TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Poa mzee wa data breach 😂😂😂😂Nimefikiri sijaamua. Na wewe unaweza kuamua au kufikiri vinginevyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mzee wa data breach 😂😂😂😂Nimefikiri sijaamua. Na wewe unaweza kuamua au kufikiri vinginevyo
Hapo kwenye hiyo CV nafikiri palikosewa. Kamaliza f4 Loyola High School mwaka 2007 akiwa na miaka 18, pia alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi bora kitaifa.form six hio mkuu ujue kibongo bongo tena enz hizo za miaka saba ndio uanze la kwanza miaka yake nane kamalizia loyola ina maana alimaliza std 7 na miaka tisa au kumi
that means kiongoz angekua na 36/7 ambayo ni reasonable kwa sis tuliosoma kitambo hio kitu kwa sasa inawezekana dogo wangu ana miaka saba yuko la tatu huu ndio mwaka miamba ya kale ilikua ilkua inaanza std oneMwamba una kichwa kigumu, miaka 7 si anamaliza la7 na miaka 13, f4 miaka 17, f6 miaka 20.
shukran mastaHapo kwenye hiyo CV nafikiri palikosewa. Kamaliza f4 Loyola High School mwaka 2007 akiwa na miaka 18, pia alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi bora kitaifa.
Mwaka 2008 alienda kusoma shule ya kimataifa nchini Eswatini grade 11 & 12 ambayo ni sawa f5 & f6 kwa mfumo wetu wa kawaida yaani Tanganyika Masagati. Ndio maana utaona alipata nafasi kuingia chuo kikuu cha Stanford moja kwa moja.
Tulia weweee
Wacha weeeeee, muajiriwa wa Betting na maguruguru huyo. Afisa ubashiri kwenye ubora wako. Naona umeandika hadi kiingereza.You can say whatever you want can it's what it's
Wewe ulikufa mwaka gani vile?Watu wenye akili hufa yanabaki mazezeta
😀😀😀😀😀Waje hapa kugombea sukari na siye na kulala giza kila siku???
Wewe niite majina yoyote lakini ukweli ndio huoWacha weeeeee, muajiriwa wa Betting na maguruguru huyo. Afisa ubashiri kwenye ubora wako. Naona umeandika hadi kiingereza.
Nyie ndiyo mna addiction ya watu kama wakina baba level doto magariWabongo bana tuna Imani za kijinga sana, huyu alikua junior software engineer Wala hakuna kitu remarkable kafanya ili akumbukwe... Legacy yake inakua huku kwa kua ni mbongo mwenzetu ila huko marekani hakuna alichofanya kuacha alama, wamuue ili iweje?? Hivi mnajua Nigeria Ina software engineer wangapi maarufu mpaka marekani kwanini wasiuawe wao...
It was just an accident, move on
Sema ndio una amini hivyo mkuu wacha kuzunguka mbuyuIngekuwa ni hapa Nyumbani tungesema amelogwa akajirusha Kisimani.
RIP
Km angekuwepo humu na akasema yuko google kwa akili zenu humu unafikiri mngekubaliSafi kafa kishujaa sana sio mtu kaajiriwa TRA AU TANESKO anakuja hapa kutuvimbia ila kuna watu wapo google uko then mikausho mikali
Sent using Jamii Forums mobile app
View: https://www.instagram.com/reel/C3vutT8rSVs/?utm_source=ig_web_copy_link
Juzi huyu jamaa alipost kua walisimamishwa kula bata coz watu walikua anatafuta mwili,turns out kumbe ndio huyu mbongo alieanguka.
sema umemind mkuu ungemkaushia tu na imani yake(fundiMaikohatahukowapo)
Hahaaaaa, Mzee wa kupambania kakasirika tu kusikia alikuwa anafanya kazi Google eti hakukuwa na sababu ya kusema marehemu anafanya kazi Google. Wamemkweza marehemu.Km angekuwepo humu na akasema yuko google kwa akili zenu humu unafikiri mngekubali
Ni sawa na mimi tu. Nilimaliza Degree yangu 2006 nikiwa na 23 Years mkuu.Mwamba una kichwa kigumu, miaka 7 si anamaliza la7 na miaka 13, f4 miaka 17, f6 miaka 20.
Anakutisha tu huyo mbeba maboksi na mtunza vikongwe vya kizungu Nyani Ngabusema umemind mkuu ungemkaushia tu na imani yake(fundiMaikohatahukowapo)