hakuna kiwango maalum ni Kujibrand tu na bargaining Power.Hivi watangazaji wenye elimu kuanzia shahada na astashada mishahara huanzia tsh ngapi hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kiwango maalum ni Kujibrand tu na bargaining Power.Hivi watangazaji wenye elimu kuanzia shahada na astashada mishahara huanzia tsh ngapi hasa?
Ushabiki tu,unaweza kuta jitu linapiga kelele humu oooh Wasafi radio ni habari mjini kumbe halijawahi Hata kusikiliza Hata kipindi kimoja😁😁Hivi kuna mtu huwa anasikiliza hiyo wasafi?
Jimmy mbona utoka povu kiasi hichoUshabiki tu,unaweza kuta jitu linapiga kelele humu oooh Wasafi radio ni habari mjini kumbe halijawahi Hata kusikiliza Hata kipindi kimoja😁😁
Unaongea na Mimi au na simu?Jimmy mbona utoka povu kiasi hicho
Bila Shaka wasafi FM wata heshimu Trip za nje ya nchi za kila wiki za Edo na Kitenge.Kule mavingu FM aka Wafu FM hali Ina zidi kuwa mbaya baada ya wasafi kutikisa EFM sasa itakuwa zamu ya Wafu FM.
View attachment 1236321
View attachment 1236296
Je kwa umri alionao yawezekana akavunja rekodi ya kuhama ?
hizo radio kongwa mtu akishatoka ametoka, huwa hana hamu ya kurudi tena. Hata radio zenyewe huwa hazifanyi usajili wa kutisha, zenyewe zinawaibua tu watangazaji.Huyu Kitenge mbona anahamahama sana vituo vya kazi?. Mwisho wa siku atajikuta anarudi Redio one. Ila namtakia mema huko alipohamia. Hajaacha pengo kubwa kwa kuwa Efm kwa sasa inajimudu imeifunika sana Clouds na kiuchambuzi wapo vizuri.
UndercoverNajua wengi hapa hawajakuelewa ila tunaomjua vyema Maulid Baraka Kitenge na Kazi yake nyingine huko Wasafi fm wawe makini. Naomba niishie hapa tafadhali.
hapana , bali ni habari mchanganyikoNayo ni habari?
Tunu ameondoka nae n official ila Oscar bado sijajua
halafu ni nani na nani wanasikiliza Wasafi fm ?Punde atawasiri na Edo Kumwembe pamoja Maestro hapo ni upande wa kuchambua na kudadavua michezo
Wasikilizaji ndivyo wanavyotafutwa hivyo , kuna watu wengi wanampenda Kitenge wataama.nae wasafi ili liko wazihalafu ni nani na nani wanasikiliza Wasafi fm ?
Saafi sana tunataka burudani sisiPunde atawasiri na Edo Kumwembe pamoja Maestro hapo ni upande wa kuchambua na kudadavua michezo