Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Ubalozini hawana namna ya kufuatilia watu walioingia nchini? Diaspora nayo je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe story kidogo ilikuwaje na anatokea maeneo gani hapa Tanzania, pia watu wa radio na mnaomiliki account za social media zenye followers wengi mnaweza saidia kuipush hii tarifa kumsaidia mtanzania mwenzetu maana balozi zetu naona zipo kwa ajiri ya kumpokea mh Rais akitembelea nchi zao si kusaidia Raia wakeI know her alivyoenda Marekani alimpandishia kioo Jamaa aliyemsaidia
Hamtaki tena Jamaa. Bila shaka Jamaa kamaliza game juu Kwa juu
Nipeni muda kidogo Nimtafute Jamaa Nikimpata nitaleta mrejesho
Si bureUnatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.
TZ Kila kitu hovyo TU! Yapo ubalozini yanakula yananenepeana TU!Maisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Mbona hata Tanzania tupo hivyo. Kuna mtanzania alitakiwa kunyongwa, ila raisi alienda kumtoa chap kwa haraka.Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa
Kati ya balozi zisizo na msaada ni huu ubalozi wetu wa Marekani. Hata ukiwa na ishu ya passport ni heri tu usafiri kurudi Bongo. Hata sijui wapo kufanya nini. Ni ufisadi tu na kutumbua pesa za visa!Kuwe na accountability kwa mabalozi wetu hii ni moja ya kazi zao raisi awawajibishe mabalozi wazembe kama huyu wa marekani
Kuna mdada mwingine alikuwa Lawyer wa TPDC anaitwa Belinda Ringo, very bright lady,alipomaliza mwaka mmoja wa ajira akapelekwa na TPDC UK
Balozi zetu zimejaa Makada na Watoto wa Ndugu, very incompetentMaisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Nao wanakula kwa urefu wa kamba zao. Sina uhakika kama wameishavimbiwa!Kuwe na accountability kwa mabalozi wetu hii ni moja ya kazi zao raisi awawajibishe mabalozi wazembe kama huyu wa marekani
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sanaUnatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.
Toa details dnugu zake hawawezi kumtupa nina story kama yako ila dogo alirudi kwako na ilikuwa mkoani tu.I know her alivyoenda Marekani alimpandishia kioo Jamaa aliyemsaidia
Hamtaki tena Jamaa. Bila shaka Jamaa kamaliza game juu Kwa juu
Nipeni muda kidogo Nimtafute Jamaa Nikimpata nitaleta mrejesho
Tatizo liko wapi mzee ? Mbona ni taarifa !Unatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.
Watu hawaaminiki inawezekana wamempandia ungo kweli wakampelekea salamMasikini dada wa watu isije kuwa watu wa kijijini kwao wamemroga.
Mungu amfanyie wepesi.
Yaani balozi za Tanzania nchi za kigeni huwaona watanzania kama manyani, usirogwe kwenda balozi zetu ukiwa na shida utajuta.Maisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Achana naye huyoTatizo liko wapi mzee ? Mbona ni taarifa !
Sasa sikia huku kuna nguvu huu mwezi hautoisha atapata ndugu, jamaa kafikisha taarifa kwanza huyo ni ndugu yake wa kaskazini labda useme jamaa angeacha mawasiliano ili kuendeleza ushirikiano .
Kwahiyo mtu alie changanyikiwa aombwe ridhaa ya kurekodiwa Ili asaidiwe?Unatakiwa kuelewa mipaka yako na kuheshimu privacy ya mtu.
Kwanza umeenda kumrekodi bila ya ridhaa yake, unalazimisha kumpa msaada wa hela ambao auhitaji; halafu unamposti mitandaoni huo ni udhalilishaji.
Pili unalazimisha msaada kwa mtu ambae ajakuomba na hataki hiyo ni kuingilia rights zake. Dada anaonekana ni mzima maana unakiri umewahi kuongea nae na hata hapo kwenye video inaonekana anajielewa huo uchizi unampa wewe.
Tatu hujui changamoto zake za maisha hadi kua homeless, ungeanzia kudadisi hapo kimetokea nini kwenye maisha yake hadi kufikia alipofika.
Nne kama lengo ni kutaka ndugu zake wapate habari ungeweza anzisha mada kwa title yoyote na ku-crop sura yake tu na kuomba msaada kama kuna mtu anamfahamu huyo dada wakupe details za ndugu zake uwape taarifa, wao ndio wana mamlaka ya kwenda serikalini na kuomba msaada arudishwe.
Umemkosea sana huyo dada na kumdhalilisha.