Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Maratthon ya wanawake inaendelea kuna wazungu watatu wanaongoza kwa mbali. Watanzania,kenya na ethiopia wanafuata...
 
Yaani mwanamke mzungu Muingereza anaongoza marathon? Unbelievable!
 
Well done Simbu
Sasa lazima tuinue hadhi ya michezo kwa nguvu, hali na mali
 
Hongera simbu. Japo naona Kama mwili unauachia. Yaan weight inakua kubwa..... Mtazamo wangu lkn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…