DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Msenge wewe, Kichaa ana Privacy?
Unfortunately leo sina mood ya kutukana or confrontation za kijinga na mapoyoyo ndio maana hata huyo fala mwingine macho_mdiliko namu-ignore tu.

The good thing waziri wa mambo ya nje wa sasa kasoma huko na anajua changamoto zake yeye mwenyewe keshapiga sana night shift za lindo kwenye maofisi ya wazungu anafahamu sio kwa mzaha ukikosa support network.

As for me nimeshamaliza all I had to say, seuse huyo Jane kuna mtu (rafiki yangu) alikuwa jela U.K kaka yake afisa serikalini kwa sasa ambae amekaa sana Norway na US.

Kaka mtu aliposikia mdogo yupo jela kipindi yeye bado anaishi marekani akaenda kumtafuta U.K. arudishwe jamaa kutoka ugomvi na Kaka yake nani kakutuma uje kuwaambia wazungu wanirudishe.

Hayo ya matusi don’t have the appetite for that today zaidi ya kukushauri tafuta namna ya kutuliza kipira chako kama kinakuwasha.

👋
 
Hujapenda wewe kama nani? Bora hata ungekuja na sababu za ridhaa, lakini siyo sababu hizo.
 
Safi japo sijui mlipo anzia ila nimependa ulivyojibu
 
Mkuu nsenda kamsaidie wewe kwa kufuata Geneva convection
 
Mkuu nsenda kamsaidie wewe kwa kufuata Geneva convection
Shida ni limitations zenu hakuna sehemu nimesema asisaidiwe au kuletwa kwa habari ni kosa.

Tatizo ni narrative (presentation) sasa kama ukufundishwa how narrative can influence thinking, sina huo muda wa kueleweshana.

Ndio kama hii mada 90% ya wachangiaji wana amini huyo Jane ni chizi based on presentation ya mada alone.
 
Huoni haya kila mtu anakuona wewe ni zezeta?
 
Dah Jane cha upole..
Nina uhakika ndugu zake watakuepo humu JF na wanaona..
Labda mwenyewe hataki kurudi
Angekuwa anatokea kanda ya ziwa ndugu zake wangekuwa wameshajitokeza na kumchukua,watu wa kanda ya ziwa (hasa wasukuma) wanajali mno wenzao.

Sasa kwa akina sisi wa kutoka kanda ya kaskazini dada hana msaada, watu wa kaskazini ni wabinafsi sana,wachoyo wasiopenda kusaidiana.
 


Tatizo la kuomba msaada bila detail. Yuko mji gani na jimbo gani hapa USA. Kuna Watanzani kila mahali ? Msije kuchangisha watu hapa pesa zikaishia mifukoni mwa watu wengine. Kuweni makini sana na michango michango ya kimchongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…