Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM na TvE kasoma Chuo gani cha Uandishi wa Habari Tanzania au nje ya Tanzania?

Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM na TvE kasoma Chuo gani cha Uandishi wa Habari Tanzania au nje ya Tanzania?

Kwa huu uamdishi wako pia tutahoji ulikosoma maana umekaa kishabiki shabiki sana.......Maulidi kazi yake kuuliza maswali kwa different angles.........Hata kama wewe ni shabiki wa Simba na ulifurahia majibu la Jeff Leah, ulitaka Kitenge asiulize tena?

Ujuaji wa ukizidi unakuwa ujinga
Mkuu, hiyo ndiyo hali ya kuwa na matokeo vichwani. Mi' sijakisikia/kukiona hicho kipindi. Lakini kwa jinsi alivyosimulia huyu anaye fanana saaaanaaa.... na GENTA.. ki- uandishi, mihemko, unazi kwa S.S.C, naona Kitenge yupo sahihi kuuliza swali kama hilo. Na mara nyingi, hata huku mitaani, huwa tunaongea hivyo, kuwa timu ambayo haipewi nafasi, huwa mara nyingi inaibuka na ushindi.
Kwa hiyo huyu ndugu yetu, hataki kusikia suala la SIMBA kushindwa!
 
Natamani sana nikijue hicho Chuo ili nianze Kukidharau kwani Kimezalisha a very bogus Candidate katika Tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini Tanzania.

Maulid Kitenge muda si mrefu akiwa katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM katoka Kumuuliza Mchambuzi Jeff Leah Maoni yake kuhusu Derby ya Kesho ya Simba SC na Yanga SC na baadae akatushangaza sana Wasikilizaji wenye Umakini na Uweledi.

Mchambuzi Jeff Leah akachambua vyema tu kwa kusema kuwa kwa Maoni yake anawapa Simba SC nafasi Kubwa ya Kushinda kwakuwa imefanya Maandalizi mazuri, imekamilika Kiufundi, haijabadili sana Kikosi chake na imecheza Mechi Kubwa ya Kirafiki na Timu Kubwa Barani Afrika, imeonyesha Mpira mkubwa hivyo pamoja walifungwa lakini Watakuwa wameimarika zaidi.

Cha Kushangaza Mtangazaji Maulid Kitenge baada ya kuona Mchambuzi Jeff Leah kaisifia zaidi Simba SC na kuipa Alama kubwa ya Ushindi Kesho huku Yeye akiwa ni Yanga SC lia lia akamchomokea kwa kusema kuwa lakini Yanga SC mara zote ikiwa Mbovu / Dhaifu huwa inamfunga Simba SC au hata kutosa Sare.

Maulid Kitenge huyu huyu hapo kabla alimuuliza pia Mchambuzi mwingine Jemedari Said kuhusu Maoni yake kuelekea Derby ya Kesho ambapo Jemedari alikuwa Neutral na sikumsikia Kitenge akisema lolote ila Jeff Leah alivyochambua Kiufundi na Kuipa Simba SC nafasi ya Kushinda Kitenge akaumia na kuanza Kuwashwawashwa kama Kawaida yake.

Moja ya takwa ( hitaji ) Kuu ( Mama ) katika Uandishi wa Habari wowote ule duniani ( hasa wa Print na Electronic ) ni Kumtaka Mhusika ( Mtangazaji au Mwandishi ) kuwa Objective ( Kutoegamia kokote ) na siyo Subjective ( Kupendelea ) ila huwa nasikitika kuona Mtangazaji huyu Maulid Kitenge hili huwa linamshinda hivyo kupelekea kutoka kujua ( Kuhoji ) amesomea Chuo gani / kipi cha Uandishi wa Habari ili nianze Kukidharau na Kuwadharau hata na Wakufunzi / Wahadhiri wake pia.
Mbona ww mwenyewe umekaa kishabiki tu , alafu unamuhoji mwenzako ,
 
Natamani sana nikijue hicho Chuo ili nianze Kukidharau kwani Kimezalisha a very bogus Candidate katika Tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini Tanzania.

Maulid Kitenge muda si mrefu akiwa katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM katoka Kumuuliza Mchambuzi Jeff Leah Maoni yake kuhusu Derby ya Kesho ya Simba SC na Yanga SC na baadae akatushangaza sana Wasikilizaji wenye Umakini na Uweledi.

Mchambuzi Jeff Leah akachambua vyema tu kwa kusema kuwa kwa Maoni yake anawapa Simba SC nafasi Kubwa ya Kushinda kwakuwa imefanya Maandalizi mazuri, imekamilika Kiufundi, haijabadili sana Kikosi chake na imecheza Mechi Kubwa ya Kirafiki na Timu Kubwa Barani Afrika, imeonyesha Mpira mkubwa hivyo pamoja walifungwa lakini Watakuwa wameimarika zaidi.

Cha Kushangaza Mtangazaji Maulid Kitenge baada ya kuona Mchambuzi Jeff Leah kaisifia zaidi Simba SC na kuipa Alama kubwa ya Ushindi Kesho huku Yeye akiwa ni Yanga SC lia lia akamchomokea kwa kusema kuwa lakini Yanga SC mara zote ikiwa Mbovu / Dhaifu huwa inamfunga Simba SC au hata kutosa Sare.

Maulid Kitenge huyu huyu hapo kabla alimuuliza pia Mchambuzi mwingine Jemedari Said kuhusu Maoni yake kuelekea Derby ya Kesho ambapo Jemedari alikuwa Neutral na sikumsikia Kitenge akisema lolote ila Jeff Leah alivyochambua Kiufundi na Kuipa Simba SC nafasi ya Kushinda Kitenge akaumia na kuanza Kuwashwawashwa kama Kawaida yake.

Moja ya takwa ( hitaji ) Kuu ( Mama ) katika Uandishi wa Habari wowote ule duniani ( hasa wa Print na Electronic ) ni Kumtaka Mhusika ( Mtangazaji au Mwandishi ) kuwa Objective ( Kutoegamia kokote ) na siyo Subjective ( Kupendelea ) ila huwa nasikitika kuona Mtangazaji huyu Maulid Kitenge hili huwa linamshinda hivyo kupelekea kutoka kujua ( Kuhoji ) amesomea Chuo gani / kipi cha Uandishi wa Habari ili nianze Kukidharau na Kuwadharau hata na Wakufunzi / Wahadhiri wake pia.
Kesho jumamosi nitakuja kukumbusha kwamba Kitenge alikuwa anakijuwa anachokiongea kuliko hizi porojo zako.

Kesho si mbali, save this comment.
 
Natamani sana nikijue hicho Chuo ili nianze Kukidharau kwani Kimezalisha a very bogus Candidate katika Tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini Tanzania.

Maulid Kitenge muda si mrefu akiwa katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM katoka Kumuuliza Mchambuzi Jeff Leah Maoni yake kuhusu Derby ya Kesho ya Simba SC na Yanga SC na baadae akatushangaza sana Wasikilizaji wenye Umakini na Uweledi.

Mchambuzi Jeff Leah akachambua vyema tu kwa kusema kuwa kwa Maoni yake anawapa Simba SC nafasi Kubwa ya Kushinda kwakuwa imefanya Maandalizi mazuri, imekamilika Kiufundi, haijabadili sana Kikosi chake na imecheza Mechi Kubwa ya Kirafiki na Timu Kubwa Barani Afrika, imeonyesha Mpira mkubwa hivyo pamoja walifungwa lakini Watakuwa wameimarika zaidi.

Cha Kushangaza Mtangazaji Maulid Kitenge baada ya kuona Mchambuzi Jeff Leah kaisifia zaidi Simba SC na kuipa Alama kubwa ya Ushindi Kesho huku Yeye akiwa ni Yanga SC lia lia akamchomokea kwa kusema kuwa lakini Yanga SC mara zote ikiwa Mbovu / Dhaifu huwa inamfunga Simba SC au hata kutosa Sare.

Maulid Kitenge huyu huyu hapo kabla alimuuliza pia Mchambuzi mwingine Jemedari Said kuhusu Maoni yake kuelekea Derby ya Kesho ambapo Jemedari alikuwa Neutral na sikumsikia Kitenge akisema lolote ila Jeff Leah alivyochambua Kiufundi na Kuipa Simba SC nafasi ya Kushinda Kitenge akaumia na kuanza Kuwashwawashwa kama Kawaida yake.

Moja ya takwa ( hitaji ) Kuu ( Mama ) katika Uandishi wa Habari wowote ule duniani ( hasa wa Print na Electronic ) ni Kumtaka Mhusika ( Mtangazaji au Mwandishi ) kuwa Objective ( Kutoegamia kokote ) na siyo Subjective ( Kupendelea ) ila huwa nasikitika kuona Mtangazaji huyu Maulid Kitenge hili huwa linamshinda hivyo kupelekea kutoka kujua ( Kuhoji ) amesomea Chuo gani / kipi cha Uandishi wa Habari ili nianze Kukidharau na Kuwadharau hata na Wakufunzi / Wahadhiri wake pia.
Unalchukia mtu asiyekujua

........ Endelea kuteseka
 
Huyu Mwamba kapotelea wapi Ndugu?
Yupo naona anakuja kivingine.

Ila mada zake ni zilezile...
1.Michezo na Watangazaji wake, eg.. Farhia wa ITV, Kienge wa EFM.
2.Siasa.. dubwana nguli la "Chavi Chavi Mkali"
3.Kutoa maonyo kwa vitisho.. utasikia Mh Jokate nakuonya acha kwenda kanisani mara moja.
4.Ulinzi na usalama.. Hahahahah huku mwamba ndio amebobeaa, sahivi kuna kauzi fulani katika ID zake 7
5.Uchawi, mbobevu sana wa nadharia za uchawi, siku kadhaa zilizopita alibwaga manyanga, alijinasibu humu.
6.Kupinga uwepo wa Mungu.. hapa ndipo palipo nifanya nimjue vizuri..

Gentamycine a.k.a ....
 
Nasikia sijui Form Four au Six alizungusha kwa Kupata Zero kabisa ikimaanisha kuwa hata Kichwani mwake ni Sifuri na ndiyo maana anashabikia pia Timu yenye Matahaira wengi iliyo mkabala na yanakopaki Mabasi ya Mwendokasi.
Bila Shaka wewe no tahira pia unashabikia timu ya kanjibai makoloko fc jezi zao zimejaa machata utadhani timi ya sudan

Hela zote za mikia au makolokolofc kashikilia kanjibai kanjanja

Soon your demise will be hear

Understand the word "timu ya wananchi" na respect it

Gaddem!!!
 
Natamani sana nikijue hicho Chuo ili nianze Kukidharau kwani Kimezalisha a very bogus Candidate katika Tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini Tanzania.

Maulid Kitenge muda si mrefu akiwa katika Kipindi cha Sports Headquarters cha EFM katoka Kumuuliza Mchambuzi Jeff Leah Maoni yake kuhusu Derby ya Kesho ya Simba SC na Yanga SC na baadae akatushangaza sana Wasikilizaji wenye Umakini na Uweledi.

Mchambuzi Jeff Leah akachambua vyema tu kwa kusema kuwa kwa Maoni yake anawapa Simba SC nafasi Kubwa ya Kushinda kwakuwa imefanya Maandalizi mazuri, imekamilika Kiufundi, haijabadili sana Kikosi chake na imecheza Mechi Kubwa ya Kirafiki na Timu Kubwa Barani Afrika, imeonyesha Mpira mkubwa hivyo pamoja walifungwa lakini Watakuwa wameimarika zaidi.

Cha Kushangaza Mtangazaji Maulid Kitenge baada ya kuona Mchambuzi Jeff Leah kaisifia zaidi Simba SC na kuipa Alama kubwa ya Ushindi Kesho huku Yeye akiwa ni Yanga SC lia lia akamchomokea kwa kusema kuwa lakini Yanga SC mara zote ikiwa Mbovu / Dhaifu huwa inamfunga Simba SC au hata kutosa Sare.

Maulid Kitenge huyu huyu hapo kabla alimuuliza pia Mchambuzi mwingine Jemedari Said kuhusu Maoni yake kuelekea Derby ya Kesho ambapo Jemedari alikuwa Neutral na sikumsikia Kitenge akisema lolote ila Jeff Leah alivyochambua Kiufundi na Kuipa Simba SC nafasi ya Kushinda Kitenge akaumia na kuanza Kuwashwawashwa kama Kawaida yake.

Moja ya takwa ( hitaji ) Kuu ( Mama ) katika Uandishi wa Habari wowote ule duniani ( hasa wa Print na Electronic ) ni Kumtaka Mhusika ( Mtangazaji au Mwandishi ) kuwa Objective ( Kutoegamia kokote ) na siyo Subjective ( Kupendelea ) ila huwa nasikitika kuona Mtangazaji huyu Maulid Kitenge hili huwa linamshinda hivyo kupelekea kutoka kujua ( Kuhoji ) amesomea Chuo gani / kipi cha Uandishi wa Habari ili nianze Kukidharau na Kuwadharau hata na Wakufunzi / Wahadhiri wake pia.
Kampime Mkojo kujua Uraia wake
 
Jamaa hata kama hajasomea uandishi wa habari kisha timiza ndoto zake kimaisha kwa kazi anahofanya ansafiri duniani kila kukicha,anatangaza biashara za makampuni makubwa kila kukicha,anaishi vizuri hawazii hela ya dagaa au utumbo wa kuku,jamaa usijipasue kichwa kumdadisi mtu aliyekupita maisha na wala hakufahamu kisa unazi ulionao kwa timu yako.
 
Mkuu, hiyo ndiyo hali ya kuwa na matokeo vichwani. Mi' sijakisikia/kukiona hicho kipindi. Lakini kwa jinsi alivyosimulia huyu anaye fanana saaaanaaa.... na GENTA.. ki- uandishi, mihemko, unazi kwa S.S.C, naona Kitenge yupo sahihi kuuliza swali kama hilo. Na mara nyingi, hata huku mitaani, huwa tunaongea hivyo, kuwa timu ambayo haipewi nafasi, huwa mara nyingi inaibuka na ushindi.
Kwa hiyo huyu ndugu yetu, hataki kusikia suala la SIMBA kushindwa!
Shida nikwamba watanzania wengi tunapenda kusikia yale yanayotufurahisha tu, tofauti na hapo tunaona si sawa...
 
Nasikia sijui Form Four au Six alizungusha kwa Kupata Zero kabisa ikimaanisha kuwa hata Kichwani mwake ni Sifuri na ndiyo maana anashabikia pia Timu yenye Matahaira wengi iliyo mkabala na yanakopaki Mabasi ya Mwendokasi.
Mkuu maisha siyo kupa division 1 au kufika univasiti.......na kama hujui wenye vipato ni wale ambao hata madarasa hawajui na wanawaajiri haohao wenye division 1 na first class za univasiti........
 
Jamaa hata kama hajasomea uandishi wa habari kisha timiza ndoto zake kimaisha kwa kazi anahofanya ansafiri duniani kila kukicha,anatangaza biashara za makampuni makubwa kila kukicha,anaishi vizuri hawazii hela ya dagaa au utumbo wa kuku,jamaa usijipasue kichwa kumdadisi mtu aliyekupita maisha na wala hakufahamu kisa unazi ulionao kwa timu yako.
Wengi wanadhani kusoma ndiyo kutoboa......
 
Maulid Kitenge ni mmoja wa waandishi wa habari watakaoathirika na Sheria mpya ya vyombo vya habari! 🙂
Hata alipokuwa Mwandishi,kibongo bongo Maulidi katoboa, labda kama unawivu tu wa maendeleo yake, maana kwa indozimenti alizonazo na matangazo, hawezi kulia njaa......hata akiwa MC tu
 
Back
Top Bottom