Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Asante sana
Mimi nakumbushia tu kabla ya kwenda Rio jinsi alivyokuwa akiishi.
Mtindo wa maisha ulibadilika baada ya kutoka Rio,ila kabla ya Rio huo ndio ulikuwa mtindo wake wa maisha.
Mungu amsaidie siku moja awe namba moja.!
 
Huyu jamaa namkubali toka muda ni vile tu serikali inawakumbatia wajingawajinga inaacha watu kama hawa mpaka tuwapigie kelele
 
Kweli angekaza angechukua silver.. Ila yule mu Ethiopia aliyeshika ya kwanza ni nyoko kawaacha mbali sana

Had wazungu wanashika shika miguu yake labda wanajua plstik

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Wa kwanza Mkenya...Goeff Kirui.
 
Gidabudayi alishasema siku nyingi tatizo la riadha TZ,ameingia tumenza kuona wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawa wakenya huwa wanakula mizizi gani? isitoshe wanatumia mitishamba ya kuzunguka mount kilimanjaro afu sisi wa Tz tuna zubaa tu wakati sisi ndio wenye mlima.

Hongera kwa Mtanzania mwenzetu, nafasi ya3 si haba. Special bigUp kwa team nzima iliyofanikisha jamaa kushinda nafasi ya3
 
Nashukuru sana ,shirikisho la riadhaa la dunia lilianza kuwapima mkojo Jirani zetu, kumbe siku za nyuma walikuwa wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Ndugu Simbu hongera sana, nakushauri sasa utusaidia kuwapata vijana wengine ili tuwaandae kwa ajili ya siku zijazo!!,
Tena ikiwezekana Serikali ikubali kuwa kuna mikoa ina vipaji(Manyara, Singida, Arusha).twende tukaanzishe shule za riadha,baada ya miaka michache tutakuwa sawa na Ethiopia na Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…