Uchaguzi 2020 Mtani wangu Tundu Lissu pokea huu 'Ukweli' wangu japo najua hujaambiwa na unaweza ukawauma Wakupendao

Uchaguzi 2020 Mtani wangu Tundu Lissu pokea huu 'Ukweli' wangu japo najua hujaambiwa na unaweza ukawauma Wakupendao

Nini maana ya PHD tuanze kwanza na wewe isije ikawa wewe ndio kamishna wa vilaza
PhD za CCM ndizo huagiza wapinzani wabambikiwe kesi, phd zilizopo CCM ndizo phd za hovyo kupata kutokea Duniani
 
Mmeshindwa kuwa na chombo cha habari cha uhakika ambacho kitakuwa huru kurusha mikutano yenu ya kampeni kama ilivyo bila kuchuja content.mfano ilitakiwa muwe na online TV ya chadema.hakuna kitu mnagombana na TBC, wenzenu hata kama hawana online TV wana pesa za kulipia chaneli mbalimbali na wakaheshimiwa kurushwa kwa mkutano kama ulivyo , rejea hotuba mbalimbali za JPM huwa hazichujwi.

Pili mgombea wa chadema anatakiwa ajikite kwenye sera za namna gani atafanya akiwa Rais kuzidi serikali ya JPM,vitu kama hivyo.. badala yake amekuwa anatumia nguvu nyingi kulezea namna amepigwa risasi na vidonda vyake sijui nini sijui... as if watanzania hawajui kuwa alishambuliwa.vitu kama hivyo.

Watu wachache walioudhulia mkutano wa leo baadhi yao wameondoka wamechukia hakuna la maana.
.
Chadema imepitia hali ngumu kwa miaka mitano,wamekumbwa na mambo mengi sana ya kuwaondoa njia kuu ya kufanya au kushiriki siasa.
Wapongeze kwa hata hicho tunachoona leo.
 
75% ya hao wanaccm mil 8 wameichoka ccm na wako tayari kumpigia Lisu kura.
Tatizo ni NECCCM kutembea na matokeo ya Urais, Yaani CCM ishinde isishinde Tumeccm watawatangaza CCM kwa nguvu huo ndiyo Ugonjwa sugu uliopo Tanzania hii ya unyanyasaji tokea CCM
 
Sera za chadema ziko wazi mkuu ambazo ni÷

1. Tundu amepigwa risasi 16 na hakufa

2. Ujenzi wa bwawa la umeme siyo kipaumbele cha watanzania

3. Ujenzi wa reli ya umeme siyo kipaumbele cha watanzania

4. Ndege zilizonunuliwa ni mbovu

5. Mikutano ya kisiasa imezuiwa

6. Wazungu wanaitwa Mabeberu huku wanatupatia misaada mbalimbali

7. Tundu alifutwa ubunge akiwa anatibiwa

8. Tume ya uchaguzi siyo huru

9. Hatutakubali kuibiwa kura

10. Matusi na kejeri kwa serikali

Hizo ndiyo sera za chadema.
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Tatizo ni NECCCM kutembea na matokeo ya Urais, Yaani CCM ishinde isishinde Tumeccm watawatangaza CCM kwa nguvu huo ndiyo Ugonjwa sugu uliopo Tanzania hii ya unyanyasaji tokea CCM
Safari hii tunatakiwa kuukomesha kwa gharama yoyotee
 
kuna mda hua nawashangaa sana, hii mada ya lissu na magufuli ilitakiwa iwe ishaisha mda mrefu sana! huezi kumlinganisha mtu mwenye PHD na mtu mwenye diploma ya imla za sheria, there is no way lissu anaweza battle na magufuli because he is smart na sio kwamba tunawachukia ila penya ukweli tunasema!

kuna uwezekano hata cdm isje kuskia tena kwa sababu hamko serious, wewe haiwezekani useme kuna corona alafu uite mkutano, hujavaa barakoa na hufuati all necessary steps ni kwamba unajikanyaga, magu alisema hakuna corona na anasmamia, ina maana hakuna kuvaa mask na shuhuli ziendelee kama kawa, huu ndo uanaume sasa! ukiangalia hata taarifa za leo imefika stage watu wanaandamana kupinga utapeli wa corona, means magufuli is 1000 years ahead, haya mambo ya kuombea sjui risasi zmebaki mwilini ni maswala ya kuandika imla darasa la tatu , yaliotokea mbagala iwe fundisho
Habari za chato mkuu , kuwa na PhD na kutokuweza kutamka hata sentensi moja ya kiingereza ndio mnaita uchumi wa kati eeee ?
 
Habari za chato mkuu , kuwa na PhD na kutokuweza kutamka hata sentensi moja ya kiingereza ndio mnaita uchumi wa kati eeee ?

language sio important , mbna china hawaongei kingereza, what about RUSSIA, KOREA wanaongea ENGLISH? na hapa ndo inajionyesha kabisa mnataka kuuza nchi, how can you measure kwa kutumia english, ARE YOU OK UPSTAIRS, ukweli ni kwamba jamaa i smart hio haina ubishi na watanzania wote as long hauvai barakao means we ni fun wake
 
Kuna watu hawataki kwa makusudi kusikia maoni ya ushauri kutoka kwa wengine hapa JF.

Nilileta mada hapa inahusu kuwataka waanze kuzungumzia ilani yao ya uchaguzi wakakataa.

Nimekuwa naongelea jinsi upinzani unavyokosa mikakati na mipango ya jinsi ya kukabiliana na CCM bila kutusiana wala kutafutiana makosa ya kiuchochezi lakini imekuwa ni ngumu kueleweka.

Hili la mikakati, mbinu na mipango nimekuwa nikilipigia kelele kwa muda mrefu lakini nimekuwa sieleweki.

Upinzani hauwezi kuitoa CCM madarakani kirahisi kama mnavyojiaminisha.

Nimesema haya kama maoni ya kiuchambuzi lakini mtaniita wa Lumumba.

Upinzani uwe tayari kusikiliza ushauri na maoni mbadala.

Kakojowe ukalale
 
Usiwapangie chadema vya kusema waacha waongee vyao kwani nani alikutuma ukampige risasi Tundu lisu? Kama hukutaka aongelee maumivu yake ungeacha kumfanyia ushetani wako, kama huko CCM mna sera nzuri za maana si uende kuwaongezea maarifa huko waache kuwahujumu kuwadhoofisha chadema kuwabambikia kesi kuwapiga kuwafanyia kila baya wapinzani.


i think msaliti anatakiwa kua dead not injured, what kind of human unaweza kusaliti nchi yako na utake kugombea uraisi, kwa uchaguzi huu ccm wamecheza karata vizuri, ingawa sisi wote ni binadama ila jamaa kakosa uzalendo kabisa, akianzaga zile mada zake eti ataanza na mahusiano na nchi zingine ndo kabisaaa ananyoosha maelezo amekaa kisaliti, Tanzanians ni wajamaa sasa we unadhan unaweza kuwapora?
 
Nini maana ya PHD tuanze kwanza na wewe isije ikawa wewe ndio kamishna wa vilaza

huo mda wa mada za kibishi mnawezaga tu wenyewe kwa wenyewe, katafute mtu mwenye akili za kitoto kama zako, ukweli ni kwamba magufuli is the smartest president, tuzo ya 100 influential africans ya 2016 anastahili kama 100 ivi, sasa cdm mna lipi la kutuambia kama sio ubishi wa kitoto, its over for cdm wacha vyama vingine viwe vyama vikuu
 
UTANGULIZI
Sijawahi hata Siku moja kuficha Hisia zangu za 'Kukukubali' sana hasa kwa aina ya 'Misimamo' yako thabiti, uwezo wa Kufikiri ( Akili ) na pia Kuchambua mambo 'Kiumakini' kabisa. Na hapa nisikufiche si Mimi tu ambaye ni mwana CCM nakiri na kulisema hili ila nina uhakika hata wana CCM wengi tu nao wapo kama Mimi juu yako sema tu hawakuonyeshi Kiuwazi japo Mioyoni mwao upo sana tu.

MTAZAMO
Sina shaka kabisa na Wewe Kutia Nia na hatimaye Chama chako cha CHADEMA Kukuamini na Kukuteua kuwa Mgombea wao kwani Kisheria na Kikatiba hii ni Haki ya Kila Mtanzania mwenye Sifa Kamili kufanya hivyo. Wasiwasi wangu Kwako upo sehemu ndogo tu kwamba umewahi kufanya 'Timing' Kipindi hiki kibaya Kwako Kisiasa na badala yake kwa mwaka 2025 ndiyo ulikuwa muda Muafaka.

USICHOKIJUA
Mtani wangu kutoka Singida Tundu Lissu najua unaweza 'usiamini' ila kwakuwa GENTAMYCINE 'nakupenda' ngoja nikuambie tu ukweli kuwa pamoja na kwamba unaona una Watu (Wafuasi) wengi wakiwa nawe kila uendako ila ukweli ni kwamba 'Kitakwimu' ni 25% tu hao unaowaona ndiyo 'Wamejiandikisha' Kupiga 'Kura' mwaka huu na 'Wamehakiki' vyema kabisa Majina yao Vituoni.

ULILOLISAHAU WEWE NA CHADEMA YAKO
Hapa sitokulaumu Wewe sana Mtani wangu Tundu Lissu kwakuwa muda mwingi ulikuwa katika 'Matibabu' yako huko 'Ughaibuni' ila lawama zangu nyingi nazipeleka kwa CHADEMA kwa 'Kujisahau' Kwao muda mwingi 'Kuwahimiza' Wanachama wao waende 'Kujiandikisha' Vituoni na badala yake wao muda Wao mwingi walitumia 'Kuwekeza' katika 'Kupambana' tu na Serikali ( Dola )

UMAKINI WA CCM UPO HAPA
Tayari CCM walishafanya 'Utafiti' wao wa ndani tena 'Kiumakini' kabisa na 'Kujiridhisha' kuwa wana uhakika wa Kura 8,000,000 ( Milioni Nane ) kutokana na 'Wanachama' wao nchi nzima hivyo wakaendelea katika Kuwatafuta wengine ili kuongeza hiyo idadi huku 'wakiwahimiza' sana Wanachama wao hao 'Kujiandikisha' na hata 'Kuhakiki' Majina yao Jambo ambalo wamefanikiwa 100%.

MKAKATI WA KISIASA ULIOIMALIZA KABISA CHADEMA
Wakati CHADEMA yako muda mwingi 'ikiwekeza' katika 'Kulaumu' na 'Kupambana' na Mamlaka ( Dola ) hasimu walisahau kuwa Siasa zote duniani pia huwa zina 'Umafia' ndani yake na mliosoma 'Political Science' mtanielewa hivyo baada ya 'Kuhisiwa' kuwa mtaendelea kuwa 'Tishio' mkatafutiwa 'Adui Rafiki' wa huko huko 'Upinzani' asaidiwe na wa Kwao ili 'Kuzigawa' Kura zenu nyingi.

FAIDA PEKEE AMBAYO TUTAIPATA KUTOKA KWAKO
Mtani wangu Tundu Lissu wala 'usidanganyike' na 'wasikudanganye' uwezo wa Wewe Kushinda na kuwa Rais wetu haupo na huna hasa kutokana na 'Mikakati' iliyoko na pia kwa 'Mpinzani' wako kufukia karibia 90% ya yale 'Mashimo' yote ya 'Kimapungufu' katika 'Utawala' wake. Kitu pekee utakachofanikiwa nacho ni 'Kuwajaza' tu Watanzania wachache Imani za Chuki na Majungu pia.

USHAURI WANGU KWAKO
Kwakuwa nina uhakika kuwa hutoweza 'Kutoboa' hata iweje ( japo utajitutumua ) ningependa tumia sasa uwezo wako huu mkubwa wa 'Ushawishi' ulionao katika 'Kuwahimiza' Watanzania wanaokuamini na Wafuasi wako 'Wawachague' Wabunge wengi wa CHADEMA ili angalau wakiwa wengi basi muweze kuwa na 'Nguvu' Bungeni ambayo inaweza 'Kukujenga' kwa 2025 Ukigombea.

UWEPO WAKO NI TIJA KUBWA KWA CCM KUENDELEA KUJIJENGA ZAIDI
Nakujua na ni matuamini yangu makubwa kuwa hata katika Mikutano yako ya Kampeni zilizoanza utakuwa unatumia muda mwing sana 'Kuinanga' ile mbaya CCM na Mwenyekiti wake ila usisahau tu kuwa kwa kadri utakavyokuwa 'unawasema' CCM na Rais wao ndiyo utakuwa 'unawafunua' na 'kuwajenga' zaidi ili wazidi 'Kujikita' na 'Kujidhatiti' kabisa Madarakani na Kiutawala.

HITIMISHO
Nakutakia tu Kampeni njema Mtani wangu Tundu Lissu Wewe pamoja na Vyama vingine vyote vya Upinzani nchini Tanzania ila niwaombeni tu tumieni 'Muhula' huu wa mwisho wa Rais Dkt. Magufuli kuwepo 'Madarakani' kwa nyie 'Wapinzani' Kwanza Kujitathmini na Kujijenga zaidi huku mkiwa 'Wamoja' na muache 'Unafiki' ili basi Chaguzi zijazo muingie mkiwa ni Wamoja kabisa.

Wako Mtani wako

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Majina yangu Kamili ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo )

Utafi
UTANGULIZI
Sijawahi hata Siku moja kuficha Hisia zangu za 'Kukukubali' sana hasa kwa aina ya 'Misimamo' yako thabiti, uwezo wa Kufikiri ( Akili ) na pia Kuchambua mambo 'Kiumakini' kabisa. Na hapa nisikufiche si Mimi tu ambaye ni mwana CCM nakiri na kulisema hili ila nina uhakika hata wana CCM wengi tu nao wapo kama Mimi juu yako sema tu hawakuonyeshi Kiuwazi japo Mioyoni mwao upo sana tu.

MTAZAMO
Sina shaka kabisa na Wewe Kutia Nia na hatimaye Chama chako cha CHADEMA Kukuamini na Kukuteua kuwa Mgombea wao kwani Kisheria na Kikatiba hii ni Haki ya Kila Mtanzania mwenye Sifa Kamili kufanya hivyo. Wasiwasi wangu Kwako upo sehemu ndogo tu kwamba umewahi kufanya 'Timing' Kipindi hiki kibaya Kwako Kisiasa na badala yake kwa mwaka 2025 ndiyo ulikuwa muda Muafaka.

USICHOKIJUA
Mtani wangu kutoka Singida Tundu Lissu najua unaweza 'usiamini' ila kwakuwa GENTAMYCINE 'nakupenda' ngoja nikuambie tu ukweli kuwa pamoja na kwamba unaona una Watu (Wafuasi) wengi wakiwa nawe kila uendako ila ukweli ni kwamba 'Kitakwimu' ni 25% tu hao unaowaona ndiyo 'Wamejiandikisha' Kupiga 'Kura' mwaka huu na 'Wamehakiki' vyema kabisa Majina yao Vituoni.

ULILOLISAHAU WEWE NA CHADEMA YAKO
Hapa sitokulaumu Wewe sana Mtani wangu Tundu Lissu kwakuwa muda mwingi ulikuwa katika 'Matibabu' yako huko 'Ughaibuni' ila lawama zangu nyingi nazipeleka kwa CHADEMA kwa 'Kujisahau' Kwao muda mwingi 'Kuwahimiza' Wanachama wao waende 'Kujiandikisha' Vituoni na badala yake wao muda Wao mwingi walitumia 'Kuwekeza' katika 'Kupambana' tu na Serikali ( Dola )

UMAKINI WA CCM UPO HAPA
Tayari CCM walishafanya 'Utafiti' wao wa ndani tena 'Kiumakini' kabisa na 'Kujiridhisha' kuwa wana uhakika wa Kura 8,000,000 ( Milioni Nane ) kutokana na 'Wanachama' wao nchi nzima hivyo wakaendelea katika Kuwatafuta wengine ili kuongeza hiyo idadi huku 'wakiwahimiza' sana Wanachama wao hao 'Kujiandikisha' na hata 'Kuhakiki' Majina yao Jambo ambalo wamefanikiwa 100%.

MKAKATI WA KISIASA ULIOIMALIZA KABISA CHADEMA
Wakati CHADEMA yako muda mwingi 'ikiwekeza' katika 'Kulaumu' na 'Kupambana' na Mamlaka ( Dola ) hasimu walisahau kuwa Siasa zote duniani pia huwa zina 'Umafia' ndani yake na mliosoma 'Political Science' mtanielewa hivyo baada ya 'Kuhisiwa' kuwa mtaendelea kuwa 'Tishio' mkatafutiwa 'Adui Rafiki' wa huko huko 'Upinzani' asaidiwe na wa Kwao ili 'Kuzigawa' Kura zenu nyingi.

FAIDA PEKEE AMBAYO TUTAIPATA KUTOKA KWAKO
Mtani wangu Tundu Lissu wala 'usidanganyike' na 'wasikudanganye' uwezo wa Wewe Kushinda na kuwa Rais wetu haupo na huna hasa kutokana na 'Mikakati' iliyoko na pia kwa 'Mpinzani' wako kufukia karibia 90% ya yale 'Mashimo' yote ya 'Kimapungufu' katika 'Utawala' wake. Kitu pekee utakachofanikiwa nacho ni 'Kuwajaza' tu Watanzania wachache Imani za Chuki na Majungu pia.

USHAURI WANGU KWAKO
Kwakuwa nina uhakika kuwa hutoweza 'Kutoboa' hata iweje ( japo utajitutumua ) ningependa tumia sasa uwezo wako huu mkubwa wa 'Ushawishi' ulionao katika 'Kuwahimiza' Watanzania wanaokuamini na Wafuasi wako 'Wawachague' Wabunge wengi wa CHADEMA ili angalau wakiwa wengi basi muweze kuwa na 'Nguvu' Bungeni ambayo inaweza 'Kukujenga' kwa 2025 Ukigombea.

UWEPO WAKO NI TIJA KUBWA KWA CCM KUENDELEA KUJIJENGA ZAIDI
Nakujua na ni matuamini yangu makubwa kuwa hata katika Mikutano yako ya Kampeni zilizoanza utakuwa unatumia muda mwing sana 'Kuinanga' ile mbaya CCM na Mwenyekiti wake ila usisahau tu kuwa kwa kadri utakavyokuwa 'unawasema' CCM na Rais wao ndiyo utakuwa 'unawafunua' na 'kuwajenga' zaidi ili wazidi 'Kujikita' na 'Kujidhatiti' kabisa Madarakani na Kiutawala.

HITIMISHO
Nakutakia tu Kampeni njema Mtani wangu Tundu Lissu Wewe pamoja na Vyama vingine vyote vya Upinzani nchini Tanzania ila niwaombeni tu tumieni 'Muhula' huu wa mwisho wa Rais Dkt. Magufuli kuwepo 'Madarakani' kwa nyie 'Wapinzani' Kwanza Kujitathmini na Kujijenga zaidi huku mkiwa 'Wamoja' na muache 'Unafiki' ili basi Chaguzi zijazo muingie mkiwa ni Wamoja kabisa.

Wako Mtani wako

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Majina yangu Kamili ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo )

Upuuzi
 
Humu watu wamelishwa chuki ikitolewa hoja badala ya kujadili wanamjadili mtoa hoja halafu haohao wanamlaumu Magufuli ni dikteta ila hawajui hata wao wana vielement vya udikteta sema tu hawajapata nafasi
 
Uandishi wako unavutia lakini hoja ni dhaifu sana. Umesema watu wengi hawajajiandikisha ni ngumu TL kutoboa then unamshauri eti atumie uwezo wake kushawishi ili apate wabunge wengi. Swali hawa wabunge watapigiwa kura na nyani maana watu wengi hawajajiandikisha!!

Ila watanzania wanafikiii khaa! Eti ushauri kwa TL atumie uwezo wake wa ushawishi apate wabunge wengi!! Sasa kwanini usishawishi mashetani ndani ya Chama chako yaache kuengua wagombea ubunge wa upinzani ili wapinzani wapate wabunge wengi?
 
huo mda wa mada za kibishi mnawezaga tu wenyewe kwa wenyewe, katafute mtu mwenye akili za kitoto kama zako, ukweli ni kwamba magufuli is the smartest president, tuzo ya 100 influential africans ya 2016 anastahili kama 100 ivi, sasa cdm mna lipi la kutuambia kama sio ubishi wa kitoto, its over for cdm wacha vyama vingine viwe vyama vikuu
Basi sawa
 
PhD za CCM ndizo huagiza wapinzani wabambikiwe kesi, phd zilizopo CCM ndizo phd za hovyo kupata kutokea Duniani
Mashaka yangu juu ya ile PhD yalianza baada ya uhai wa mtu kusemekana kutwaliwa baada ya bwana mdogo marehemu kuanza kuutekenya unyayo wa mwenye PhD
 
Back
Top Bottom