.Mwambie tuu,simbu ni wa Arusha ya wezekana ni mmasai.Ameandaliwa sana toka aliposhika namba nne olympic ya Rio,Brazil.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mmasai + MnyaturuMwambie tuu,simbu ni wa Arusha ya wezekana ni mmasai.Ameandaliwa sana toka aliposhika namba nne olympic ya Rio,Brazil.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimecheka sana hiyo replay ya jamaa! hii inamanisha mtu au watu wakikuchoka hata useme kizuri vipi watu hawakusikiilizi
Uhuru ameshampongeza mtu wake, sina uhakika hata kama mheshimiwa anajua kuwa leo simbu amekimbia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mtu wa Singida?Historia yake inaonyesha anatokea Singidamwiraqw wa manyara