TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

ujumbe murua kabisa. bila shaka wew ndo wa kwanza kuuandika. Zaidi ya watu 20 nimeona wameweka status whatsup na wengine wengi wameuweka instagram.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inauma sana kwa kweli yaani ni mshituko ambao sijawahi pata

Mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu Ephraim Kibonde mahali pema peponi
Pole sana mfiwa inabidi ukubaliane na hali halisi

.
 
Wapumzike Kwa Amani ! bwana Kawapenda Zaidi.....
 
Jamani alikuwa mc bukoba alimuaga ruge kwa uchungu dah.rip kibonde msalimie ruge mwambie yote alofanyiwa na wa tz
 
Kibonde ni mtu wa m
Ni kwa familia ya marehemu pekee ndio kunakuwa na tatizo, haitoki nje ya familia ya marehemu. Kwani Kimbonde alikuwa ndugu wa Ruge?

Kibonde ni mtu wa Mbeya hivyo sidhani kama wana undugu wowote.
 
Hivi yule Kibonde kwao ni wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Amekulia upanga opposite na muhimbili Primary,kwa sasa wazazi wake Mr & Mrs Samson Kibonde wako mbezi beach.ila asili yao ni wanyakyusa wa Tukuyu kuna kijiji kinaitwa Itete kipo Kyimo (K.K) babu yake mzee Job kibonde alihamia katika kijiji cha Ndolesi vuwwa wilaya ni Mbozi mkoa mpya wa Songwe na kuanzisha Mji wake huko miaka 1920 au 1930.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…