900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Pole kwa familia, angeshuhudia Lissu anavyokabidhiwa nchi kwa jinsi anavyofanyiwa figisu na TBCRip[emoji26]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa familia, angeshuhudia Lissu anavyokabidhiwa nchi kwa jinsi anavyofanyiwa figisu na TBCRip[emoji26]
Pole sana myJamani huyu kaka[emoji24] alikuwa anatangaza kipindi cha kishindo cha awamu ya 5....apumzike kwa amani
Mbona simjuiPoleni kwa wafiwa, alikuwa mtangazaji mahiri
Bro hebu fafanua hapo. Mkewe alikua Rehema Mwakangale?Dah Elisha katangulia? Inasikitisha.
Nakumbuka alioa na kufanya harus na mtangazaji mwenzake hapo hapo tbc na walikuwa wakisoma taarifa pamoja enzi hizo tido yupo na tbc ilikuwa yenyewe.
Enzi hizo still a teenager mbioni kwenda Denmark. Nafika Denmark tu nasikia Rehema mwaka gale kafariki ITV
Rest in peace bro
Hapana Sikumbuki jina lake ila Rehema mwaka gale alifariki 2008-9 kama sijakoseaBro hebu fafanua hapo. Mkewe alikua Rehema Mwakangale?