namuonaga arusha anafanya mazoezi kivyake vyake tu...sasa sijui kama serikali hata ina habari nae!Labda wanamsaidia maanake wengi wetu pia tunamuona akiwa mashindanoni hatujui hata anajiandaaje.
Nawafuatilia hawa wanaitoa comment hapaUko mbali na Tv na hapo hapo unawafuatilia kwa ukaribu, aisee kivipi sasa?
Anafuatilia updates za JF.Uko mbali na Tv na hapo hapo unawafuatilia kwa ukaribu, aisee kivipi sasa?
Mungu amsaidie siku moja awe namba moja.!Asante sana
Mimi nakumbushia tu kabla ya kwenda Rio jinsi alivyokuwa akiishi.
Mtindo wa maisha ulibadilika baada ya kutoka Rio,ila kabla ya Rio huo ndio ulikuwa mtindo wake wa maisha.
Namba tano alishika. RT walikuwa wanamsaidia?Mwambie tuu,simbu ni wa Arusha ya wezekana ni mmasai.Ameandaliwa sana toka aliposhika namba nne olympic ya Rio,Brazil.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu hakuwa na sapoti ndo maana akawa wa tano Rio,baada ya kupata sapoti kabeba bronze.Namba tano alishika. RT walikuwa wanamsaidia?
Wa kwanza Mkenya...Goeff Kirui.Kweli angekaza angechukua silver.. Ila yule mu Ethiopia aliyeshika ya kwanza ni nyoko kawaacha mbali sana
Had wazungu wanashika shika miguu yake labda wanajua plstik
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Kama wanamsaidia ni vizuri sana. Ushindo ni matokeo ya maandalizi mazuri. Hongera RT.Kwa sababu hakuwa na sapoti ndo maana akawa wa tano Rio,baada ya kupata sapoti kabeba bronze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gidabudayi alishasema siku nyingi tatizo la riadha TZ,ameingia tumenza kuona wenyewe.View attachment 559506 View attachment 559506
Huyu Kirui ni kama anatumia diesel,mapafu gani ya binadamu muda unavyozidi kwenda ndio anaongeza mwendo?
Ila Simbu kamkosa kosa sana yule Muethiopia nafasi ya pili,ni kama point 49 kwa 51.Si haba...Hela atakayopata inatosha sana sana kwa kuanzia maisha,maana jamaa alikuwa anakaa chumba kimoja tu na sebule kule Arusha.
Wakati ule majirani pale Arusha hawakujua kama ameenda Rio de Jeneiro kwenye Olympic,walishangaa kumuona na kumfananisha kwenye TV wakati anakaimbia.Mkewe akiwa nyumbani hana hata Tv kujua nini mume wake anafanya huko Brazil.
Mungu amtie nguvu,amzidishie na siku moja ampe medali ya ushindi ya dhahabu kwa moyo wake wa kujituma.Anatoka Singida vijijini sana,katikati ya jamii masikini.Kwa kipaji chake,Mungu atamjalia.
Kama namuona jamaa yangu Gidabudayi,mzee wa Shirikisho la Riadha Tanzania
mwiraqw wa manyaraHivi ni kabila gani uyu jamaa
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Yea nimechanganyaWa kwanza Mkenya...Goeff Kirui.
Ndio alivyokuambia?Anatufuatilia hapa JF
OkAnafuatilia updates za JF.