haya Magufuli katwaa hekari 33 za waziri Sumaye ..wananchi wanajikatia maeneo
kama upo karibu na huna ardhi kachangamkie dili kuleeeee

Mi nipo mbali mdau, ila wananchi wake watakua wajinga kiasi gani mpaka 33 tu waitie wageni wakati hapo ilibidi wagawane watu angalau 6. Hao ni wazembe kabisa.
 
Jamaa anataka asikike kwa kiki ya kijinga. Mbona kuna waliompigia kura na sasa wanajuta ila hawasemi? Mwambieni huyo mchovu kwamba nafasi za u-DC na u-DED zimejaa.

Halafu inaonekani ni mmoja kati ya wanne kama usemavyo utafiti huu.

 
Bangi mbaya sana,hata siku moja isihalalishwe nchini,huyo Adam nimemsikiliza anatoa pongezi bila kutaja ni yapi mkuu kafanya,anakalia hapa kazi tu, kwa ufupi kama kijana mwenzangu nimemwona kama 'Hopeless' vijana wenzie hawana ajira yeye anabwabwaja tu.
 
HIVI NI NANI ALIYE WALOGA CCM MBONA HUWA MNAGA HOJA MAKINI NA NZITO ZAIDI YA KULETA THREADS GOIGOI???????????
SO WHAT THE PERSONAL COOKED INFO IS BENEFICIAL TO THE PUBLIC WISE???????????
HEBU ONDEENI UJINGA WENU NA HUYO MCHOVU,WHO IS MCHOVU TO US THAN IS NOTHING MAY BE SOMETHING TO YOU?
TUNATAKA KUSIKIA HABARI ZA MAENDELEO NA SIYO POLITICAL COMEDY TIME TO TIME THAT YOU BOYS OF CCM BRINGS TO US AS THE GREAT THINKERS.
 
ngojeni muda si mrefu mtasikia kapewa ukuu wa wilaya furalani
 
Anatafuta kick.....angoje TU magu atamuita

OVA
 
Anadhan zali kama lililomuangukia Hudson Kamoga ndio na yeye ataukwaa!kwanza magufuli mwnyw anajua fika kuwa vita ya membe na lowassa ndio iliyosababisha yeye kuwa rais hata wana chato aliwaambia wamsamehee alikuwa anabeep tu kugombea
 
Hivi yule aliyekua mkuu wa mkoa wa morogoro Mzee wa nimekosa Mimi nimekosa sana alishasamehewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…