Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
R I P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikua watundu na walikua na ushirikiano sanaKweli kabisa
Ila jamaa class yao walikuwa ni watundu na wana umoja utasema ni ndugu sipati picha huu msiba karibia wote watakuwa kimara labda kama mzee mgowano atakuwa amesha hama huko
😆😆😆😆cha ajabu hii dunia wenye akili na maana ndio wanakufaga tunabaki sisi wasumbufu
Mtu kustarehe kumbe ni dhambi duhKama mazingira yenyewe ni haya,,,mshahara wa dhambi......
Ile series iko underrated sana. Bonge la kitu.
Wabongo tuna majungu sanaWatu huwa wanasema vipanga huwa wanafeli maisha kumbe wanatoboa mbele huko
Bongo wenye akili tunaowaona ni wakina babalevel dotto magari mwijaku typeMkuu ukiwa na akili sana lazima wajanja wakuchukue. Sasa ukibaki huku kwetu hizo akili utazitumia kufanya nini....
Jiwe gizani kiazi mbatata wwWewe ulikufa mwaka gani vile?
Au na wewe ni miongoni mwa hao mazezete walio hai?
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo?Jiwe gizani kiazi mbatata ww
Kabisa...Mtu kustarehe kumbe ni dhambi duh
Twende kaziNdio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo?
hizo lugha za kuitana hivyo nikianza na mimi mashambulizi usije kuanza kulia lia hapa.
You have been blindedKabisa...
Ni dhambi kipengele cha anasa....
Ref. ...."Wapenda anasa watakuja kulia na watatamani milima iwafunike...."
Mkuu kwa wabongo mtanzania kufanya kazi Google, Microsoft et al ni kitu kikubwa na automatically unakuwa genius ndio maana watu wanahisi jamaa kauwawa, hawajui kwa wenzetu huko ni jambo la kawaida tu ndio maana kuna watu kama kina Benjamin Fernandes walikataa kuajiriwa huko ili waje kufungua kampuni zao bongo, sababu walijua kwa Marekani kufanya kazi huko siyo big deal ila huku bongo ni maajabu ndio maana wengi walivyosikia jamaa kakataa ile kazi na ule mshahara, walimshangaa lakini angalia alipo sasa na kampuni yake ya NalaRIP.. kifo kipo tu na hakijawahi kumridhisha mtu kila ataekufa lazima mambo yawe mengi isitoshe huyu jamaa sio genius sana wa kutetelesha ulimwengu siku yake tu imefika.