Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hakika....neno Lina faraja Sana.. AsanteWarumi 14: 9
Umependa..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika....neno Lina faraja Sana.. AsanteWarumi 14: 9
Umependa..?
Nilimuona Mara ya mwisho kwenye uzinduzi wa chuo cha wachina pwaniKumbe watu mnaangaliaga TBC?
RIP ELisha ELia . Nakumbuka ndoa yako ilioneshwa chereko.
Mungu awatie nguvu wanafamilia
😂😂😂😂😂Ila WeWe jamaa ni changamoto.Tido alivoingia TBC aliwakuza na kuwapa isha Elisha Elia, marine h marine, dihaule, pendael Omar. Iyo 2006.
Kuna telenovela flan ilikuwa kali enz hizo watu tulifuatlia msaada WanaJamv jina ya iyo telenovela. Kuna binti alitoka familia ya kimaskin akasinginziwa akapelekwa jela baba yake alikuwa maskini Lakini alipendwa na mama flan tajiri yuko kwenye wheel chair. Hii tamthilia ilibamba vibaya sana enzi hizo tvt ilipobadilika tbc. Nikumbusheni jamani jina ya iyo tamthilia.
Halafu tido aliwanoa kweli kweli Akina Elia. Unakuta kwenye taarifa ya habari kama kuna tukio la mafuriko wanamuita mtaalamu wanamuhoji katikati ya habari wakimaliza wanaelewa.
Ama Elisha Elia anaweza kumtembela mtaalamu kama dk bana unamuona anakatiza hadi getini naakumhoj.
Nikumbusheni iyo tamthilia.
Rest in peace bro
CCM ndo baba wa chuki na visasi..Mkuu ulisemalo liko sahihi kabisaa but wanasiasa watanzania ndoo wamefanya watanzania kutokuwa na utu,upendo pamoja na huruma .Inapotokea mpendwa wako ameuliwa,amepigwa risasi au amepotea kwa mzingira ya kutatanisha alafu unajua kuwa wanasiasa wameshiriki unafikiri kwenye fikra yako si utajaza chuki?
,Kila ukimuona anaemshabikia huyo aliewatendea ubaya ndugu zako nae utamchukia kwani anakutonesha kidonda.Aneua nae anatakiwa ambewe kifo mapema ili asiendelee kuuwa.
Yaani uko kama mimi kabisa,nililiona hilo na nikamwambia rafiki yangu mbona huyu kaka alikua handsome na afya nzuri mbona namuona muda unavyoenda anapauka,jana yeye ndio alikua wa kwanza kuniambia habari ya msiba.Alikua mtangazaji mzuri sana.May he RIP.Lakini all the same ulipokuwa ukimwangalia usoni Elisha, kwa watu ambao wana umri mkubwa wa kuishi na kuona mengi (kuishi kwingi ni kuona mengi), clearly huyu alikuwa anaumwa! Niliwahi kusema kuwa huyu hii siyo afya ya kawaida... RIP.... si vizuri kutaja watu lkn kuna mwingine Bwigane naye afya yake huwa siipendi... mnisamehe..
Hawasemi siku hizi Mkuu kama ni ule ugonjwa mpya wa kubana mbavu.
Kuwa na degree na Kifo cha jamaa vinahusianaje mkuu?
Elisha kweli ukimuangalia alikuwa anaumwa zamani alikuwa na SHAVU la kutosha lakini hivi karibuni alipungua sana hadi kichwa unaona mashimo!! Poleni sana ndugu ,jamaa na marafiki........Ninadhan ninaweza kukubaliana na wewe kwa upande w elisha..kuna wakat alipoteza dira kabisa alikua mlevi kupindukia na kazini pia aliacha kuja kabisa..wakat huo alikua anahusishwa na mama mmoja hivi wazir wa enz..baadae sana ndhan baaada y canceling ya kutosha ndiyo akawa tena vizuri...
Na kipindi hiki ndiyo alikua anajiweka viziri kuitafuta nyota yake ila bahat mbaya ugonjwa uliomuua umemuua..so so sad kwa familia ya elia watoto wake wawil vanesa na lugano..pole kwao bado wanahitaji mapenzi yake hasa ukizingatia ni single futher..
Ni kweliNimesoma comments hapa, nikasikitika. Siyo kwa sababu mtu kafa. La! Kifo ni amri. Ni kwa jinsi kiongozi wetu mkuu alivyotugawa. Sijui akipewa miaka mingine 5 itakuwaje!
Uta tangulia wewe kukata 🔥Kuna pini moja tbc ipo white hv halafu tall kiaina huwa ionaga ikitangaza aridhio sjui ndio taarifa ya habari ya sku hizi jina nimelisahau
Dah ile manzi ikikata moto nitagalagala kama jiwe anavyo galagala kuomba kura.
Wewe ni house girl wake nn acha wivu shangaziUta tangulia wewe kukata [emoji91]
Kuna yule jamaa wa habari za biashara....ashukuru Mungu tu anaruhusiwa kuvaa yale makotiElisha kweli ukimuangalia alikuwa anaumwa zamani alikuwa na SHAVU la kutosha lakini hivi karibuni alipungua sana hadi kichwa unaona mashimo!! Poleni sana ndugu ,jamaa na marafiki........
Pole ndugu, huelewi kitu.Kwani Elisha Elia alikuwa haisifii CCM masaa 24?
Marekani kuna chombo kinaitwa FOX NEWS, kinasifia Trump masaa 24. Tanzania kuna TANZANIA DAIMA kinasifia upinzani muda wote, kuna TANZANITE linasifia serikali muda wote. Radio Maria FM inamsifia Bwana Masiha kutwa kucha, Radio Imani inamsifia Bwana Mtume muda wote.
Vyoote hivi hakiendeshwi kwa kodi ya umma. Hilo ndio tatizo la TBC.
Elisha Elia alikua uso wa TBC. Watu hawawezi kusikitika.
Dah kudadeki humfahamu ndio maana hata ukiwekewa picha yake humjuiWeka picha wengine hatumfaham
Poleni sana familia ya mzee Mwakagali.