Naambiwa ilikuwa ukituma text yenye neno Lissu ilikuwa labelled kama "SPAM " haiendi kwa mlengwa.Duuh.....Sababu ya Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naambiwa ilikuwa ukituma text yenye neno Lissu ilikuwa labelled kama "SPAM " haiendi kwa mlengwa.Duuh.....Sababu ya Lissu
HakikaIkishatolewa maamuzi, serikali haiwezi kurudia huo ujinga Tena. Unazima internet na bado unaiba kura. Kweli ndio maana akafa kifo Cha aibu. Very stupid president.
Wewe ndio uchwara namba moja. Alipofungua kesi mwabukusi ulikuwa wapi? Kila mtu anafanya kwa nafasi yake. Kama wewe unaona Kuna rasilimali zinauzwa nenda mahakamani ukafungue kesi.Unafunguaje kesi uchwara hivo unaacha kufungua kesi dhidi ya uuzwaji wa maliasili za Tanzania Kwa waarabu?.Huyu ni wakili uchwara kabisa na ni chawa na lengo lake ni kumchafua mzalendo wa wakati ule
Ngazi kwa ngazi, wote wataburuzwa mahakamani tuUnafunguaje kesi uchwara hivo unaacha kufungua kesi dhidi ya uuzwaji wa maliasili za Tanzania Kwa waarabu?.Huyu ni wakili uchwara kabisa na ni chawa na lengo lake ni kumchafua mzalendo wa wakati ule
Ha ha ha haaaaHiyo kesi wataomba declaratory orders tu ambazo haziko enforceable.
Hivi nchi ingechafuka 2020 hata hiyo kesi wangeenda kuifungua? Panapokuja maslahi ya kiusalama, dola itafanya lolote kuilinda nchi. Gharama za kuilinda amani ni ndogo kuliko za kuirejesha.
Pia wajipange kuthibitisha kwamba ilikuwa ni serikali inahusika, na sio technical problems za mtandao
Sasa hapo Magoti na Dawson wamekosa fursa ya kuangalia picha za ngono mtandaoni mwaka 2020, kimewauma mpaka leo
Teknolojia inaishi .Hiki ni kielelezo
Mbona wakati wa aliyetowa hiyo amri hamjafunguwa kesi?Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka Duniani kwa sasa, Kwamba Mtanzania huyo Mzalendo na mwenye uthubutu, Bwana Kumbusho Dawson, ameifungulia kesi Serikali ya Tanzania Pamoja na Mamlaka za mawasiliano kwa jambo lile la kishamba la mwaka 2020 ili Mahakama ichukue hatua na itamke kwamba jambo kama lile lisirudiwe tena kwenye Nchi hii .
View attachment 3043131View attachment 3043132
Nachukua nafasi hii kumpongeza kijana huyu kwa ujasiri huu, tena bila kuogopa kutekwa, badala ya kunyamaza na kuishia kulalamika kama Kinana na Warioba, yeye ameamua kuchukua hatua
Nakala: Nape Nnauye
Noma kweli yaani!Teknolojia inaishi .
Dikteta kajifia hizi ndio record na legacy aliyoacha.
Alifunguliwa kesi mbinguni kafungwa maishaMbona wakati wa aliyetowa hiyo amri hamjafunguwa kesi?
Unafik huo.
Serikali ni serikali hakuna Cha serikali ya wakati ule. Halafu unafiki upo wapi?. Kuna unafiki zaidi ya ule wa kuita Katiba ni kijitabu?.Mbona wakati wa aliyetowa hiyo amri hamjafunguwa kesi?
Unafik huo.
Hakuna kesi hapo, kuna kupotezeana muda tu.Alifunguliwa kesi mbinguni kafungwa maisha
Anza kwanza wewe kumshawishi Tulia aache kulea wabunge wasio kuwa na vyama.Ukifanikisha kumshawishi Mbowe aachie uongozi Ili awapishe watu wengine tutakupongeza wewe na zaidi tutamshukuru Mbowe Kwa kukinusuru chama cha Umma
Hapo sasa.Na huyo naye anastahili kushtakiwa kwa kutokuheshimu Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.Serikali ni serikali hakuna Cha serikali ya wakati ule. Halafu unafiki upo wapi?. Kuna unafiki zaidi ya ule wa kuita Katiba ni kijitabu?.
Kwa wajinga hakuna kesi.Hakuna kesi hapo, kuna kupotezeana muda tu.
haaaaaaaaa haaaaaaaaa!Alifunguliwa kesi mbinguni kafungwa maisha
Marekani mwaka huo pia kulikuwa na uchaguzi mkuu mbona mtandao haukuzimwa hata sekunde moja?Hiyo kesi wataomba declaratory orders tu ambazo haziko enforceable.
Hivi nchi ingechafuka 2020 hata hiyo kesi wangeenda kuifungua? Panapokuja maslahi ya kiusalama, dola itafanya lolote kuilinda nchi. Gharama za kuilinda amani ni ndogo kuliko za kuirejesha.
Pia wajipange kuthibitisha kwamba ilikuwa ni serikali inahusika, na sio technical problems za mtandao
Sasa hapo Magoti na Dawson wamekosa fursa ya kuangalia picha za ngono mtandaoni mwaka 2020, kimewauma mpaka leo
Nani anakupotezea muda?. Uwe huru kuendelea na shughuli zako, hakuna atakaye kusumbua.Hakuna kesi hapo, kuna kupotezeana muda tu.
Pascal Mayalla huyu kwa sasa ni chawaPascal Mayalla yeye anaona sawa tu
Enzi ya JPM mtandao ulikuwa 2G na 3G, uko slow sana, wakati mwingine unapotea kabisaMarekani mwaka huo pia kulikuwa na uchaguzi mkuu mbona mtandao haukuzimwa hata sekunde moja?