GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mbona kituo chao kinaendelea na program zao za kawaida kama vile hakuna kilichotokea
kwahiyo msibani watu huwa hawasalimiani, acha kiherehereUzi wa MAOMBOLEZO huu. salam peleka PM ndugu
R.I.P Agness A.
RIP Agy.
Ila alikua mdada mpole Sana huenda alikua na kitu kinamsumbua kwa muda mrefu.
Sudden death More often is manifestation of silence chronic underlying disease
Mbona Farhia Midle anajinenepea tu like nobody's business.Wanawaza Kwanza 'Mishahara' yao 'wanayoisotea' huu sijui Mwezi wa Pili sasa. Nakuomba Siku kutana na Mmoja wao akupe ya hiyo Kampuni ulie!
Mbona Farhia Midle anajinenepea tu like nobody's business.
Sijui ashaolewa yule dada
Wewe ulichagua wap mkuuKumbe wewe ulichagua kipande cha shingo miongoni mwa vipandi vingi alivyokuwa navyo marehemu
😀😀..dah kweli tunatembea na kifo.We ndio unajua leo
How old is she ?Pesa yako 'unang'oa' tu ila 'ukimboa' hasa kwa 'Kutomtunza' anakuacha mara moja. Na akiudhiwa na Mwanaume Jumapili Radio One utamkoma tu.
Umeona friend ...kuna ka elfu kumi nilikua nakabania nifanye jambo fulani , nikasema "shit" nimeenda kuchoma kuku mzimaYaani juzi tu kushinda Jana nikasema ana shingo nzuri uwii..tule tu maisha jaman..kujibana bana sio kbs
How old is she ?
aise kumbe PESA inaongea kwake ..ok ..Pesa yako 'unang'oa' tu ila 'ukimboa' hasa kwa 'Kutomtunza' anakuacha mara moja. Na akiudhiwa na Mwanaume Jumapili Radio One utamkoma tu.
Ni Midle sio MiddleUmeambiwa Mimi ni 'Babaake' Mzazi Mzee Middle?
Huyu keshautumia muda wake mfupi mno wa hapa duniani
Na huenda akawa ndio anaenda kuianza safari NGUMU mno ya maisha ya kaburini na hapo ataishi kwa muda pia huenda ikawa ni miaka 500,1000, 2000 kabla ya kiyama na zaidi (na Allah ndiye mjuzi juu ya hilo)
Tunaghiribika mno na maisha ya dunia na hali huko kuna Endless life
Ni Midle sio Middle
Acha 'Upumbavu' anaitwa Farhia Middle bisha tena.
Hata mimi nilisha wasahau hao ITVccmPole sana.
Tokea nimeacha kuangalia hiyo super brand siwajui kabisa hao watangazaji.