This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Mpumbavu kila ukimjibu atazidi kuonyesha upumbavu wake.unamjibu mara mbili tu halafu unamwacha anabwabwaja na kuzidi kuonyesha yeye ndio nyumbu na Unyumbu wake.kazi kwako.Na ndio dalili ya mtu kuwa nyumbu ni hii
Mkuu, nahisi ipo sana. Majuzi kuna Mwl mmoja wa sekondari moja Ngara kaangukuka ghafla ofisini alikimbizwa hosp na hakufika!!! Ni kwa mtindo huo wa kifo cha ghafla!! Agewise ni kama huyu Agness. Tuchukue tahadhari za kutosha.Khee!! Kwani huyo mdudu bado yupo?
Unaweza kukuta hapo ni baba na mtoto mnabishana.
Dada punguza unyumbu.hujaolewa nini.Nyumbu fc
Kweli kila mtu ana anachopenda kwa mwanamkeTeh teh teh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!
Wanaume tuna mambo nyie!
Wengine hupenda hata kucha tu, dah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Corona inaua kwa ghafla?Mkuu, nahisi ipo sana. Majuzi kuna Mwl mmoja wa sekondari moja Ngara kaangukuka ghafla ofisini alikimbizwa hosp na hakufika!!! Ni kwa mtindo huo wa kifo cha ghafla!! Agewise ni kama huyu Agness. Tuchukue tahadhari za kutosha.
Wee dogo mbishi kama jiwe
Upo sahihi ni MiddleSilaha yangu Kuu ( Kubwa ) ni 'Kujiamini' na naendelea Kusisitiza kuwa anaitwa Farhia Middle na siyo hiyo sijui Farhia Midle yako. Nibishie tena!!!!!!
sema hii siku alionekana kama amepoa sana..true.. tena juzi jumanne alisoma taarifa ya habari ya saa mbili usiku.. rip Agnes
Upo sahihi ni Middle
Wewe mpuuzi tu.Siku zingine usipende 'Kubishana' na Mimi GENTAMYCINE tafadhali kwani ukiona 'nalishikilia' tu Jambo jua nina uhakika nalo 100% Kiuhalisia sawa?
Ukija inbox nitakuambia ..tena nitakukaribisha aise ..ni watamu balaa.Hahahhahaa kula aisee..dah...Ila elfu kumi kuku mzima wapi huko boss