ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nenda kalime kwenye mashamba ya Israel wakuoneshe moto si ndio mnadangangwa.Hamas ni wapuuzi fulani hivi tena hawana akili kabisa.
Ukiletewa ushahidi Kama hiyo visa ilikuwa geresha utakuwa tayari kurekebisha post yako ?Hii kitu inafichwa fichwa sijuwi Kwa maslahi ya nani.Kwa sababu kwenye video wale Hama wanamuhoji kuwa we Sio Muyahudi Kwa nini umekuja kuuwa ndugu zetu??Hebu tueleze ukweli .Yule alipewa visa kuwa anaenda kusomea kilimo ila tamaa ya pesa ikamfanya akaingia jeshini na kauwa raia wengi sana huko Gaza.Ila mihemko ya wabongo utadhani wanachambua mpira hawataki kutafuta ukweli.
Wanaogopa kufa, ndio maana huajiri foreigners wawe front line.Israel haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.
Kwani kinachopigiwa kelele ni mtanzania kuuliwa au mtanzania kuuliwa na HAMAS? Ni mtanzania kuuliwa na HAMAS hio ndo sababuKwani Tz watu hawauawi??
Tunapinga ni kwa sababu mauaji hayo siyo ya haki. Hata kama yangetokea Tz, lazima pia tungeyapinga.
"Injustice somewhere is the threat to Justice everywhere."
Martin Luther King Jr.
Wafia dini za Waarabu mnatafuta kila justification kuonyesha Mtanzania hakuwa Mwanafunzi: Nyie ni wapuuzi tu, Mnwakubali mababii wenye asili yapo jirani na palestina ila hamwakubali manabii wa nyumbani akina Mwamposa na wenzie.Kumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.
Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773
Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770
Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772
Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!
Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!
Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847884View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795
Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!
Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!
Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!
NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814
Hizo nguo za jeshi ni wanajeshi wenu tu wasiojielewa ndio wanakataza kuvaa ila nchi nyingi hayo ni mavazi ya kawaida tu.We ndio umesema ukweli Sasa umetufumbua macho.
Hio boxer ya Mollel ya rangi ya jeshi la nchi Gani.
Na kwann avae nguo ya kijeshi hali si mwanajeshi uenda hio nguo ndio imemponza
Nipo tayari kulima mashambaNenda kalime kwenye mashamba ya Israel wakuoneshe moto si ndio mnadangangwa.
Ukweli ni kwamba wanapenda Israel kwenye kozi za shamba wapo ila humo humo wanapachika watu wanaoenda kujifunza mambo ya kijeshi akiwemo huyu dogo.
Una kiwango gani Cha elimuSwali langu ni moja tu!
Kwanini avae Boxer ya Jeshi?
Hasa kwenye nchi yenye vita?
Ndio kilichomponzaHizo nguo za jeshi ni wanajeshi wenu tu wasiojielewa ndio wanakataza kuvaa ila nchi nyingi hayo ni mavazi ya kawaida tu.
Hata yule mtza aliyeuwawa Ukraine alikuwa sehemu ya jeshi la Urusi.itakuwa Hamas wana taarifa za kijana kwamba labda anatumiwa na wayahudi kwenye unyama wao dhidi ya wa palestina...watu wakienda nje wanjihusisha na mambo mengi sana ya hovyo,namjua dogo mmoja katoka huku 2014 akiwa fresh tu,yupo USA sasa hivi limekuwa shoga tena halijifichi
Jamaa Huwa anashangaza sana, halafu nimeona Kuna sehemu wanamsifia eti na yeye ni mmoja wapo wa wale wanaoitwa magreat thinkers wa humu...🤣🤣Why unarudia maneno yale yale badala ya kuweka maoni yako ????
Urusi ina shida ya jeshi? Mbona ilitumia Wagner kwenye frontlines? Same to USA ina shida ya jeshi? Ila ilitumia Blackwater na PMC zingine huko Iraq na Afghanistan.Israel haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.