TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

maiti hasemwi kwa mapungufu yake bt anasemwa kwa mazuri yake nakutakiwa pumziko jema maana binadam wote tuwakosaji.
huu ndio ujinga wa wa-Afrika, kukosa Elimu eti maiti hasemwi, maiyti anachapwa kwa maujinga yake hata kama fimbo hazisikii.
Kama hasemwi mbon anasifiwa, ?
Huu ni ujinga wa kiwango cha Phd, mtu aliyemuua Ben saa 8, Azory , aliyempiga Lissu kweli akifa utamlilia, utaacha kumsema?
 
huu ndio ujinga wa wa-Afrika, kukosa Elimu eti maiti hasemwi, maiyti anachapwa kwa maujinga yake hata kama fimbo hazisikii.
Kama hasemwi mbon anasifiwa, ?
Huu ni ujinga wa kiwango cha Phd, mtu aliyemuua Ben saa 8, Azory , aliyempiga Lissu kweli akifa utamlilia, utaacha kumsema?
wewe ni makamilifu ndo maana unanena yote haya, kazi ya kuhukum ni ya mungu mtu unaeza muona mkosaji sana bt mbele za mungu kashatubia na ana daraja la pekee kuliko hata wewe mbwabwaji
 
wewe ni makamilifu ndo maana unanena yote haya, kazi ya kuhukum ni ya mungu mtu unaeza muona mkosaji sana bt mbele za mungu kashatubia na ana daraja la pekee kuliko hata wewe mbwabwaji
Hujielewi wewe, Sijamzungumzia huyu marehemu wa IYTV, nimetahadharisha kuombea marehemu/ Ibada ya Sanamu ni chukizo mbele za Mungu.

Mungu anahukumu ila kuna mambo yamezungumzwa kwenye vitabu vyake, kwa macho tunaona na tunajua,
 
Hujielewi wewe, Sijamzungumzia huyu marehemu wa IYTV, nimetahadharisha kuombea marehemu/ Ibada ya Sanamu ni chukizo mbele za Mungu.

Mungu anahukumu ila kuna mambo yamezungumzwa kwenye vitabu vyake, kwa macho tunaona na tunajua,
majaji wenzako wote wana busara kasoro wewe
 
@GENTAMYCINE ana ugonjwa wa kutukana ovyo kama Jiwe

Wa hivyo, kama walivyo unawakirimu kikamilifu sawa sawa na hali zao - unawapuuza!

MODs walifanya la maana sana. Kwani sasa maisha ni murua!

Pana mijitu midomo ni michafu na inanuka hata kuliko matundu ya vyoo vya shimo vilivyo kwenye vilabu vya pombe za kienyeji.

Maajabu na kweli, bado inatumia midomo hiyo hiyo pia kulia chakula!

Kale ka list katakuwa na kazi gani basi kama warugaruga hawa wangalipo roaming around and free?
 
Wa hivyo, kama walivyo unawakirimu kikamilifu sawa sawa na hali zao - unawapuuza!

MODs walifanya la maana sana. Kwani sasa maisha ni murua!

Pana mijitu midomo ni michafu na inanuka hata kuliko matundu ya vyoo vya shimo vilivyo kwenye vilabu vya pombe za kienyeji.

Maajabu na kweli, bado inatumia midomo hiyo hiyo pia kulia chakula!

Kale ka list katakuwa na kazi gani basi kama warugaruga hawa wangalipo roaming around and free?
Mzukulu kala ban ?
 
Mungu akupokee Agnes ..katika...ufalme....wake
 
Haya mambo ya kumkimbiza Mgonjwa mpaka Amana au Temeke na hizi foleni kutoboa uwa siyo rahisi,
Ni vizuri wakati mwingine kumuwahisha Mgonjwa kituo chochote cha afya apatiwe matibabu ya awali baadae sasa ndiyo mnaweza muhamishia huko Amana,Temeke au Mwananyamala.
 
Kama ya wengine , ila "Mvunaji hapangiwi pa kuweka Mazao"
Mungu hapangiwi, mara ooh awekwe mahali pema peponi, mara jehanam, aah, Utavuna ulichopanda, no more no less!
Kama Mazishi yawe kama ya wengine, ina maana unayoita ibada ya sanamu itakuwapo, maana ni mwili wake unazikwa.
 
huu ndio ujinga wa wa-Afrika, kukosa Elimu eti maiti hasemwi, maiyti anachapwa kwa maujinga yake hata kama fimbo hazisikii.
Kama hasemwi mbon anasifiwa, ?
Huu ni ujinga wa kiwango cha Phd, mtu aliyemuua Ben saa 8, Azory , aliyempiga Lissu kweli akifa utamlilia, utaacha kumsema?
Labda utueleze ni nani ili hata msiba tuususie.
 
Wewe mpuuzi tu.

Ujanja wote unaojitia unao lakini hukujua kwamba kwenye nafasi ya ugombea urais wa JMT mgombea Urais na makamu wake wanatakiwa wawe wanatoka pande mbili tofauti za muungano.
Umempa za uso, hawezi rudi tena.
 
Labda utueleze ni nani ili hata msiba tuususie.
Hatususi msiba, tunasusa ibada za wafu.

Nenda msibani omboleza na ombea wafiwa wabaki na amani, wasigombane wala kugombea mali za marehemu ila PA KUKAA MAREHEMU MUACHIE MUNGU.
 
Back
Top Bottom