mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Tulia wewe mkenya hana kiswahili iliyonyooka
Kwani watanzania wote wanaongea Kiswahili kilichonyooka? Kila mkoa una lafudhi yake, wacha ujinga we mtoto, huyu muandamanaji muhuni mbona ana lafudhi ya kijinga kama ya Kisukuma au Kiha?