Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Hamas ni wapuuzi fulani hivi tena hawana akili kabisa.
Nenda kalime kwenye mashamba ya Israel wakuoneshe moto si ndio mnadangangwa.

Ukweli ni kwamba wanapenda Israel kwenye kozi za shamba wapo ila humo humo wanapachika watu wanaoenda kujifunza mambo ya kijeshi akiwemo huyu dogo.
 
Ukiletewa ushahidi Kama hiyo visa ilikuwa geresha utakuwa tayari kurekebisha post yako ?
 
Kwani Tz watu hawauawi??
Tunapinga ni kwa sababu mauaji hayo siyo ya haki. Hata kama yangetokea Tz, lazima pia tungeyapinga.
"Injustice somewhere is the threat to Justice everywhere."
Martin Luther King Jr.
Kwani kinachopigiwa kelele ni mtanzania kuuliwa au mtanzania kuuliwa na HAMAS? Ni mtanzania kuuliwa na HAMAS hio ndo sababu

Ukitaka HAMAS wasikuue, baki au rudi Tanzania
 
We ndio umesema ukweli Sasa umetufumbua macho.
Hio boxer ya Mollel ya rangi ya jeshi la nchi Gani.
Na kwann avae nguo ya kijeshi hali si mwanajeshi uenda hio nguo ndio imemponza
 
Wafia dini za Waarabu mnatafuta kila justification kuonyesha Mtanzania hakuwa Mwanafunzi: Nyie ni wapuuzi tu, Mnwakubali mababii wenye asili yapo jirani na palestina ila hamwakubali manabii wa nyumbani akina Mwamposa na wenzie.
 
We ndio umesema ukweli Sasa umetufumbua macho.
Hio boxer ya Mollel ya rangi ya jeshi la nchi Gani.
Na kwann avae nguo ya kijeshi hali si mwanajeshi uenda hio nguo ndio imemponza
Hizo nguo za jeshi ni wanajeshi wenu tu wasiojielewa ndio wanakataza kuvaa ila nchi nyingi hayo ni mavazi ya kawaida tu.
 
Nenda kalime kwenye mashamba ya Israel wakuoneshe moto si ndio mnadangangwa.

Ukweli ni kwamba wanapenda Israel kwenye kozi za shamba wapo ila humo humo wanapachika watu wanaoenda kujifunza mambo ya kijeshi akiwemo huyu dogo.
Nipo tayari kulima mashamba
 
Sheria ya matumizi ya mtandao Inatakiwa itumike hasa Kwa mleta mada. Anatakiwa athibitishe hizi tuhuma nzito kuwa serikali ya Tanzania imepeleka mamluki kujiunga na Jeshi la Israel. Ili iwe fundisho Kwa yeyote anayeleta habari za kuchafua na uchochezi.
 
itakuwa Hamas wana taarifa za kijana kwamba labda anatumiwa na wayahudi kwenye unyama wao dhidi ya wa palestina...watu wakienda nje wanjihusisha na mambo mengi sana ya hovyo,namjua dogo mmoja katoka huku 2014 akiwa fresh tu,yupo USA sasa hivi limekuwa shoga tena halijifichi
 
Hata yule mtza aliyeuwawa Ukraine alikuwa sehemu ya jeshi la Urusi.
Wabongo wakiwa nje ufanya chochote
 
Ninachoona hapa ni mehemko tu ambayo imetokana na propaganda zilizochanganywa na itikadi za kidini.
 
Why unarudia maneno yale yale badala ya kuweka maoni yako ????
Jamaa Huwa anashangaza sana, halafu nimeona Kuna sehemu wanamsifia eti na yeye ni mmoja wapo wa wale wanaoitwa magreat thinkers wa humu...🤣🤣
 
Israel haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.
Urusi ina shida ya jeshi? Mbona ilitumia Wagner kwenye frontlines? Same to USA ina shida ya jeshi? Ila ilitumia Blackwater na PMC zingine huko Iraq na Afghanistan.

Mercenaries wanatumika dunia nzima wakati wa vita hasa kwenye frontlines ili kuminimize vifo vya raia wa nchi husika.
 
Wabongo buana! Tunapenda kutunga nadharia mbali mbali hata kwa mambo yaliyo wazi. Mtoa post, unapata faida gani ya kufanya editing na kutunga vi maamdishi vya uongo hivyo? HAMAS is not synonymous to ISLAM, ndio maana hata nchi za Kiislam kama Saudia na Qatar hawawaingi mkono. Na Israel sio Ukristo. Chuki yako dhidi ya Dini ya Ukristo ambayo alikua anasali marehem Joshua isiwe sababu ya kutunga uongo. Vijana walienda kusoma na sio kujiunga na Jeshi. Wale waliosoma SUA wanaelewa utaratibu huu wa wanafunzi kwenda kufanya internship Israel na kujifunza Zaidi kilimo cha Kisasa.
 
Mtanzania akitekwa au kuuwawa nchi ya ugenini jukumu la kuhakikishiwa usalama wake liko chini ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…