Ni kweli inasemekana dogo alikuwa kama akili zimemruka, kwa taarifa tokea hao hao wapiga box huko!FF hiyo paragrafu ya pili inaeleza kuwa kauawa na polisi baada ya huyo ndugu yetu kutaka kunyang'anya bastola ya polisi...
Hivyo naona wakamdhibiti kwa kumchapa risasi na akafia hospitalini...
Waafrika wanaoishi huko ndo wanaongoza Kwa ujeuri ujuaji kuliko hata wenye nchi yao, kama vile tunavyoona mbongo akienda ulaya akirudi anawaona wenzake kama manyani , kujiona kwingi ndo Walivyo hao mafala .....!!!
Tena ni wabaguzi kuliko hata ngozi nyeupe yenyewe ......!!! Nchi za watu unaleta usela mavi lazima wakumalize tuuu .....!! Nchi uliyopewa na Bwana Mungu wako ndo nchi yako , kwingine ni kambi tu na utafutaji , ukiwa nchi za watu kiutafutaji unatakiwa uwe mpole ....sio kujidai kutaka haki kwenye nchi za watu , kwenu ndo utaringa...vijana tujifunzeni maisha ni mafupi na hayana spare..so sad to lose such a young guy
Ushamba tabia zao ni kama bashite baada ya kupata madaraka.Hili la dharau true kuna jamaa alienda US kurudi kitaa kila mtu alikua anamuona takataka mpaka nikajiuliza wanapewa nini wenzetu huko,Yan wengi wanajiona kama wanatoka mbinguni,sijui ushamba tu unawasumbua!
Marehemu kaja Marekani mtoto kakulia Marekani, alikuwa anaijua Marekani kuliko alivyoijua Tanzania.Ipo haja kwa Watanzania kabla awajaenda USA wapewe seminar nini cha kufanya pindi wakisimamishwa na police USA wafanye nini, maana act yeyeto kwa mafunzo ya police wa USA unakula bullets. Maana hata wao wanauliwa Sana na wahalifu wakishangaa, so action yeyeto utakayofanya wanaamini unataka kuchomoa gani. Salama ya police USA ni kutii au lala chini, au wageuzie mgongo huku umenyoosha mikono juu ukiwa umetulia.
Pana Mtanzania aliuliwa by mistake sababu ya kutojua codes za police wa USA.
Alisimamishwa na police bahati mbaya simu yake ikaita mfukoni kitendo tu cha kuingiza mkono mfukoni Ili achukue simu apokee, ndo ikawa mwisho wa uhai wake pale alipigwa risasi, police waliamini anataka kutoa bastola awashuti, ni vitu vya kuangalia Sana USA hivi. Ukiwa unaendesha ukasimamishwa na police park pembeni tulia kwenye gari usitoke shikilia usukani au toa mikono yote miwili nje hadi waje.
Kwa any act wape ushirikiano usijibizane nao wala kujifanya mjuaji,wakikuona umewapa ushirikiano hawa shida na wewe.
Hakuna police atokae alipotoka aje tu ampige mtu risasi.
Nimewapa ushauri watz wanaotaka kwenda USA either kutalii, likizo, shule, au utumwani.Marehemu kaja Marekani mtoto kakulia Marekani, alikuwa anaijua Marekani kuliko alivyoijua Tanzania.
Kwa hivyo suala lako la seminar halihusiki.
Huyu hakuwa Mtanzania aliyekuja Marekani ukubwani.
Siku hizi Waarabu wananyea midomoni tu,hawaui wala nini🙂Angekua kauawa kwenye nchi za Waarabu tungeshuhudia povu la kila aina ya sabuni humu.
Unaowapa ushauri, hawauhitaji, wanaouhitaji, huwafikii kuwapa.Nimewapa ushauri watz wanaotaka kwenda USA either kutalii, likizo, shule, au utumwani.
Sehem yeyote police wakikuzuia unatakiwa ujisalimishe reaction yeyote utakayo ifanya tofaut na amri yao unaweza kupigwa risasi ni vile tu kibongobongo Sheria zinalegezwa sasa tunajisahau had kwenye nchi za watasha, japo huyo jamaa alieuwawa inaonekana ameishi muda mrefu huko na anajua utaratibu sijui kimemkuta nini au siku ya kifo ikifika imefikaIpo haja kwa Watanzania kabla awajaenda USA wapewe seminar nini cha kufanya pindi wakisimamishwa na police USA wafanye nini, maana act yeyeto kwa mafunzo ya police wa USA unakula bullets. Maana hata wao wanauliwa Sana na wahalifu wakishangaa, so action yeyeto utakayofanya wanaamini unataka kuchomoa gani. Salama ya police USA ni kutii au lala chini, au wageuzie mgongo huku umenyoosha mikono juu ukiwa umetulia.
Pana Mtanzania aliuliwa by mistake sababu ya kutojua codes za police wa USA.
Alisimamishwa na police bahati mbaya simu yake ikaita mfukoni kitendo tu cha kuingiza mkono mfukoni Ili achukue simu apokee, ndo ikawa mwisho wa uhai wake pale alipigwa risasi, police waliamini anataka kutoa bastola awashuti, ni vitu vya kuangalia Sana USA hivi. Ukiwa unaendesha ukasimamishwa na police park pembeni tulia kwenye gari usitoke shikilia usukani au toa mikono yote miwili nje hadi waje.
Kwa any act wape ushirikiano usijibizane nao wala kujifanya mjuaji,wakikuona umewapa ushirikiano hawa shida na wewe.
Hakuna police atokae alipotoka aje tu ampige mtu risasi.
Hakuna nchi yeyeto duniani utasema yafaa kuishi hata ukija bongo utaishia lawama,ukija huku bongo kama wewe sio mlamba asali utaishia kuteseka muhimu ni kuitune akili yako.RIP,,,,kuna nchi sio zakuishi sema utafutaji tu hauna jinsi,,,US,Ukraine,German,UK,Russia,Austria,Bulgaria,Poland[emoji1373]
Watakauhitaji utawafaa angalau utawasaidia wasipigwe risasi.Usela mavi leta bongo na sio nchi za watu.Mfano uarabuni wao ndio awashughuliki nawe kabisa bora hata USA watafanya uchunguziUnaowapa ushauri, hawauhitaji, wanaouhitaji, huwafikii kuwapa.
Nilifanyiwa semina ya namna hii kabla ya Kwenda Kanyakumar, Tamil Nadu. Nikaelezwa utamaduni wa huko na namna ya kuchangamana na raia wa huko. Ilikuwa semina muhimu sana na ilinisaidia sana.Ipo haja kwa Watanzania kabla awajaenda USA wapewe seminar nini cha kufanya pindi wakisimamishwa na police USA wafanye nini, maana act yeyeto kwa mafunzo ya police wa USA unakula bullets. Maana hata wao wanauliwa Sana na wahalifu wakishangaa, so action yeyeto utakayofanya wanaamini unataka kuchomoa gani. Salama ya police USA ni kutii au lala chini, au wageuzie mgongo huku umenyoosha mikono juu ukiwa umetulia.
Pana Mtanzania aliuliwa by mistake sababu ya kutojua codes za police wa USA.
Alisimamishwa na police bahati mbaya simu yake ikaita mfukoni kitendo tu cha kuingiza mkono mfukoni Ili achukue simu apokee, ndo ikawa mwisho wa uhai wake pale alipigwa risasi, police waliamini anataka kutoa bastola awashuti, ni vitu vya kuangalia Sana USA hivi. Ukiwa unaendesha ukasimamishwa na police park pembeni tulia kwenye gari usitoke shikilia usukani au toa mikono yote miwili nje hadi waje.
Kwa any act wape ushirikiano usijibizane nao wala kujifanya mjuaji,wakikuona umewapa ushirikiano hawa shida na wewe.
Hakuna police atokae alipotoka aje tu ampige mtu risasi.
Naona amerudi kipindi hikiFaizaFoxy umeleta mada isiyo na udinidini uliozoeleka
Okay, ulikuwa unamfahamu personally?The guy was a millionaire in US dollars so kuombaomba si kweli.
RIP Kyaruzi.
Umejuaje hatutaki ushauri wake?Unaowapa ushauri, hawauhitaji, wanaouhitaji, huwafikii kuwapa.