Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Kuna watu hawataki kwa makusudi kusikia maoni ya ushauri kutoka kwa wengine hapa JF.
Nilileta mada hapa inahusu kuwataka waanze kuzungumzia ilani yao ya uchaguzi wakakataa.
Nimekuwa naongelea jinsi upinzani unavyokosa mikakati na mipango ya jinsi ya kukabiliana na CCM bila kutusiana wala kutafutiana makosa ya kiuchochezi lakini imekuwa ni ngumu kueleweka.
Hili la mikakati, mbinu na mipango nimekuwa nikilipigia kelele kwa muda mrefu lakini nimekuwa sieleweki.
Upinzani hauwezi kuitoa CCM madarakani kirahisi kama mnavyojiaminisha.
Nimesema haya kama maoni ya kiuchambuzi lakini mtaniita wa Lumumba.
Upinzani uwe tayari kusikiliza ushauri na maoni mbadala.
Nilileta mada hapa inahusu kuwataka waanze kuzungumzia ilani yao ya uchaguzi wakakataa.
Nimekuwa naongelea jinsi upinzani unavyokosa mikakati na mipango ya jinsi ya kukabiliana na CCM bila kutusiana wala kutafutiana makosa ya kiuchochezi lakini imekuwa ni ngumu kueleweka.
Hili la mikakati, mbinu na mipango nimekuwa nikilipigia kelele kwa muda mrefu lakini nimekuwa sieleweki.
Upinzani hauwezi kuitoa CCM madarakani kirahisi kama mnavyojiaminisha.
Nimesema haya kama maoni ya kiuchambuzi lakini mtaniita wa Lumumba.
Upinzani uwe tayari kusikiliza ushauri na maoni mbadala.