Mtangazaji Maulid Kitenge ahamia WASAFI FM akitokea EFM

Mtangazaji Maulid Kitenge ahamia WASAFI FM akitokea EFM

ID yako ni Yusuph Hashim na unayemuongelea hapa ni Yusuph Mkule. Wenye Akili pana na Wazoefu wa ID's hapa Jamvini tayari tumeshajiongeza na labda tu na Mimi nianze Kukupa Pongezi zako Yusuph kama nawe utamfuta huko Wasafi fm aliyekuwa Bosi wako hapo Efm Maulid Kitenge. Je, baada ya Wewe Kuwaaga hapo Efm nawe tukutegemee lini Kutangaza rasmi kuwa umetua hapo Wasafi fm? Nitashukuru ukinijibu Mkuu kwani Saa 1 na Robo ( yaani na dakika 15 ) nitakuwa natoka hapa ( Log Out ) hadi tena Saa 4 Kamili Usiku baadae ambapo nitarejea tena Kuliendeleza hapa JamiiForums.
Mkuu tumefanana majina tu. Mi situmii ID fake, thats my real name.
Nadhani nmeeleweka.
 
Hivi watangazaji wenye elimu kuanzia shahada na astashada mishahara huanzia tsh ngapi hasa?
 
Maulid Kitenge ni mtangazji mwenye mbwembwe lakini si mchambuzi mahiri...

Kama kutangaza tu habari za michezo kwa mikogo, jamaa yupo vizuri...

Lakini si mahiri katika kuchambua sayansi na ufundi wa michezo kwa mapana yake...

Wasafi wakitaka kuteka masikio ya wadau wa michezo basi hawana budi kutafuta pia akili za watu wenye kuchambua michezo kama Edo (soka) au yule bwana mdogo Geff (michezo yote) n.k.
 
Back
Top Bottom