Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Huyo kaka awe MTz au sio mtz hakustahili kuuawa vile
 
swali langu ni rahisi sana, waliouwawa kwenye mashambulizi ya Hamas ndani ya Israel ni wengi sana, kwanini hili la mtanzania ndio linaonekana kubwa na kusambaa mno?
Nafikiri sababu ni "War Propagandas" zinazofanywa na wafuasi wa kundi la kigaidi la Hamas ili kujaribu kuhalalisha uovu wao waliofanya huko Israel. Nothing more nothing less!
 
Swali langu ni moja tu!
Kwanini avae Boxer ya Jeshi?
Hasa kwenye nchi yenye vita?
 
Je, kwenye zile video wewe umeona yule Mtanzania alikuwa ameshika silaha yoyote ya Moto mikononi mwake na alikuwa anapambana na Wagamgambo wa Hamas? Je, umeona video ya namna hii??
Hata kama alikuwa Mwanajeshi au alikuwa yuko huko kwa ajili ya Kujifunza Mafunzo ya Kijeshi, bado hakustahili kuuawa na wale Wanamgambo wa Hamas, kwa sababu wakati walipomkamata mtu huyo hakuwa na silaha yoyote ya moto au kupambana na Wanamgambo wa Hamas, Sheria za Vita kote duniani zinakataza kuua raia wasio na silaha au kuua Wanajeshi ambao wamejisalimisha kwa majeshi pinzani kwenye maeneo yenye mapigano ya vita.
Hata kama hakuwa na silaha yoyote ukikamatwa kwenye battlefield ukiwa na nguo za kiraia wewe ni jasusi na jasusi hukumu yake ni kuuawa. Yule angekuwa askari halisi wa Israel asingeuawa bali wangemchukua mateka.
 
Hata Tarimo watu walijua yupo Urusi kama mwanafunzi lakini alipouawa kule Bakhmut ndipo ukweli ulipodhihiri kuwa alikuwa akipigana upande wa Urusi.
Nimeeleza kwa kukumbushia sababu ya yeye kukutwa na umauti uwanja wa vita na ilielezwa .

Pia Tarimo alikuwa mwanafunzi kweli na sio mwanajeshi

Baada ya kwenda kusoma alipatakana hatiani na kuwekwa gerezani

Ipo option ya wafungwa kuachiwa kwa baadhi ya nchi kama wakiamua kuingia vitani na yeye ndii alichagua na pia hakuwa jeshi la urusi bali wale huitwa mercenaries wa Wagner group .
 
Nimeeleza kwa kukumbushia sababu ya yeye kukutwa na umauti uwanja wa vita na ilielezwa .

Pia Tarimo alikuwa mwanafunzi kweli na sio mwanajeshi

Baada ya kwenda kusoma alipatakana hatiani na kuwekwa gerezani

Ipo option ya wafungwa kuachiwa kwa baadhi ya nchi kama wakiamua kuingia vitani na yeye ndii alichagua na pia hakuwa jeshi la urusi bali wale huitwa mercenaries wa Wagner group .
Wagner ni professional soldiers na wanapigana upande wa Urusi. Pia, wapiganaji wake wapo huru kujiunga na jeshi la Urusi wakitaka. Kwahiyo, Tarimo alikuwa anapigana chini ya bendera ya Urusi na alikuwa mwanajeshi wao umauti ulipomkuta.
 
Kumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.

Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773

Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770

Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772

Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!

Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!

Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795

Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!

Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!

Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!

NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814

Kumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.

Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773

Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770

Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772

Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!

Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!

Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795

Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!

Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!

Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!

NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814
Ebu acheni upotoshaji hizo picha sio Joshua Mollel......ni edited
Angalia sura ilivyopachikwa na anaonekana kabisa ni mtu mwenye uso mpana na wakati kijana wa Kimasai alikuwa na uso wa kawaida tu

Mkono unaoonekana hapo ni wa mtu mweupe yaani Mzungu na wakati kijana alikuwa ni mweusi.....kwahiyo,Acheni ujinga,yani kijana wetu kauwawa na Waarabu halafu sisi tunashangilia na tunaungana na Waarabu ku-edit picha??

Je,kama angekuwa ndugu yako ungejisikiaje??
1703056933093.png
 
Wagner ni professional soldiers na wanapigana upande wa Urusi. Pia, wapiganaji wake wapo huru kujiunga na jeshi la Urusi wakitaka. Kwahiyo, Tarimo alikuwa anapigana chini ya bendera ya Urusi na alikuwa mwanajeshi wao umauti ulipomkuta.
Hakuna mahali nimesema alipigana upande wa Ukraine au Wagner ni mercenaries wa Ukraine.

Mercenaries ni wanajeshi kamili ila ni wa kukodi ndio Urusi alichofanya mtu ukimkodi lazima atakuwa upande wako na si vinginevyo.
 
Hii kitu inafichwa fichwa sijuwi Kwa maslahi ya nani.Kwa sababu kwenye video wale Hama wanamuhoji kuwa we Sio Muyahudi Kwa nini umekuja kuuwa ndugu zetu??Hebu tueleze ukweli .Yule alipewa visa kuwa anaenda kusomea kilimo ila tamaa ya pesa ikamfanya akaingia jeshini na kauwa raia wengi sana huko Gaza.Ila mihemko ya wabongo utadhani wanachambua mpira hawataki kutafuta ukweli.
Eti "Utadhani wanachambua mpira"

Sasa wewe na hao ambao huwa kama wanachambua mpira wana utofauti gani!!!

Haya tuseme aliingizwa Jeshini, mtu aliyeenda Israel mwezi wa 11... Wewe leo unaongea kwa kujiamini kabisa eti "Aliuwa Watu wengi..!"

Ulikuepo wakati anaua hao watu wengi...!!!

Yani Waswahili ni waswahili tu.
 
Ebu acheni upotoshaji hizo picha sio Joshua Mollel......ni edited
Angalia sura ilivyopachikwa na anaonekana kabisa ni mtu mwenye uso mpana na wakati kijana wa Kimasai alikuwa na uso wa kawaida tu

Mkono unaoonekana hapo ni wa mtu mweupe yaani Mzungu na wakati kijana alikuwa ni mweusi.....kwahiyo,Acheni ujinga,yani kijana wetu kauwawa na Waarabu halafu sisi tunashangilia na tunaungana na Waarabu ku-edit picha??

Je,kama angekuwa ndugu yako ungejisikiaje??
View attachment 2847846
Mwanzoni nilijiuliza kwanini watu wameshindwa kufanya utambuzi rahisi wa kwanza kabisa.
 
Nafikiri sababu ni "War Propagandas" zinazofanywa na wafuasi wa kundi la kigaidi la Hamas ili kujaribu kuhalalisha uovu wao waliofanya huko Israel. Nothing more nothing less!

huo uovu mbona wameufanya kwa watu wa mataifa mengine pia ikiwemo Israel pia, kwanini iwe clip ya Mtanzania peke yake?
 
Israel haina shida ya wanajeshi,
Ina wanajeshi active 169,500 na wa akiba 465,000.
Kuku wewe. Vile vita wanaviogopa. Kama huamini piga simu waambie unataka uje kuwasaidia ktk vita uone kama hutoletewa ndege ya kukodi uwahi mstari wa mbele
 

Vigezo vya kujiunga na Aliyah (in Jewish) perspective ili uweze kwenda Israel au kujiunga na jeshi lao.

Sio rahisi kwa kila mtu hasa non-Jews; huko Israel kwenyewe raia wao ambao non-Jews (Christian) sio takwa la lazima kupata mafunzo ya kijeshi.

Halafu mtu awasili kwenye nchi hata miezi miwili ana na ndio anaenda Israel mara ya kwanza hayo mafunzo kayapata saa ngapi ya kuweza kupigana.
 
Kumekua na hamaki na sitofahamu nyingi sana baada ya clip ya mauaji ya Mtanzania anaefahamika kama Molel kusambaa mitandaoni.

Katika clip husika,wauaji mwanzoni walionekana wakimhoji kwa gadhabu Mtanzania huyo na baadae aliuawa kikatili na sehemu yake ya nguo ya ndani (boxer) ilionekana ikiwa rangi ya kijeshi,well tufanye nguo tu.
View attachment 2847773

Gazeti moja wapo maarufu huko Israel limeripoti kua Watanzania ni miongoni mwa waafrika wanaoingizwa jeshini na kupewa mafunzo wakasaidie jeshi la Israel.
View attachment 2847770

Hali ya Waafrika kuingizwa kwenye jeshi la Israel nimeona hata South Africa ikionya raia wake na kua itawavua uraia kwani haiungi mkono matendo hayo.
View attachment 2847772

Watanzania wangapi wanakumbuka mwanzoni mwa vita ya Urusi na Ukraine kuliripotiwa Mtanzania mwanafunzi ameuawa na Ukraine kwenye mapigano?!!

Taarifa zilitoka kweli alikua Mtanzania na mwili uliletwa,je watu walihamaki kama hivi sasa?!! Hakua Mtanzania?!! Kwa nini sasa hivi watu wamehamaki sana?!!

Mtanzania alieuawa na wanajeshi wa Ukraine akiwa kwenye jeshi la Urusi alikua mkristo na mwenyeji wa Moshi pia kama huyu wa sasa wa Israel,,kwa nini watu hawakuahamaki?!! Ama kwa vile huyu ameuawa na HAMASI na alikua upande wa Israel?!
View attachment 2847793View attachment 2847794View attachment 2847795

Tazama vizuri picha zifuatazo,je ni yeye ama sio yeye?!! Je alieuliwa vitani Ukraine akiwa na Urusi na huyu wa sasa kuna tofauti gani?!! Kwa nini kwa sasa hamaki ni kubwa na chuki baina yetu Watanzania?! Alieuawa Urusi serikali ilisema kwa nini alikua na jeshi la Urusi baadala ya kusema tu mwanafunzi?!! Huyu wa sasa serikali imetoa taarifa zaidi kwa nini aliangukia maeneo ya mpakani na HAMASI hadi akatekwa?!! Hamaki na kulaani ni kwingi kwakua huyu Molel ameuawa na HAMAS ambao ni kikundi cha kiislamu huku Molel akiwa sehemu ya Israel (Taifa teule?) Ili hali mwanafunzi ambae aliuawa Ukraine akiwa na jeshi la Urusi watu hawakuahamaki kwa kua ilikua mauaji baina ya wakrsito kwa wakrsito?!!

Wizara ya mambo ya nje,imetoa tamko lolote la kuwataka Watanzia wanafunzi waliopo Israel kuondoka ama taarifa za kifo tu zinatosha?!!

Ikiwa Israel inalipa mamilioni ya hela kwa waafrika ili wakafanye kazi kwenye mashamba je haiwezi kulipa mamilioni ya hela watumikie jeshi?!!

NB- video ambayo anahojiwa baada ya kukamatwa ipo. Mtu anaweza kuitazama na kutafsiri mazungumzo yao kabla hajauawa,moja ya nukuu ya mtu alieiona.
View attachment 2847814
Kwa hilo Hamas wako sawa kabisa 100%
 
swali langu ni rahisi sana, waliouwawa kwenye mashambulizi ya Hamas ndani ya Israel ni wengi sana, kwanini hili la mtanzania ndio linaonekana kubwa na kusambaa mno?
Linasambaa kwasababu ni mtanzania mwenzetu hao wengine sio watanzania .kila mtu analia msiba wa ndugu yake.hata wewe ukifa Tutalia sisi siyo hamas sawa ndugu
 
Back
Top Bottom