Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni MJINGA Kama Wajinga wengi inashangaza kuona Mamlaka husika zipo kimya na Maandiko yake wanayasomaTumeona vyombo kama Basata wakifungia nyimbo zinazochochea uzinzi lakini tunabaki na viulizo kwanini mtu huyu hajawahi hata kupewa onyo la vitu anavyoviandika mtandaoni.
Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni, Haoni haya wala aibu kusambaza maudhui ya ngono, kwa sasa anafahamika kama waziri wa ngono.
Inafikirisha Sana kuona mtu mwenye age 40+ mwenye familia anafanya haya hadharani.
Wanaosema suluhu ni kumu unfollow fikirieni nje ya box, wewe unaweza ukawa mtu uliestaarabika ukachukua uamuzi huo lakini umeifikiria jamii kwa ujumla hasa kwa vijana wetu wadogo ?
![]()
Eeh timu rikboyJamaa ashajua vitu wabongo tunapenda, kama una Bisha tafuta nyuzi inaitwa kula tunda kimasihara, ndio utajua huyo jamaa anajua anachokifanya.
Inafikirisha Sanahalafu walipokata jina lake baada yakuchukua form yakugombea urais wa TFF akawa analaumu hovyo...sasa kwa akili yake hii angewezaje kuongoza mpira wa tanzania?
Hivi ni yeye au ni kama yale ya Mugabe?Tumeona vyombo kama Basata wakifungia nyimbo zinazochochea uzinzi lakini tunabaki na viulizo kwanini mtu huyu hajawahi hata kupewa onyo la vitu anavyoviandika mtandaoni.
Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni, Haoni haya wala aibu kusambaza maudhui ya ngono, kwa sasa anafahamika kama waziri wa ngono.
Inafikirisha Sana kuona mtu mwenye age 40+ mwenye familia anafanya haya hadharani.
Wanaosema suluhu ni kumu unfollow fikirieni nje ya box, wewe unaweza ukawa mtu uliestaarabika ukachukua uamuzi huo lakini umeifikiria jamii kwa ujumla hasa kwa vijana wetu wadogo ?
![]()
Mbona sijaona uzi zi hapo au mm ndo sijui kuzomaTumeona vyombo kama Basata wakifungia nyimbo zinazochochea uzinzi lakini tunabaki na viulizo kwanini mtu huyu hajawahi hata kupewa onyo la vitu anavyoviandika mtandaoni.
Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni, Haoni haya wala aibu kusambaza maudhui ya ngono, kwa sasa anafahamika kama waziri wa ngono.
Inafikirisha Sana kuona mtu mwenye age 40+ mwenye familia anafanya haya hadharani.
Wanaosema suluhu ni kumu unfollow fikirieni nje ya box, wewe unaweza ukawa mtu uliestaarabika ukachukua uamuzi huo lakini umeifikiria jamii kwa ujumla hasa kwa vijana wetu wadogo ?
![]()
halafu walipokata jina lake baada yakuchukua form yakugombea urais wa TFF akawa analaumu hovyo...sasa kwa akili yake hii angewezaje kuongoza mpira wa tanzania?
Umekosa mengi mkuu🤣Eeh timu rikboy
Views mil 16
Sijawahi fungua huo uzi wa kinde.zi
Tumeona vyombo kama Basata wakifungia nyimbo zinazochochea uzinzi lakini tunabaki na viulizo kwanini mtu huyu hajawahi hata kupewa onyo la vitu anavyoviandika mtandaoni.
Oscar Oscar amekuwa gumzo mitandaoni, Haoni haya wala aibu kusambaza maudhui ya ngono, kwa sasa anafahamika kama waziri wa ngono.
Inafikirisha Sana kuona mtu mwenye age 40+ mwenye familia anafanya haya hadharani.
Wanaosema suluhu ni kumu unfollow fikirieni nje ya box, wewe unaweza ukawa mtu uliestaarabika ukachukua uamuzi huo lakini umeifikiria jamii kwa ujumla hasa kwa vijana wetu wadogo ?
maneno ya kuambiwa changanya na yako upate point haya mmbo kwani hayapo😂😂
nimeona waziri wenu nae anafolo account za utamu halafu hataki wengine wafaidi. Angalia isijekua kesi ya nyani umempelekea ngedereNitawahoji Sasa.......
Ila Tayari Limefika Kunakostahiri Atapata Stahiri Yake
Na anajuwa asilimia kubwa ya watz wanapenda mambo ya kijingjingHuyo haongei mtaani, anaongea kwenye akaunti yake kwa ajili ya watu waliomfollow, unafollow vipi kitu kinachokukera?
Karibu Kwangu!Sad enough pengine huyu ni Mume wa mwanamke flani anayejiheshimu pahala na Baba wa watoto kadhaa..!!
Mungu niepushe na mwanaume asiye na akili tafadhali..!![emoji120]