3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Ha ha ha mkuu nenda fb utaipataSamahani mkuu, hata ka picha ka mdogo wake japo nje ya mada, maana hata sir tunataka kumliwaza mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha mkuu nenda fb utaipataSamahani mkuu, hata ka picha ka mdogo wake japo nje ya mada, maana hata sir tunataka kumliwaza mkuu.
maombi y a kumfukuza huyo israili mtoa roho kwani amewamaliza watangazaji wazuri na kuyabakisha Yale yanayosifia ccm 24/7!
Ni siri ya familia. Nenda kahudhurie msiba utayajua maradhi yake wakati wa kusoma wasia wake.Yaani waliosema kufika sijui mwaka gani waandishi wawe na degree waliona mbali. Slow down mzee unapoingia barabara kuu, embu tuambie nini kimetokea kupelekea kifo chake. R.I.P mwandishi
Maneno huumba.Relax, watu tunakunywa bia tu polepole hapa, huwezi kunilazimisha nisikitike wakati nina furaha katika hilo
Poleni kwa wafiwa, alikuwa mtangazaji mahiri
Imeolewa ile mkuu....kipind niko chuo mwaka wa kwanza ilikua mwaka wa pili nadhan au wa3...hakuaga vile...alikua mtoto m1 malaika..yaan anavaa magaun marefu makubwaa...Kuna pini moja tbc ipo white hv halafu tall kiaina huwa ionaga ikitangaza aridhio sjui ndio taarifa ya habari ya sku hizi jina nimelisahau
Dah ile manzi ikikata moto nitagalagala kama jiwe anavyo galagala kuomba kura.
Wacha kuniletea upoyoyo wako hapo esopoooo! Jiwe linajidaigi kusema "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu" hapo hapo linahudhuria kanisani na sakramenti linashiriki lakini bado linateka watu, linaua! Mimi ni nani hata nisinywe bia pale anapofariki mmoja wa washiriki uovu??Maneno huumba.
Yule atakafakariye yale yaliyotoka moyoni mwako, hakika umejiwekea akiba.
Lakini tumeaswa na vitabu vitakatifu kuvumilia maana Yeye Muumba ni moto ulao, na huangamiza wenye hila na uadui.
Na hufanya hivyo kwa wakati wake, hachelewi wala hawahi!
Ha ha haYani kumsifu Magufuli ni jemedali ndio liwe pengo?
Aisee unachekesha kweli.
Maisha ya mmoja yakipotea, maisha ya mwingine yanazaliwa...
Ukaghone malafyale Elisha!!!
Ninamfaham..itoshe kusema aliachana na mke wake baadae akazaa na mwanamke mwingine....na alikua akiishi kwao hadi anaaga duniaInaelekea unaifahamu/unamfahamu vema. Tatizo ni nini? single father? what happened akawa single father? Waziri wa enzi? nitonei inbox basi..
Nakumbuka aliwekwa karantin karibu miez mitatu kule babati...R.i.p Elisha japo ulikua tbccm ila ulijitahidi kubalance shobo sio kama waliobaki, hii ni second wave ya changamoto ya upumuaji, tuwe makini tuendelee kunawa mikono na social distancing japo hapa kwetu yule tyrant anadai imeisha kwa kufunga na kupiga nyungu
Corona inashambulia ukiwa na kinga dhaifu...asante sana. Umenitisha kuwa this is the second wave of upumuaji! Definitely corona bado ipo sana, sema the strain circulating among us is not that much virulent!, lkn Corona bado ipo sana!
Dictates of immunology..... specificity, memory and self and non-self recognitionCorona inashambulia ukiwa na kinga dhaifu...
NdiyoVanessa ndo amezaa na Kisa??
Hapo Tbc Pana makazi ya kudumu ya malaika mtoa roho! Watu wa Mungu nendeni mkashushe maombi y a kumfukuza huyo israili mtoa roho kwani amewamaliza watangazaji wazuri na kuyabakisha Yale yanayosifia ccm 24/7! Anyway, watajuana wenyewe kwani wamegeuka wasifiaji badala ya wahabarishaji!
9 ya kitabu gani ndugu?Rest in peace 💔😇
9 Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.