TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
Una mawazo kama yangu
 
Hapana. Chuki za kibinadamu zipo tu.
Nakukumbusha:
1: Walivyofariki wanajeshi wetu Darfur ( Kikwetes regime) watu walishangilia.
2: Walivyofariki watanzania kule Mkuranga Kibiti 2015 May watu walisema yao.
Hata alipokufa yesu wayahudi walishangilia
 
Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.

Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.

Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.

Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.

Nikumbusheni iyo tamthilia.

Rest in peace bro
Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.

Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.

Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.

Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.

Nikumbusheni iyo tamthilia.

Rest in peace bro
kama sikosei ni the long weit. mkuu.....
pole sana kwa familia yote ya kazin na nyumbani.... Mungu awatie nguvu ktk kupindi hiki kigumu sana..... ukiwa hujawahi kupata msiba huwezi kujua uchungu wake.....
 
Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...
Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..

Vanessa ndo amezaa na Kisa??
 
kama sikosei ni the long weit. mkuu.....
pole sana kwa familia yote ya kazin na nyumbani.... Mungu awatie nguvu ktk kupindi hiki kigumu sana..... ukiwa hujawahi kupata msiba huwezi kujua uchungu wake.....
Mkuu hapana siyo hiyo. The long wait ilikuwa ya ufilipino ya kina hyina na Angelo nayo ilikuwa nzuri sana. Ila hii ilikua baada ya long wait ni telenovela ya Mexico
 
Mkuu ulisemalo liko sahihi kabisaa but wanasiasa watanzania ndoo wamefanya watanzania kutokuwa na utu,upendo pamoja na huruma .Inapotokea mpendwa wako ameuliwa,amepigwa risasi au amepotea kwa mzingira ya kutatanisha alafu unajua kuwa wanasiasa wameshiriki unafikiri kwenye fikra yako si utajaza chuki? ,kila ukimuona anaemshabikia huyo aliewatendea ubaya ndugu zako nae utamchukia kwani anakutonesha kidonda.Aneua nae anatakiwa ambewe kifo mapema ili asiendelee kuuwa.
Mkuu "ukijaza chuki" si utaishia kuugua vidonda vya tumbo, shinikizo la damu, nk na kisha utakufa wakati yule ambaye umejwnga chuki dhidi yake hana taarifa yoyote kuhusu wewe! Kila jambo baya huwa lina "uzuri" wake sema watu tulio wengi huwa hatufahamu jinsi ya kuangalia upande mzuri tu kwa manufaa ya afya zetu...
Sijuhi kama umenielewa, ila jifunze kuanzia leo kutazama mazuri tu kwenye kila jambo baya!
 
pole kwa wana familia na watangazaji wa TBC kwa kumpoteza mkongwe mwengine ktk tasnia ya utangazaji, binafsi nilimkubali sana Elisha ni mtangazaji makini na mahiri asiye na mbwembwe za kijinga.
Apumzike kwa amani
 
Dah Elisha katangulia? Inasikitisha.

Nakumbuka alioa na kufanya harus na mtangazaji mwenzake hapo hapo TBC na walikuwa wakisoma taarifa pamoja enzi hizo tido yupo na tbc ilikuwa yenyewe.

Enzi hizo still a teenager mbioni kwenda . Nafika k tu nasikia Rehema Mwakagale kafariki ITV

Rest in peace bro
Actually kijana anaitwa Elisha Elia Mwakagali, na siyo Mwakalinga.
 
Hapo Tbc Pana makazi ya kudumu ya malaika mtoa roho! Watu wa Mungu nendeni mkashushe maombi y a kumfukuza huyo israili mtoa roho kwani amewamaliza watangazaji wazuri na kuyabakisha Yale yanayosifia ccm 24/7! Anyway, watajuana wenyewe kwani wamegeuka wasifiaji badala ya wahabarishaji!
 
Mkurugenzi Mkuu Dkt. Ayub Rioba anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Mwandishi wa Habari Elisha Elia, kilichotokea tarehe 24/10/2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Taarifa zaidi zitatolewa.

R.I.P home boy wangu.
Hili jina la Mwakalinga ni geni ila nalijua Mwakagali..
Cc Mods
 
acha kumuita mwenzio “mavi” kama wewe ni mstaarabu futa hii comment, bora hata yeye amefariki anajulikana Tanzania nzima na ma elfu ya watu wametoa pole,wewe unayemuita Mavi hata humu JF tu hujulikani na ukifa utazikwa bila kufunguliwa uzi humu,be humbe mkuu acha hizo kejeli zako na matusi
yani huyo marehemu hujamfikia kabisa hata robo,mwenzio alikuwa na mishahara miwili serikalini
Wengi hawajui kuwa huyo kijana ni mjukuu wa Askofu Mwakagali.
Ni mtoto wa wapakwa mafuta.
 
acha kumuita mwenzio “mavi” kama wewe ni mstaarabu futa hii comment, bora hata yeye amefariki anajulikana Tanzania nzima na ma elfu ya watu wametoa pole,wewe unayemuita Mavi hata humu JF tu hujulikani na ukifa utazikwa bila kufunguliwa uzi humu,be humbe mkuu acha hizo kejeli zako na matusi
yani huyo marehemu hujamfikia kabisa hata robo,mwenzio alikuwa na mishahara miwili serikalini
1. Mavi sija m-refer Elisha, namsema yule aliyesema kuwa pengo halitazibika. Sina mjadala na Elisha! He was agentle guy, sina tatizo naye. Ila hilo la pengo halitazibika nalikataa.
2. Kwani wewe unanijua? Unajua mimi nina mishahara mingapi? hata ikiwa 1,000,000 so what? of what use to me?
3. Kila mmoja anaweza kutangaza, I guess, kila mmoja akipenda! Ndiyo maana unaona fani imevamiwa... lkn siyo kila mmoja anaweza kuwa daktari.
 
Back
Top Bottom