Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Hapana ilikwp kabla ya hao nanitakuwepo mwenye idea yuponna Maulid ameshawatrain wenzake pale ni kawaida mbona itv haijafaEfm kwisha habari yake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ilikwp kabla ya hao nanitakuwepo mwenye idea yuponna Maulid ameshawatrain wenzake pale ni kawaida mbona itv haijafaEfm kwisha habari yake..
Huyo ni kma Pepe Gadiola kenye soka... Ukitaka Huduma yale yazima mfuko utoboke.
Mkuu tumefanana majina tu. Mi situmii ID fake, thats my real name.ID yako ni Yusuph Hashim na unayemuongelea hapa ni Yusuph Mkule. Wenye Akili pana na Wazoefu wa ID's hapa Jamvini tayari tumeshajiongeza na labda tu na Mimi nianze Kukupa Pongezi zako Yusuph kama nawe utamfuta huko Wasafi fm aliyekuwa Bosi wako hapo Efm Maulid Kitenge. Je, baada ya Wewe Kuwaaga hapo Efm nawe tukutegemee lini Kutangaza rasmi kuwa umetua hapo Wasafi fm? Nitashukuru ukinijibu Mkuu kwani Saa 1 na Robo ( yaani na dakika 15 ) nitakuwa natoka hapa ( Log Out ) hadi tena Saa 4 Kamili Usiku baadae ambapo nitarejea tena Kuliendeleza hapa JamiiForums.
Kulinganisha na nani
umeanza kushabikia siasa lini bwana mdogo ? maana si kwa kiherehere hicho , kwa mwendo huo mimba mashuleni hazitokomaKikubwa maslahi, mbona chadema wanahamia ccm kulinda matumbo yao
Acha maneno ya hovyo, usipangie watu cha Ku komenti ,umeanza kushabikia siasa lini bwana mdogo ? maana si kwa kiherehere hicho , kwa mwendo huo mimba mashuleni hazitokoma
Kijitonyama wameingia na huko sasa
This is Tanzania
Eti eeee!Kijitonyama wameingia na huko sasa
This is Tanzania
Wacha kumpagia cha kupostumeanza kushabikia siasa lini bwana mdogo ? maana si kwa kiherehere hicho , kwa mwendo huo mimba mashuleni hazitokoma