Mtanipinga Ila mpira wa Tanzania bado umejaa siasa

Mtanipinga Ila mpira wa Tanzania bado umejaa siasa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Tanzania upenda kubalance mambo katika kila nyanja

Mpira wetu unapenda mambo ya kubalance

Mliona miaka ya malinzi baada ya yanga kutawala mpira wa Tanzania ili kubalance akapotezwa kwa vile alishutumiwa anaipendelea yanga na kweli alikuwa anaipendelea.

Akaja Karia akaanza kuibeba Simba miaka 4 ikatwaa ubingwa baada ya Karia kushutumiwa

Akaacha mpira uchezwe utawala wa yanga ukarudi.

Sasa naona utawala wa yanga unaondoka na tararibu Simba inarudi

Msimu huu Simba atatwaa ubingwa maana engineer Anaenda kuwa mbunge uko Dodoma afatilii Tena timu sio kwa bahati mbaya Ila ni mwendelezo wa siasa za mpira wa nchi hii.

Aiingii akilini kusema yanga ni mbovu wakati yanga imechezwa mechi 10 na Ina mabao 14na imeruhusu mambao 4 na Ina mabao +10

Wakati mechi za kimataifa yanga kacheza mechi 4 na kafungwa mabao 16 na kuruhusu bao 1 Ina mabao +15

Haiingii akilini kusema hii timu ni mbovu

Karibu bongo Tanzania ambapo kila sector kila nyanja watu upenda kubalance mambo

Na msimu huu Simba atakuwa bingwa
 
Hii yanga kufungwa wanaondoa yale makelele ya GSM ya kuharibu soka la Tanzania kwa kudhamin vilabu zaidi ya 6.. Simba haiwiwezi kuchukua ubingwa.. Yanga atachukua ubingwa tena msimu huu...

Yale makele kwa GSM ya kudhamini klubu zaidi ya 6 au kuharibu soka la bongo hutayasikia tena kwa sasa.. Ila utopolo wananyanyua kwapa tena msimu huu
 
Timu yako imepoteza mchezo kwa kukosa wachezaji muhimu kwenye nafasi muhimu, hakuna goal la kupewa wala hakuna goal la ukakasi labda matukio mengi ulikuwa hautafuatilii kimpira ispokuwa kishabiki, referee wa mchezo alikuwa anaiheshimu yanga kama team kubwa kilichotokea yanga kupoteza ni maamuzi ya mchezo wenyewe, leo Tabora utd alikuwa na bahati ya kupata ushindi sio kwamba alikuwa bora sana kuliko yanga, ni mpira ndy umeamua wenyewe leo iwe hivi, na ni kawaida sana kwenye soka matokeo ya namna hii that’s why team kubwa kama man city, arsenal zinapoteza michezo yao pia, huo ndiyo mpira wala hakuna siasa wala uchawi wala udhamini mkuu.
 
Tanzania upenda kubalance mambo katika kila nyanja

Mpira wetu unapenda mambo ya kubalance

Mliona miaka ya malinzi baada ya yanga kutawala mpira wa Tanzania ili kubalance akapotezwa kwa vile alishutumiwa anaipendelea yanga na kweli alikuwa anaipendelea.

Akaja Karia akaanza kuibeba Simba miaka 4 ikatwaa ubingwa baada ya Karia kushutumiwa

Akaacha mpira uchezwe utawala wa yanga ukarudi.

Sasa naona utawala wa yanga unaondoka na tararibu Simba inarudi

Msimu huu Simba atatwaa ubingwa maana engineer Anaenda kuwa mbunge uko Dodoma afatilii Tena timu sio kwa bahati mbaya Ila ni mwendelezo wa siasa za mpira wa nchi hii.

Aiingii akilini kusema yanga ni mbovu wakati yanga imechezwa mechi 10 na Ina mabao 14na imeruhusu mambao 4 na Ina mabao +10

Wakati mechi za kimataifa yanga kacheza mechi 4 na kafungwa mabao 16 na kuruhusu bao 1 Ina mabao +15

Haiingii akilini kusema hii timu ni mbovu

Karibu bongo Tanzania ambapo kila sector kila nyanja watu upenda kubalance mambo

Na msimu huu Simba atakuwa bingwa
Imekuuma Sana Uto kufungwa
Hayo Mengine Ngonjera tu
 
Tabora united wapewe maua yao
Offen Chikola apewe maua yake

 
Ni kweli siasa zipo na zina play part yake lakini sio kwa mechi ya leo.

Ni kweli tutafite sababu za kujitetea pale timu inapofanya vibaya ila tuangalie na sababu zenyewe.

Wakati wa huzuni ni wakati ambao unapaswa kuzidisha umakini katika upangiliaji wa hoja kwasababu hiyo ni moment ambayo emotion ndio ime take over.

Kufikiri kwamba kipigo cha leo ni matokeo ambayo viongozi wa Yanga waliyapanga ili tu kufanya balance ya kumpisha Simba kuwa Bingwa sioni kama ni hoja yenye mashiko.

Mpira wote tumeangalia, hatujaona scenario yeyote katika mchezo inayoweza kuashiria hicho unacho kilalamikia.
 
Ndo chuma tatu Mara ya mwisho lini yanga kufungwa bao tatu duh sikumbuki
Hii yanga kufungwa wanaondoa yale makelele ya GSM ya kuharibu soka la Tanzania kwa kudhamin vilabu zaidi ya 6.. Simba haiwiwezi kuchukua ubingwa.. Yanga atachukua ubingwa tena msimu huu...

Yale makele kwa GSM ya kudhamini klubu zaidi ya 6 au kuharibu soka la bongo hutayasikia tena kwa sasa.. Ila utopolo wananyanyua kwapa tena msimu huu
 
Utetezi wa hovyo sana. Kwa hiyo wewe unaamini yanga haiwezi kufungwa na ikifungwa ni siasa ili kumpisha simba awe bingwa? Ligi bado kabisa na yanga bado ana nafasi kubwa tu ya kuwa bingwa lakini asipokuwa bingwa haimaanishi ni siasa.
Sasa unataka Yanga awe bingwa mwisho mara ngapi ili ionekane sio siasa simba akiwa bingwa?

Hakujawahi kuwa na bingwa wa milele kwenye ligi za nchi yoyote. Kwa haki kabisa yanga haiwezi kuwa bingwa milele na ni mambo tu ya mpira na sio siasa maana tunaona hata huko ulaya timu zilizokuwa bora kushuka viwango.
 
Tanzania upenda kubalance mambo katika kila nyanja

Mpira wetu unapenda mambo ya kubalance

Mliona miaka ya malinzi baada ya yanga kutawala mpira wa Tanzania ili kubalance akapotezwa kwa vile alishutumiwa anaipendelea yanga na kweli alikuwa anaipendelea.

Akaja Karia akaanza kuibeba Simba miaka 4 ikatwaa ubingwa baada ya Karia kushutumiwa

Akaacha mpira uchezwe utawala wa yanga ukarudi.

Sasa naona utawala wa yanga unaondoka na tararibu Simba inarudi

Msimu huu Simba atatwaa ubingwa maana engineer Anaenda kuwa mbunge uko Dodoma afatilii Tena timu sio kwa bahati mbaya Ila ni mwendelezo wa siasa za mpira wa nchi hii.

Aiingii akilini kusema yanga ni mbovu wakati yanga imechezwa mechi 10 na Ina mabao 14na imeruhusu mambao 4 na Ina mabao +10

Wakati mechi za kimataifa yanga kacheza mechi 4 na kafungwa mabao 16 na kuruhusu bao 1 Ina mabao +15

Haiingii akilini kusema hii timu ni mbovu

Karibu bongo Tanzania ambapo kila sector kila nyanja watu upenda kubalance mambo

Na msimu huu Simba atakuwa bingwa
Kwamba Siasa ndo imewafanya mfungwe yale magoli matatu?
 
Andiko la hovyo kabisa. Tatizo kubwa la Yanga ni kujiamini kupita kiasi ambako kuwapelekea kutokuwa makini lakini mchezo wa Mpira huwezi kuwa Bora kila siku
 
Timu yako imepoteza mchezo kwa kukosa wachezaji muhimu kwenye nafasi muhimu, hakuna goal la kupewa wala hakuna goal la ukakasi labda matukio mengi ulikuwa hautafuatilii kimpira ispokuwa kishabiki, referee wa mchezo alikuwa anaiheshimu yanga kama team kubwa kilichotokea yanga kupoteza ni maamuzi ya mchezo wenyewe, leo Tabora utd alikuwa na bahati ya kupata ushindi sio kwamba alikuwa bora sana kuliko yanga, ni mpira ndy umeamua wenyewe leo iwe hivi, na ni kawaida sana kwenye soka matokeo ya namna hii that’s why team kubwa kama man city, arsenal zinapoteza michezo yao pia, huo ndiyo mpira wala hakuna siasa wala uchawi wala udhamini mkuu.
Hivi ni mchezaji gani wa Yanga na wa nafasi ipi aliumia na kutoka?

Wachezaji muhimu waliokosa mechi ya leo ukiacha Bacca ni kina nani?
 
Tanzania upenda kubalance mambo katika kila nyanja

Mpira wetu unapenda mambo ya kubalance

Mliona miaka ya malinzi baada ya yanga kutawala mpira wa Tanzania ili kubalance akapotezwa kwa vile alishutumiwa anaipendelea yanga na kweli alikuwa anaipendelea.

Akaja Karia akaanza kuibeba Simba miaka 4 ikatwaa ubingwa baada ya Karia kushutumiwa

Akaacha mpira uchezwe utawala wa yanga ukarudi.

Sasa naona utawala wa yanga unaondoka na tararibu Simba inarudi

Msimu huu Simba atatwaa ubingwa maana engineer Anaenda kuwa mbunge uko Dodoma afatilii Tena timu sio kwa bahati mbaya Ila ni mwendelezo wa siasa za mpira wa nchi hii.

Aiingii akilini kusema yanga ni mbovu wakati yanga imechezwa mechi 10 na Ina mabao 14na imeruhusu mambao 4 na Ina mabao +10

Wakati mechi za kimataifa yanga kacheza mechi 4 na kafungwa mabao 16 na kuruhusu bao 1 Ina mabao +15

Haiingii akilini kusema hii timu ni mbovu

Karibu bongo Tanzania ambapo kila sector kila nyanja watu upenda kubalance mambo

Na msimu huu Simba atakuwa bingwa
 
Hivi ni mchezaji gani wa Yanga na wa nafasi ipi aliumia na kutoka?

Wachezaji muhimu waliokosa mechi ya leo ukiacha Bacca ni kina nani?
Azizi Andambwile aliumia akaingia Aboubakar sureboy Aucho akarudi nyuma kukaba na mwamnyeto kama namba 4 na 5.

Pembeni wakabaki kibabage na Denis Nkane.
 
Tanzania upenda kubalance mambo katika kila nyanja

Mpira wetu unapenda mambo ya kubalance

Mliona miaka ya malinzi baada ya yanga kutawala mpira wa Tanzania ili kubalance akapotezwa kwa vile alishutumiwa anaipendelea yanga na kweli alikuwa anaipendelea.

Akaja Karia akaanza kuibeba Simba miaka 4 ikatwaa ubingwa baada ya Karia kushutumiwa

Akaacha mpira uchezwe utawala wa yanga ukarudi.

Sasa naona utawala wa yanga unaondoka na tararibu Simba inarudi

Msimu huu Simba atatwaa ubingwa maana engineer Anaenda kuwa mbunge uko Dodoma afatilii Tena timu sio kwa bahati mbaya Ila ni mwendelezo wa siasa za mpira wa nchi hii.

Aiingii akilini kusema yanga ni mbovu wakati yanga imechezwa mechi 10 na Ina mabao 14na imeruhusu mambao 4 na Ina mabao +10

Wakati mechi za kimataifa yanga kacheza mechi 4 na kafungwa mabao 16 na kuruhusu bao 1 Ina mabao +15

Haiingii akilini kusema hii timu ni mbovu

Karibu bongo Tanzania ambapo kila sector kila nyanja watu upenda kubalance mambo

Na msimu huu Simba atakuwa bingwa
Unamanisha nini unaposema Hersi hafuatilii mpira wa Yanga? Ina maana akifuatilia Yanga inashinda? Inashindaje? Ananunua mechi?
 
Back
Top Bottom