TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

form six hio mkuu ujue kibongo bongo tena enz hizo za miaka saba ndio uanze la kwanza miaka yake nane kamalizia loyola ina maana alimaliza std 7 na miaka tisa au kumi
Hapo kwenye hiyo CV nafikiri palikosewa. Kamaliza f4 Loyola High School mwaka 2007 akiwa na miaka 18, pia alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi bora kitaifa.

Mwaka 2008 alienda kusoma shule ya kimataifa nchini Eswatini grade 11 & 12 ambayo ni sawa f5 & f6 kwa mfumo wetu wa kawaida yaani Tanganyika Masagati. Ndio maana utaona alipata nafasi kuingia chuo kikuu cha Stanford moja kwa moja.
 
Mwamba una kichwa kigumu, miaka 7 si anamaliza la7 na miaka 13, f4 miaka 17, f6 miaka 20.
that means kiongoz angekua na 36/7 ambayo ni reasonable kwa sis tuliosoma kitambo hio kitu kwa sasa inawezekana dogo wangu ana miaka saba yuko la tatu huu ndio mwaka miamba ya kale ilikua ilkua inaanza std one
all in all issue ya mwamba inaongeleka kiongoz alikua kichwa sana probably alirukishwa madarasa primary na bado akatunyoosha form six wazee wake
 
Hapo kwenye hiyo CV nafikiri palikosewa. Kamaliza f4 Loyola High School mwaka 2007 akiwa na miaka 18, pia alikuwa ni miongoni mwa wanafunzi bora kitaifa.

Mwaka 2008 alienda kusoma shule ya kimataifa nchini Eswatini grade 11 & 12 ambayo ni sawa f5 & f6 kwa mfumo wetu wa kawaida yaani Tanganyika Masagati. Ndio maana utaona alipata nafasi kuingia chuo kikuu cha Stanford moja kwa moja.
shukran masta
 
Wabongo bana tuna Imani za kijinga sana, huyu alikua junior software engineer Wala hakuna kitu remarkable kafanya ili akumbukwe... Legacy yake inakua huku kwa kua ni mbongo mwenzetu ila huko marekani hakuna alichofanya kuacha alama, wamuue ili iweje?? Hivi mnajua Nigeria Ina software engineer wangapi maarufu mpaka marekani kwanini wasiuawe wao...

It was just an accident, move on
 
Wabongo bana tuna Imani za kijinga sana, huyu alikua junior software engineer Wala hakuna kitu remarkable kafanya ili akumbukwe... Legacy yake inakua huku kwa kua ni mbongo mwenzetu ila huko marekani hakuna alichofanya kuacha alama, wamuue ili iweje?? Hivi mnajua Nigeria Ina software engineer wangapi maarufu mpaka marekani kwanini wasiuawe wao...

It was just an accident, move on
Nyie ndiyo mna addiction ya watu kama wakina baba level doto magari
Meijaku stv nyrr ndy vichwa mnawaona

Ova
 
Km angekuwepo humu na akasema yuko google kwa akili zenu humu unafikiri mngekubali
Hahaaaaa, Mzee wa kupambania kakasirika tu kusikia alikuwa anafanya kazi Google eti hakukuwa na sababu ya kusema marehemu anafanya kazi Google. Wamemkweza marehemu.

Sasa angekuwa nzima na kusema anafanya kazi Google humu, dah mtu kama Mzee wa kupambania na mwalimu mstaafu Mpwayungu Village wangemtumia Majini kama yale ya Mayele.

Nyani Ngabu tu pamoja na Kiranga bila kumsahau Maghayo Pamoja na kuwa wanaogesha na kufulia vibabu na visibility vya kizungu vilivyo paralyze huko mastate jamaa wanawashambulia hivi, je huyo wa Google je?
 
Back
Top Bottom