Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Tena yupo pingapinga Fc.Mimi nasema Shetani hayupo jehanamu, tuko nae duniani hapa hapa na nina wasiwasi yupo kwenye hii thread maaana kuna comment unazisoma. Unaona kbsa huyu muandika comment sio binadamu ni real devil asee.