TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...
Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..
Inaelekea unaifahamu/unamfahamu vema. Tatizo ni nini? single father? what happened akawa single father? Waziri wa enzi? nitonei inbox basi..
 
R.i.p Elisha japo ulikua tbccm ila ulijitahidi kubalance shobo sio kama waliobaki, hii ni second wave ya changamoto ya upumuaji, tuwe makini tuendelee kunawa mikono na social distancing japo hapa kwetu yule tyrant anadai imeisha kwa kufunga na kupiga nyungu
 
Nimesoma comments hapa, nikasikitika. Siyo kwa sababu mtu kafa. La! Kifo ni amri. Ni kwa jinsi kiongozi wetu mkuu alivyotugawa. Sijui akipewa miaka mingine 5 itakuwaje!
Hapana. Chuki za kibinadamu zipo tu.
Nakukumbusha:
1: Walivyofariki wanajeshi wetu Darfur ( Kikwetes regime) watu walishangilia.
2: Walivyofariki watanzania kule Mkuranga Kibiti 2015 May watu walisema yao.
 
Viol

Katika Hali ya kibinadamu umejibu ovyo sana,,kea vyovyote binadamu ni binadamu tu hata awe kichwa anathamani kubwa,,kweli ndg umenishangaza sana nimewaza yafuatayo:

1. Juzi jioni nikiwa mkolani nilishuhudia ajali ambayo uliniacha nilikuuliza sana, Toyota premio iliyokuwa inatokea buhongwa ikaacha njia ni kuvaa watu waliokuwa wanauza pembeni ya barabara,,watu waliumia lakini hakuna mtu aliyepoteza maisha eneo la tukio mpaka mim naondoka...ni mita kama 4tu ajali ilipotokea.

2. jana saa 10 hiv jioni nikaona ambulance ya kituo cha nyakanazi hapo mkolani ukienda bugando,,nikajiuliza umbali wa nyakanazi Mwanza lakini watu wanapigania uhai wa ndg na jamaa yao.

3. Inawezekana hujawahi patwa na msiba wa ndg yako wa karibu hivo hujui maumivu ya kufiwa na mprndwa wako ambae ulizoea kuwa nae Kila wakati...akafumba macho jumla...siku ukifiwa kbs utaelewa na akili zitarudi.

4. Jifunze kuheshinu utu wa mtu,,kigo ni kigo tu kweli lakini fikiri Hawa watu walioachwa wakoje kwa sasa,,,yawezekana alikuwa baba wa familia sasa baba hayupo,,watoto unawaza watakuwaje...na mke wake.

Siasa isikukufanye uone watu ni nzi...ni hayo tu ndg....
Ubarikiwe sana mtumishi
 
Dah Elisha katangulia? Inasikitisha.

Nakumbuka alioa na kufanya harus na mtangazaji mwenzake hapo hapo TBC na walikuwa wakisoma taarifa pamoja enzi hizo tido yupo na tbc ilikuwa yenyewe.

Enzi hizo still a teenager mbioni kwenda . Nafika k tu nasikia Rehema Mwakagale kafariki ITV

Rest in peace bro
RIP Elisha, unamaanisha RM alikuwa mke wake?
 
Dah Elisha katangulia? Inasikitisha.

Nakumbuka alioa na kufanya harus na mtangazaji mwenzake hapo hapo TBC na walikuwa wakisoma taarifa pamoja enzi hizo tido yupo na tbc ilikuwa yenyewe.

Enzi hizo still a teenager mbioni kwenda . Nafika k tu nasikia Rehema Mwakagale kafariki ITV

Rest in peace bro
Kwahiyo enock bwigane anaanza kupiga jaramba kwa mjane? natania tu R.I.P Elisha
 
Ni kweli,,wanasiasa tunawaomba wa control emotions zao na maamuzi yao,,sote ni wanadamu wajitaidi kuvumiliana na kutokuumiza jamii kwa kuigawa vipande,,
Mbona mnawasingizia wanasiasa?
Nani mwanasiasa amehamasisha chuki?
Wote wanasisitiza Amani, Upendo, Umoja.
 
Namjua mtu aliyefariki July 2020 kwa mchanganyiko wa magonjwa ikiwepo korona. Korona haiwezi kuwa Uganda, Rwanda, Malawi, Kenya... Halafu ikaheshimu mipaka ya nchi. Virusi havihitaji passport kuvuka mipaka.
asante sana. Umenitisha kuwa this is the second wave of upumuaji! Definitely corona bado ipo sana, sema the strain circulating among us is not that much virulent!, lkn Corona bado ipo sana!
 
Back
Top Bottom