mbinde
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 801
- 651
[emoji2] [emoji2]Sema Ruge kwani sindio jina lake usiwe mtumwa Kwa kila jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2]Sema Ruge kwani sindio jina lake usiwe mtumwa Kwa kila jambo
...utasubir sana Dinna Marios namuania sana anajielewa sana huyo bint hawez kufanya ujinga huo..hadanganyik kwa vicent...Pj kajidharaulisha kama "bwana yule"Wamebaki Dina Marios na Maestro
Halafu earadio hawakuwah kupaniki hata siku moja sasa kibao kimegeukia kwake full kupanikiAlizoea kuwachukulia Ea radio sasa nadhani amepata wa kumchallange
sema tatizo anachanganya na kihehe na kikinga sasa redio zinazoshika mikoa mingine hawatamuelewaPale Iringa kuna jamaa anaitwa Edo hua namkubali sana kwa style yake.. Media ziende mkoani kuna vipaji vingi ziachane na ma al-watan wa Darisalama
Leo Tena naikubali hata iwejeClouds
Leo Tena
XXL
Jahazi
Makele matupu tangu mwanzo mpaka mwisho,hakuna content yoyote
Msoma Magazeti! Mhh huu usajili mwingine shida tupu. Kwani hakuna wasomaji wengine wa magazeti hadi atafutwe huyo PJ?Dah PJ lazima awapige salary ya maan wajinga ndio waliwao
Kipindi hicho gerald hando alikuwa anasoma magazeti ss atakubali kurud awe msima magazeti ??? Na PJ na Philp watafanya nn ss??Niliipenda sana pb kipindi kile yupo maosud kipanya, fina mango na Gerald hando, ilikuwa sikosi kusikiliza wale watu walikuwa na chemistry ya hatari ila masoud na fina walipoondoka tu na mimi nikaacha kusikiliza, na toka aliporudi masoud nimeanza tena kusikiliza pb ingawa ile ladha ya mwanzo bado haipo, i think wangeweza kumrudisha gerald akakaa na masoud kipind kingenoga mmmmno
Mkuu Mimi nilibahatika kusoma journalism na law! Unaweza kwenda evening classes ukatimiza ndoto zako!Hakuna kazi ninayoipenda duniani kama uandishi wa habari na utangazaji... Bahati mbaya sana nilisoma degree ya mambo mengine...
Choice fm
PJ wa kitambo sana, toka Radio Uhuru.Unamaanisha Zamaradi? haha inawezekana Zamaradi akawa mkongwe kwenye tasnia ya utangazaji kuliko ata huyo PJ. Zamaradi tokea enzi za C2C
...utasubir sana Dinna Marios namuania sana anajielewa sana huyo bint hawez kufanya ujinga huo..hadanganyik kwa vicent...Pj kajidharaulisha kama "bwana yule"
Kama wali balance kwanini wamemrudisha PJ? Unatetea tu lkn ukweli upo waziHivi mnajielewa kweli? Unaanzaje kumlinganisha Kipanya na Hando? Pengine wengi humu mnaandika bila uelewa wa kutosha. Kipanya ni kichwa na mwenye uelewa mpana wa vitu vingi. Kipanya ameanza kuchora na kutikisa anga za siasa enzi za Mwinyi kitu kinachompa advantage ya kujua mambo mengi. Kurejea kwa PJ kunarudisha ladha ya kuperuzi na kudadisi. Kipanya, PJ, Siza na Babra wanatosha. Fredwa atuamshe alfajiri tu.
Ubaoni e fm wapo vzuri ila jahazi ni matangazo tu kama bango ya tbc