Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Unafunguaje kesi uchwara hivo unaacha kufungua kesi dhidi ya uuzwaji wa maliasili za Tanzania Kwa waarabu?.Huyu ni wakili uchwara kabisa na ni chawa na lengo lake ni kumchafua mzalendo wa wakati ule
Wewe ndio uchwara namba moja. Alipofungua kesi mwabukusi ulikuwa wapi? Kila mtu anafanya kwa nafasi yake. Kama wewe unaona Kuna rasilimali zinauzwa nenda mahakamani ukafungue kesi.

Ulivyo mnafiki, unajibanza JF kwa jina bandia ukisubiria wenye majina halisi wafanye mambo ili uwadhihaki. Punguza unafiki, unakuwa na hasira kwa raia mwenzako kutofungua kesi dhidi ya wanaouza rasilimali za nchi, ila wakati huo huo huyo wewe ni chawa wa anayeuza rasilimali za nchi. Saa zingine Kaa kimya Kama huna la kusema. Narudia Tena punguza unafiki.
 
Unafunguaje kesi uchwara hivo unaacha kufungua kesi dhidi ya uuzwaji wa maliasili za Tanzania Kwa waarabu?.Huyu ni wakili uchwara kabisa na ni chawa na lengo lake ni kumchafua mzalendo wa wakati ule
Ngazi kwa ngazi, wote wataburuzwa mahakamani tu
 
Hiyo kesi wataomba declaratory orders tu ambazo haziko enforceable.

Hivi nchi ingechafuka 2020 hata hiyo kesi wangeenda kuifungua? Panapokuja maslahi ya kiusalama, dola itafanya lolote kuilinda nchi. Gharama za kuilinda amani ni ndogo kuliko za kuirejesha.

Pia wajipange kuthibitisha kwamba ilikuwa ni serikali inahusika, na sio technical problems za mtandao

Sasa hapo Magoti na Dawson wamekosa fursa ya kuangalia picha za ngono mtandaoni mwaka 2020, kimewauma mpaka leo
Ha ha ha haaaa
 
Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka Duniani kwa sasa, Kwamba Mtanzania huyo Mzalendo na mwenye uthubutu, Bwana Kumbusho Dawson, ameifungulia kesi Serikali ya Tanzania Pamoja na Mamlaka za mawasiliano kwa jambo lile la kishamba la mwaka 2020 ili Mahakama ichukue hatua na itamke kwamba jambo kama lile lisirudiwe tena kwenye Nchi hii .

View attachment 3043131View attachment 3043132

Nachukua nafasi hii kumpongeza kijana huyu kwa ujasiri huu, tena bila kuogopa kutekwa, badala ya kunyamaza na kuishia kulalamika kama Kinana na Warioba, yeye ameamua kuchukua hatua

Nakala: Nape Nnauye
Mbona wakati wa aliyetowa hiyo amri hamjafunguwa kesi?

Unafik huo.
 
Serikali ni serikali hakuna Cha serikali ya wakati ule. Halafu unafiki upo wapi?. Kuna unafiki zaidi ya ule wa kuita Katiba ni kijitabu?.
Hapo sasa.Na huyo naye anastahili kushtakiwa kwa kutokuheshimu Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
Hiyo kesi wataomba declaratory orders tu ambazo haziko enforceable.

Hivi nchi ingechafuka 2020 hata hiyo kesi wangeenda kuifungua? Panapokuja maslahi ya kiusalama, dola itafanya lolote kuilinda nchi. Gharama za kuilinda amani ni ndogo kuliko za kuirejesha.

Pia wajipange kuthibitisha kwamba ilikuwa ni serikali inahusika, na sio technical problems za mtandao

Sasa hapo Magoti na Dawson wamekosa fursa ya kuangalia picha za ngono mtandaoni mwaka 2020, kimewauma mpaka leo
Marekani mwaka huo pia kulikuwa na uchaguzi mkuu mbona mtandao haukuzimwa hata sekunde moja?
 
Back
Top Bottom