kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Hivi Mkuu wa mkoa huyu si ndo yule aliesitisha zoezi la uwokozi ktk ajali ya kuvuko MV nyerere Kule ukala, kisa kiza kimeingia ee?baada ya kufariki kwa Ruge na eprahim kibonde nae amemaliza safari leo
mkuu wa mkoa wa mwanza ndie aliethibitisha hilo kwa kutoa taarifa hizi [emoji116] [emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah.Hivi Mkuu wa mkoa huyu si ndo yule aliesitisha zoezi la uwokozi ktk ajali ya kuvuko MV nyerere Kule ukala, kisa kiza kimeingia ee?
Maisha haya ni mafupi,,Ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie,akiumwa kampe pole,akikuomba msamaha samehe.,ukimkumbuka mjulie hali..Usiyape majivuno nafasi,tuna muda mchache duniani...
*Uhai ni zawadi, kifo ni lazima..* huu ujumbe utakusaidia sana kwenye Maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mfiwa inabidi ukubaliane na hali halisiInauma sana kwa kweli yaani ni mshituko ambao sijawahi pata
Mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu Ephraim Kibonde mahali pema peponi
Duh..ndo naskia.leo mamake langa amefariki..maskini..rip
WAJUZI WA MAMBO KUNA UKWELI NDANI YA HILI.. View attachment 1040085
Duhh! Mambo kama haya kule kwetu USA ni ngumu kuyaamini lakini pale Vienezuela yanaweza kuwa na mashiko. Poleni sana wafiwa na tumuombe muumba ailaze roho ya marehemu mahala panapostahili
Wapumzike Kwa Amani ! bwana Kawapenda Zaidi.....
Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums
View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao
Mmmmh kuna ukweli wajuvi dadavueni kidogoWAJUZI WA MAMBO KUNA UKWELI NDANI YA HILI.. View attachment 1040085View attachment 1040085
WAJUZI WA MAMBO KUNA UKWELI NDANI YA HILI?? .. View attachment 1040085View attachment 1040085
Jamani..sijui kbsMama kileo mbn ana wiki ,kafia US kwa mwanae Victor
MTC | 101| [emoji769]
Kifo ni roho, ni kiumbe wa rohoni, ni pepo ni shetani (sio) Lucifer, ila ni mmoja wa malaika wa giza mwenye daraja la juu.Kama ni kweli hakika tunatembea na kifo
Ni kwa familia ya marehemu pekee ndio kunakuwa na tatizo, haitoki nje ya familia ya marehemu. Kwani Kimbonde alikuwa ndugu wa Ruge?