monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi ni sehemu za watoto wa wakubwa kupumzika. Hakuna kazi ya maana wanafanyaMaisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Nchi nyingi za kiafrika huwa hazina msaada kwa raia wake!! Halafu utayasikia eti watu hatuna uzalendo!! Ndio maana wazungu wanakuwa wazalendo sana kwa nchi zao kwani hata wakipata matatizo huwa zinawasidia sana!!Maisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Jaman too sadKuna mdada mwingine Belinda Ringo aliajiriwa na TPDC mwaka 2007 kama Lawyer. Baada ya mwaka mmoja TPDC wakampeleka UK kusoma Masters. Kufika huko akawehuka kabisa akakataa kurudi Tanzania. TPDC wakamfukuza kazi akiwa hukohuko. Jitihada za Familia yao zikafanikiwa wakamrudisha Tanzania lakini mpaka leo yupo TU nyumbani kwao Sinza karibu na Meeda akili haziko sawa
Hayo ndio matatizo ya kureua mabalizi bila kufata vigezzo, tayari umeshafanya msaada mkubwa.Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
WehuUkitaka kujua watanzania wengi ni WAPUMBAVU,wewe soma Komenti!
Bora kuwa chizi marekani huko hamna majalalaPost ya facebook ni ya mwaka 2018 ina maana baada ya miaka 6 bado anahangaika mitaani? Kama 2018 alikua kawehuka hali ikoje sasa?
Miaka 6 ndugu zake hawajapatikana?
Kuna kijana alipata ufadhili wa kwenda kusoma nje na kwa kuwa wazazi wake walikuwa mkoa ikabidi akawaage ikiwa pamoja na kupata baraka pia, siku aliyoamka kurudi dar kwa ajili ya maandalizi alianza kuongea kauli tata na akavurugukiwa kabisa hata safari haikuwepo tena.Masikini dada wa watu isije kuwa watu wa kijijini kwao wamemroga.
Mungu amfanyie wepesi.
Nyangarakasha limejitokeza katika ubora wake.Sasa si ndo wee umsaidie hapo kwa kumuhifadhi na nk, huku ukisubiri ndugu zake wajitokezee.
Kumuacha ahangaike na huku unamtangaza, si unamchoresha tyuu.
Nchi ya kishetani sana hii, unafikiri wanatuona sisi wengine ni watu? Mungu amsaidie tu huyu jamaa alietoa taarifaMaisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Nimesikitika sana kwa jibu la balozi zetu. Sasa wapo huko nje ubalozini kwa kazi gani kama wanashindwa saidia watu wetu? Nimeumia kwa kweli, bora tuendelee kula ugali na dagaa nchini kwetu kuliko kwenda nje huko kudharirika bila msaada. Kwa namna huyo binti alivyo, hata usingesema anadharirishwa kingono nilijua hilo lipoMaisha haya daa
Halafu balozi zetu huwa hazina msaada kabisa sijui kwanini
Kuna mataifa hata mtu wao akifungwa au kuhukumiwa kufa watamtoa.
Sasa masikini huyo tena mwanamke wanashindwa hata kumpeleka hospitali
Pongezi nyingi kwa mtoa taarifa na kwa aliyerekodi video . Hio inaitwa usamaria mwema kutoa msaada wa hali na Mali kwa mtu usiyemjua .Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
Kutoka Moyoni, nimeumia sana kwa hii taarifa na hiko kilochofanywa na ubalozi wetu. Mwenye namba au ID ya Makamba amtag aone hiki au atusadie.Nchi ya kishetani sana hii, unafikiri wanatuona sisi wengine ni watu? Mungu amsaidie tu huyu jamaa alietoa taarifa
Poor brainNimemuonea huruma bure daah 🥺🥺🥺