TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

TANZIA Mtangazaji wa TBC Taifa, Elisha Elia Mwakalinga afariki Dunia

Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.

Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.

Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.

Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.

Nikumbusheni iyo tamthilia.

Rest in peace bro
😂😂😂😂😂Ila WeWe jamaa ni changamoto.
 
Mkuu ulisemalo liko sahihi kabisaa but wanasiasa watanzania ndoo wamefanya watanzania kutokuwa na utu,upendo pamoja na huruma .Inapotokea mpendwa wako ameuliwa,amepigwa risasi au amepotea kwa mzingira ya kutatanisha alafu unajua kuwa wanasiasa wameshiriki unafikiri kwenye fikra yako si utajaza chuki?

,Kila ukimuona anaemshabikia huyo aliewatendea ubaya ndugu zako nae utamchukia kwani anakutonesha kidonda.Aneua nae anatakiwa ambewe kifo mapema ili asiendelee kuuwa.
CCM ndo baba wa chuki na visasi..
 
Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
Yaani uko kama mimi kabisa,nililiona hilo na nikamwambia rafiki yangu mbona huyu kaka alikua handsome na afya nzuri mbona namuona muda unavyoenda anapauka,jana yeye ndio alikua wa kwanza kuniambia habari ya msiba.Alikua mtangazaji mzuri sana.May he RIP.
 
Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...

Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..
Elisha kweli ukimuangalia alikuwa anaumwa zamani alikuwa na SHAVU la kutosha lakini hivi karibuni alipungua sana hadi kichwa unaona mashimo!! Poleni sana ndugu ,jamaa na marafiki........
 
Nimesoma comments hapa, nikasikitika. Siyo kwa sababu mtu kafa. La! Kifo ni amri. Ni kwa jinsi kiongozi wetu mkuu alivyotugawa. Sijui akipewa miaka mingine 5 itakuwaje!
Ni kweli
Comments zinaashiria kuna mgawanyiko mkubwa kuliko tunavyodhani
Kuna historia ya marehemu inaongelewa humu nusu nusu mara ex mume mara akina Lutengano mara akina Rehema sijui wave ya pili etc....

Apumzike kwa Amani
Acha tumalizie kulikomboa Taifa
Umoja utarejea kupitia Lissu
 
Kuna pini moja tbc ipo white hv halafu tall kiaina huwa ionaga ikitangaza aridhio sjui ndio taarifa ya habari ya sku hizi jina nimelisahau

Dah ile manzi ikikata moto nitagalagala kama jiwe anavyo galagala kuomba kura.
Uta tangulia wewe kukata 🔥
 
Kwani Elisha Elia alikuwa haisifii CCM masaa 24?

Marekani kuna chombo kinaitwa FOX NEWS, kinasifia Trump masaa 24. Tanzania kuna TANZANIA DAIMA kinasifia upinzani muda wote, kuna TANZANITE linasifia serikali muda wote. Radio Maria FM inamsifia Bwana Masiha kutwa kucha, Radio Imani inamsifia Bwana Mtume muda wote.

Vyoote hivi hakiendeshwi kwa kodi ya umma. Hilo ndio tatizo la TBC.

Elisha Elia alikua uso wa TBC. Watu hawawezi kusikitika.
Pole ndugu, huelewi kitu.
Fox news network si mali ya Serikali ya MAREKANI. Ni chombo binafsi.
TBC inaendeshwa na kodi za watanzania, irregardless of the POLITICAL AFFILIATION . Inapaswa itoe nafasi SAWA kwa wote.
 
Ratiba
IMG-20201026-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom