Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nilipo bold, una maana gani mkuu?Poleni Sugarland.
May all beings attain enlightenment.
RIP.
Perfect, kumbe unaamini hivo kwa kuwa ni watu huamini hivyo ,Ni maneno tu ya watu walio hai wana amini watu wakifa huko walipo regardless ni ardhini au wapi ni pema.
Wewe ndio hujaelewa, umekurupuka.Si utazame news kwenye hiyo clip, au haujaelewa?
Kwanza thibitisha uwepo wa huko mbinguni.Perfect, kumbe unaamini hivo kwa kuwa ni watu huamini hivyo ,
Basi hata mbinguni watu huamini hivo na wewe amini kuwa hivyo kwa kuwa watu huamini hivo.
Sio watu wote wakifa huzikwa ardhini.Ina maanisha kivipi?
Nilikwambia kwamba mtu akifa huzikwa ardhini na huko anapokwenda kupumzika watu hupaita pema.
Sawa sio wote.Sio watu wote wakifa huzikwa ardhini.
Unaweza kuchanganywa na umpendaye to the maximumSipendi pombe
kwanini upendiSipendi pombe
Mkuu,dini ni imani na matendo,Kwanza thibitisha uwepo wa huko mbinguni.
Tutajuaje na kuhakikishaje huko mbinguni kupo kweli?
Anaitwa Prosper Kiswaga nyumbani Tanzania wameshapata taarifa mapema kabisa baada ya ajali .Nyumbani kwao ni mwenge pale opp na TRA.Tatizo linaanzia hapa, Prosper Prosper! Sijui tutajulishana vipi mpaka tuwafikie wa nyumbani! Yote ni kheri.
Sijaja hapa kuthibitisha uwepo wa mbinguni Bali umesema udongoni ni kuzuri vile ni maneno ya watu huamin hivyo na wewe ndo maana ukaamini hivyo, ndo maana nkakuuliza hata mbinguni watu hua mini hivo, sasa wewe unaniambia nithibitishe,. Kivipi mzeeKwanza thibitisha uwepo wa huko mbinguni.
Tutajuaje na kuhakikishaje huko mbinguni kupo kweli?
Kuamini unaweza kuamini hata uongo.Mkuu,dini ni imani na matendo,
Imani kwa tafsiri ya haraka haraka ni kuamini jambo,kuamini maana yake unakua na hope kua jambo lile lipo japo inakua ngumu kulithibitisha,
So,dini ni imani,ndio maana hua nasema,kila mtu aamini anachokiamini,hakuna haja ya malumbano,anayeamini Mungu yupo aamini,na asiyetaka kuamini kua Mungu yupo,nae aendelee kuamini kua Mungu hayupo,
Mjadala wa aina hii kamwe hauwezi kua na hitimisho,ndio maana hii issue imekua ikijadiliwa humu for so long.
You mean LectureR?Lecture
Kwa kutumia hilo tamko lako basi ni sawa pia kusema Mungu asingekuwepo wala kusingekua na haja ya kuhoji uwepo wake,wala hilo jina la Mungu lisingekuwepo kabisa,Mungu angekuwepo kweli Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake na kuamini.
Kwa comment hii,neno lako la kusema kua hakua amekunywa linakosa uhalali,ila ukweli ni kwamba alikua amekunywa,R.I.E.P Prosper Kiswaga.
Wamegongwa na gari ingine, dereva aliacha upande wake akawagonga. Yeye hakua amekunywa bali bia moja, wenzake walisema kunywa hata moja.
Labda anamaanisha hakuwa over limit.Kwa comment hii,neno lako la kusema kua hakua amekunywa linakosa uhalali,ila ukweli ni kwamba alikua amekunywa,
Au mimi ndio sijui tafsiri ya kunywa watu wangu wa huko Daslamu mnasemaje?