Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Akili yako haina akiliIpo hivi..
Mtangazaji kwenda kujiunga na Clouds ama Efm - Ni sawa na timu ndogo kwenda ligi kuu.. Yani timu iliyokuwa inashiriki daraja la kwanza, sasa inaenda kucheza igi kuu na magiant wenzake..
Lakini Mtangazaji kutoka Efm ama Clouds kwenda Wasafi Fm/tv - Hapo ni sawa na mchezaji toka ligi kuu kwenda kusajiliwa timu ya ligi daraja la kwanza
Kumbuka, kuna vitimu vya daraja la kwanza nk vinauwezo kiuchumi kuliko hata hao wanaochezea ligu kuu
Kwa hiyo huyo jamaa amepanda daraja..
Maoni yangu
Waliompa umaarufu huu alionao sasa ni kina nani?Na bado watakimbia Sana huko, jamaa alikua hot sana ila wasafi wamefanya akaflop..
Kuna watangazaji Tanzania hii hawahitaji ukubwa wa channel kufuatiliwa, popote wakiwepo wanahama na kijiji chao, wafuatao ni baadhi ya watangazaji hao:
1. Salama Jabir
2. Captain G Habash
3. Maulidi Kitenge
4. Jonijo Babako
5. Millard Ayo
Ukiwa ndio boss wa hawa watangazaji, wachukulie kama maboss wenzako, sio wafanyakazi wako.
Kwa hiyo shida yako aisifie????..kaaazi kweli kweliMimi wewe sitegemei uisifie wasafi,hata si shangai.
Mafahari wawiliLil Ommy Na Jonijoo sijui kuna nini kati yao ilianzia Times FM , Jonijoo akasepa kumuacha Lil Ommy now tena Wasafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawang'oki wale hata kwa bilioniBado hatamsaidia huyu.
Avunje tu kibubu amung'oe dozen na demu mmoja wapo pale xxl
Hata wewe si shangai.
Waliompa umaarufu huu alionao sasa ni kina nani?
Haya ana kipaji alafu anafanya kazi Radio Abood angefahamika kiasi hiki?Kipaji chake
huu ujinga unaapply kwa konde boy tuAmelipa Kiasi gan kujitoa Wasafi? Maana Wasafi walitumia hela nyingi Ku Mbrand
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijipa umaarufu mwenye kupitia kipindi cha cha Now You Know youtube, au humjui, unataka kusema wasafi ndo wamempa umaarufu?Waliompa umaarufu huu alionao sasa ni kina nani?
Walimdanganya Jamaa wakachukua idea yake ya kipindi cha Now you Know Wakaamishia Bartender Sasa kijana kastuka kakimbiaHuyu alipe mil 900..tumembrand kwa gharama kubwa,hata ile gharama vya kipindi cha bartender n kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
naona tangu ameingia wasafi aliitelekeza channel yake ya youtube. Bora huko EFM nadhan atakua free kuendeleza chanel yake coz ina subs kuelekea laki 3Naona mkurugenzi wa ETV na EFM majizo anamtangaza jonijoo kama mtangazaji wao mpya wa vipindi na hii ni baada ya kuhama WASAFI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh kweli au kwakuwa kaondoka wasafi? Hebu niambie kwann hastahili kuwepo hapo?Aisee, kwenye list mwondoe huyo no 4.
Mkuu huo ndo ukweli kaupepo kamepita, Radio inategemea umaarufu wa MsaniiMimi wewe sitegemei uisifie wasafi,hata si shangai.
Haya ana kipaji alafu anafanya kazi Radio Abood angefahamika kiasi hiki?
Alikuwa Times alikuwa na huu umaarufu?