Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua anapiga vitu vikali au maji ya Ilala?Rest in peace
Sema jamaa alikua mlevi Sana
Ni kama ununganisha dots hiv kati ya kifo cha rehema na elisha? Nimeuliza tuHapana Sikumbuki jina lake ila Rehema mwaka gale alifariki 2008-9 kama sijakosea
Hii ni second wave na kama kawaida huwa wanaanzaga TBC. Enzi zile walianza kina Marim, Lutengano na Kambanga!Chanzo cha kifo? Maana wabongo tusije tukaweka story zetu kujazia nyama.
Duuuh..Nimekuja kasi nikijua ni jiwe limesepa. Poleni sana TBfiiii
Niliwaza hvo pia.Hii ni second wave na kama kawaida huwa wanaanzaga TBC. Enzi zile walianza kina Marim, Lutengano na Kambanga!
Aisee na mm hii comment nimeishangaa.Kuwa na degree na Kifo cha jamaa vinahusianaje mkuu?
Pole...Daah crush is gone
ingekuwa vizuri nye wa kijani mgekuwa mnakufa kama kuku wa ngideri
Ni kutangulizana tu mkuu
we ungekufa tu huna faida
[emoji2088]Poleni sana tbccm, ni kishindo cha awamu ya tano
Msiwe mnamlazimishe MUNGU.Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
Kila mtu anacho kifo mbele yake. Usimwombee mtu kifo, kwa sababu hata usipomwombea atakufa tu. Sisi sote tutakufa na wewe pia utakufa kabisa.Nimekuja kasi nikijua ni jiwe limesepa. Poleni sana TBfiiii